crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Kwanini wamevaa nyekundu na kujitenga na sisi WanaYanga ?! Au sisi hatutaki Katiba mpya!Haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wamevaa nyekundu na kujitenga na sisi WanaYanga ?! Au sisi hatutaki Katiba mpya!Haya
ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
RubbishJeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411
halafu ikawaje ?Matokeo ya kibatala uliyapata maana gaidi keko ilikuwa inaenda kuwa nyumba yake ya milele.
Una uhakika ni jeshi la polisi ndilo lililokua linawazuia au ni busara za wanachama wa chadema ndizo zilizokua zinatumika?.Ndugu usifikiri kuharibu Amani ya nchi kunahitajika mambo mengi sana.ni jambo kidogo sana linaweza likasababisha historia ikabadilika.kwahiyo ukiona busara za wenye hekima zinetumika dhidi ya nguvu usibeze ata kidogo.Wanayoyapigania nikwa manufaa ya kila mwananchi wa hii nchi kwa vizazi vya leo na vijavyo.kama wewe huna unachokiona kinapaswa kuwekwa sawa nchi hii basi wewe ni binadamu usiye na fikra yakinifu.Jeshi hili hili lililokuwa linawadhibiti CHADEMA kufanya mikutano leo linashindwa kudhibiti uvaaji wa fulana za katiba mpya au limeamua kuacha tu?
Mkiachwa mnasema polisi wameshindwa kidhibiti mkidhibitiwa mnasema hakuna demokrasia. Sijui mahitaji yenu ni nini hasa
[emoji23][emoji23][emoji23] majibu unayo ni huruma tu ila msirudie tena.halafu ikawaje ?
Hao wananchi wataitaka kupitia njia gani?.Hakuna jambo linalofanywa na watu wote.Kila jambo unaliliona duniani jua ni wazo la mtu mmoja na jitihada za wale waliolipokea hili wazo wakalifanyia kazi.sasa wewe unapozungumzia wananchi unamaanisha wananchi gani hao.Au wanachama wa chadema sio wananchi?.Kinachokosekana ni utashi wa kisiasa wa anayeongoza serikali sio zaidi ya hapo.Rais akiwa na nia njema yakuleta katiba mpya ata kesho nchi itapata katiba mpya.Hili sio jambo lakuwa na mijadala ya kuvutana kwasababu manufaa ya katiba mpya na bora yako wazi.Katiba mpya haiwezi kupatikana saivi kwasababu wanaoitaka ni wanachama wa CHADEMA . Siku wakiitaka wanaichi hakuna wakuwazuia hata serikali haitoweza kudhibiti.
Hahaaaa ID ya shirikaMkuu hongera kwa ID kibao , hivi mtu mmoja unawezaje kuwa na 1D 100 ?
Good answersHao wananchi wataitaka kupitia njia gani?.Hakuna jambo linalofanywa na watu wote.Kila jambo unaliliona duniani jua ni wazo la mtu mmoja na jitihada za wale waliolipokea hili wazo wakalifanyia kazi.sasa wewe unapozungumzia wananchi unamaanisha wananchi gani hao.Au wanachama wa chadema sio wananchi?.Kinachokosekana ni utashi wa kisiasa wa anayeongoza serikali sio zaidi ya hapo.Rais akiwa na nia njema yakuleta katiba mpya ata kesho nchi itapata katiba mpya.Hili sio jambo lakuwa na mijadala ya kuvutana kwasababu manufaa ya katiba mpya na bora yako wazi.
Na pesa nyingi zilitumika ikiwa pamoja na wananchi mamilioni waliopoteza muda wao kutoa maoniUna safari ndefu sana ya kujifunza,Unajua kwanini Jaji warioba alizunguka nchi nzima?
Kuna vurugu gani imehamasishwa au umekurupuka.au unataka watu watembee uchi?Mnahamasisha vurugu kwa kuratibu vijana wajinga nyie mkiwa majumbani, kisha virungu vikitembea mnaanza kulialia.
Yanga ni mafisadistKwanini wamevaa nyekundu na kujitenga na sisi WanaYanga ?! Au sisi hatutaki Katiba mpya!
Siasa za kitoto, Bavicha mmekutwa,yaani hawa ndio wanaotembea nchi nzima na wanavuta posho? Kukaa uwanjani bila kutoa hotuba? Kunywa birika nne za kahawa mtaani? Mpaka Figo zinakaribia kufeli?Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411
Kinachihitajika ni P.U.R.U lakoJeshi hili hili lililokuwa linawadhibiti CHADEMA kufanya mikutano leo linashindwa kudhibiti uvaaji wa fulana za katiba mpya au limeamua kuacha tu?
Mkiachwa mnasema polisi wameshindwa kidhibiti mkidhibitiwa mnasema hakuna demokrasia. Sijui mahitaji yenu ni nini hasa
Asante kwa kunitukana . Tafadhari Naomba niongeze tusi lingine kubwa kidogo. Naomba modereta wakupe ulinzi wasikughasiKinachihitajika ni P.U.R.U lako
Jifunze kutoka nchi zilizopata katiba mpyaUna uhakika ni jeshi la polisi ndilo lililokua linawazuia au ni busara za wanachama wa chadema ndizo zilizokua zinatumika?.Ndugu usifikiri kuharibu Amani ya nchi kunahitajika mambo mengi sana.ni jambo kidogo sana linaweza likasababisha historia ikabadilika.kwahiyo ukiona busara za wenye hekima zinetumika dhidi ya nguvu usibeze ata kidogo.Wanayoyapigania nikwa manufaa ya kila mwananchi wa hii nchi kwa vizazi vya leo na vijavyo.kama wewe huna unachokiona kinapaswa kuwekwa sawa nchi hii basi wewe ni binadamu usiye na fikra yakinifu.
Hawana nguo zaidi ya hizo fulana zenye mrengo wa kisiasa kama sio harakati? Na mbona waingie na kukaa kikundi kama sio uhuni!Kuna vurugu gani imehamasishwa au umekurupuka.au unataka watu watembee uchi?
Kwetu wapi ?Nyie watu si mkafanyie Mkoani kwenu haya mambo?
Hapa hekima na busara ilikosekana kwa chama kuegemea upande mmoja wa timu pinzani,Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411