Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki natakaJeshi hili hili lililokuwa linawadhibiti CHADEMA kufanya mikutano leo linashindwa kudhibiti uvaaji wa fulana za katiba mpya au limeamua kuacha tu?
Mkiachwa mnasema polisi wameshindwa kidhibiti mkidhibitiwa mnasema hakuna demokrasia. Sijui mahitaji yenu ni nini hasa
Wamevunja sheria gani ?Viongozi wa CDM hawana ushawishi walichobaki nacho ni kutafuta mazingira ya kuvunja sheria, wahusika wachukue hatua; wapate cha kusema.
Mechi ya mpira na mambo ya katiba wapi na wapi kama sio kutafuta kiki za kuongelewa tu.
Bosi hata akili hunaCHADEMA wameishiwa mawazo aseh
siasa na mpira wapi na wapi?
ona mmeiponza SIMBA😁
Ni wewe!Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Misplaced assumption based on wishfull thinking.Matokeo ya kibatala uliyapata maana gaidi keko ilikuwa inaenda kuwa nyumba yake ya milele.
Tatizo sio kuvunja sheria CDM ni attention seekers.Wamevunja sheria gani ?
Mkuu, akili zako zinapatikana wapi?Hawana nguo zaidi ya hizo fulana zenye mrengo wa kisiasa kama sio harakati? Na mbona waingie na kukaa kikundi kama sio uhuni!
Rudely Unconscious?Poor Understanding and Rude Unconscious (P.U.R.U)
Kwani Simba wana hati miliki ya rangi nyekundu?mmetumia njia kujifanya mmevaa jezi la simba
Hizo ni mentality zako za hovyo. Wale wamevaa Jezi za Simba?Hujitambui na kama ndo mawazo ya viongozi pia ni wajinga wa kuwasilisha ujumbe
hekima ni kuwa na uwezo wa katambua alama za nyakati na majira , pia namna ya kuwasilisha ujumbe kwa makundi yote , ndo maana nikasema kulikuwa na option ya kutokuhudhuria pia ,
Kuliko kugawa wafuasi wenu
,Hadi matangazo ya bia yamewazidi akili namna ya kuwasilisha ujumbe,
Fuatilia uone wanafikisha ujumbe kwa namna ambayo makundi na timu zote wanaupokea bila kukwazika
Wakati mwingine jipangeni
Namna kutoa ujumbe kwa wote au tafuteni ushauri kwanza hamjui kila kitu
Aisee kuna watu ni vihiyo kwa hiyo watu wengine wa Yanga waliovaa tshet nyekundu ndio kusemaje?Kwani Simba wana hati miliki ya rangi nyekundu?
Kwaiyo uko tayari kupigwa marungu ili lisu awe Rais?Una uhakika ni jeshi la polisi ndilo lililokua linawazuia au ni busara za wanachama wa chadema ndizo zilizokua zinatumika?.Ndugu usifikiri kuharibu Amani ya nchi kunahitajika mambo mengi sana.ni jambo kidogo sana linaweza likasababisha historia ikabadilika.kwahiyo ukiona busara za wenye hekima zinetumika dhidi ya nguvu usibeze ata kidogo.Wanayoyapigania nikwa manufaa ya kila mwananchi wa hii nchi kwa vizazi vya leo na vijavyo.kama wewe huna unachokiona kinapaswa kuwekwa sawa nchi hii basi wewe ni binadamu usiye na fikra yakinifu.
Wafuasi wa CDM maskini ya mungu waliokuwa wanadhani wanaviongozi walikuwa wanajiimbia “hee kidedea” kwa furaha ya kuwasikiliza viongozi wao.
Mbowe na Lema walivyo na uchu wa madaraka wakarusha grenade katikati kuuwa watu ili wapate attention ya international media, kumbuka huo ulikuwa uongozi wa J.K ambae alijitahidi sana kufanya siasa za ujirani mwema.
Baada ya hapo CDM wakaitisha maandamano yasiyo na kibali Arusha wakishirikisha wahuni waliondaliwa na Lemma kufanya fujo kuwalizimu polisi kutumia silaha za moto yote hayo zama za J.k ambae alikuwa kutwa kuwabembeleza.
Ngoja tumuone huyu bi tozo hiko chama sio cha kubembelezana nacho kina viongozi mashetani wakiongozwa na Mbowe; apewe tu mziki wake pathetic old man.
Archives za ushenzi wao zipo CDM ni chama cha ovyo ambacho lengo lake ni kuvuruga amani ya nchi tu.
Katiba Mpya anayepinga ana roho mbaya tu. Tunawajua wenye roho za uchuKatiba mpya Ni muhimu kwa watanzania wote anayebisha labda awe fisadi big up sana vijana kwa kujitoa mhanga
Pathetic mtu yeyote anaetaka kutumia maisha ya maskini kama human shield ni katili.Unahangaika kwa uongo na ulishafeli hata ukaurudia rudia mara 1000