Mwanza: Nguvu ya Umma yalidhibiti Jeshi la Polisi kuzuia fulana za Katiba Mpya Uwanjani

Mwanza: Nguvu ya Umma yalidhibiti Jeshi la Polisi kuzuia fulana za Katiba Mpya Uwanjani

Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.

Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.

Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.

Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.

View attachment 2242410
View attachment 2242411
Rubbish
 
Jeshi hili hili lililokuwa linawadhibiti CHADEMA kufanya mikutano leo linashindwa kudhibiti uvaaji wa fulana za katiba mpya au limeamua kuacha tu?
Mkiachwa mnasema polisi wameshindwa kidhibiti mkidhibitiwa mnasema hakuna demokrasia. Sijui mahitaji yenu ni nini hasa
Una uhakika ni jeshi la polisi ndilo lililokua linawazuia au ni busara za wanachama wa chadema ndizo zilizokua zinatumika?.Ndugu usifikiri kuharibu Amani ya nchi kunahitajika mambo mengi sana.ni jambo kidogo sana linaweza likasababisha historia ikabadilika.kwahiyo ukiona busara za wenye hekima zinetumika dhidi ya nguvu usibeze ata kidogo.Wanayoyapigania nikwa manufaa ya kila mwananchi wa hii nchi kwa vizazi vya leo na vijavyo.kama wewe huna unachokiona kinapaswa kuwekwa sawa nchi hii basi wewe ni binadamu usiye na fikra yakinifu.
 
Katiba mpya haiwezi kupatikana saivi kwasababu wanaoitaka ni wanachama wa CHADEMA . Siku wakiitaka wanaichi hakuna wakuwazuia hata serikali haitoweza kudhibiti.
Hao wananchi wataitaka kupitia njia gani?.Hakuna jambo linalofanywa na watu wote.Kila jambo unaliliona duniani jua ni wazo la mtu mmoja na jitihada za wale waliolipokea hili wazo wakalifanyia kazi.sasa wewe unapozungumzia wananchi unamaanisha wananchi gani hao.Au wanachama wa chadema sio wananchi?.Kinachokosekana ni utashi wa kisiasa wa anayeongoza serikali sio zaidi ya hapo.Rais akiwa na nia njema yakuleta katiba mpya ata kesho nchi itapata katiba mpya.Hili sio jambo lakuwa na mijadala ya kuvutana kwasababu manufaa ya katiba mpya na bora yako wazi.
 
Hao wananchi wataitaka kupitia njia gani?.Hakuna jambo linalofanywa na watu wote.Kila jambo unaliliona duniani jua ni wazo la mtu mmoja na jitihada za wale waliolipokea hili wazo wakalifanyia kazi.sasa wewe unapozungumzia wananchi unamaanisha wananchi gani hao.Au wanachama wa chadema sio wananchi?.Kinachokosekana ni utashi wa kisiasa wa anayeongoza serikali sio zaidi ya hapo.Rais akiwa na nia njema yakuleta katiba mpya ata kesho nchi itapata katiba mpya.Hili sio jambo lakuwa na mijadala ya kuvutana kwasababu manufaa ya katiba mpya na bora yako wazi.
Good answers
 
Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.

Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.

Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.

Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.

View attachment 2242410
View attachment 2242411
Siasa za kitoto, Bavicha mmekutwa,yaani hawa ndio wanaotembea nchi nzima na wanavuta posho? Kukaa uwanjani bila kutoa hotuba? Kunywa birika nne za kahawa mtaani? Mpaka Figo zinakaribia kufeli?
 
Jeshi hili hili lililokuwa linawadhibiti CHADEMA kufanya mikutano leo linashindwa kudhibiti uvaaji wa fulana za katiba mpya au limeamua kuacha tu?
Mkiachwa mnasema polisi wameshindwa kidhibiti mkidhibitiwa mnasema hakuna demokrasia. Sijui mahitaji yenu ni nini hasa
Kinachihitajika ni P.U.R.U lako
 
Una uhakika ni jeshi la polisi ndilo lililokua linawazuia au ni busara za wanachama wa chadema ndizo zilizokua zinatumika?.Ndugu usifikiri kuharibu Amani ya nchi kunahitajika mambo mengi sana.ni jambo kidogo sana linaweza likasababisha historia ikabadilika.kwahiyo ukiona busara za wenye hekima zinetumika dhidi ya nguvu usibeze ata kidogo.Wanayoyapigania nikwa manufaa ya kila mwananchi wa hii nchi kwa vizazi vya leo na vijavyo.kama wewe huna unachokiona kinapaswa kuwekwa sawa nchi hii basi wewe ni binadamu usiye na fikra yakinifu.
Jifunze kutoka nchi zilizopata katiba mpya
 
Kuna vurugu gani imehamasishwa au umekurupuka.au unataka watu watembee uchi?
Hawana nguo zaidi ya hizo fulana zenye mrengo wa kisiasa kama sio harakati? Na mbona waingie na kukaa kikundi kama sio uhuni!
 
Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.

Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.

Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.

Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.

View attachment 2242410
View attachment 2242411
Hapa hekima na busara ilikosekana kwa chama kuegemea upande mmoja wa timu pinzani,
Wakati mwingine tafuteni fulana zisizo fungamana na upande wowote, hata bluu si rangi ya chama? Au bora msishiriki kabisa
Hapa mmefeli na kupoteza tena kwa kushindwa kubalance Mambo.
Najiuliza chama hakina washauri wazuri
Au kila mtu anajiamuliaga kivyake!!??
 
Back
Top Bottom