Mwanza: Nguvu ya Umma yalidhibiti Jeshi la Polisi kuzuia fulana za Katiba Mpya Uwanjani

Mwanza: Nguvu ya Umma yalidhibiti Jeshi la Polisi kuzuia fulana za Katiba Mpya Uwanjani

Viongozi wa CDM hawana ushawishi walichobaki nacho ni kutafuta mazingira ya kuvunja sheria, wahusika wachukue hatua; wapate cha kusema.

Mechi ya mpira na mambo ya katiba wapi na wapi kama sio kutafuta kiki za kuongelewa tu.
 
Jeshi hili hili lililokuwa linawadhibiti CHADEMA kufanya mikutano leo linashindwa kudhibiti uvaaji wa fulana za katiba mpya au limeamua kuacha tu?
Mkiachwa mnasema polisi wameshindwa kidhibiti mkidhibitiwa mnasema hakuna demokrasia. Sijui mahitaji yenu ni nini hasa
Sitaki nataka
 
CHADEMA wameishiwa mawazo aseh

siasa na mpira wapi na wapi?

ona mmeiponza SIMBA😁
 
Viongozi wa CDM hawana ushawishi walichobaki nacho ni kutafuta mazingira ya kuvunja sheria, wahusika wachukue hatua; wapate cha kusema.

Mechi ya mpira na mambo ya katiba wapi na wapi kama sio kutafuta kiki za kuongelewa tu.
Wamevunja sheria gani ?
 
Miafrica ikiwa inatawala ni mipuuzi kuliko mikoloni, sasa unawazuia watu kuvaa tshirt au kufanya mikutano ya amani kwa sababu tuu unataka kuendelea kutawala bila kupingwa, ovyo ovyo ovyo kabisa
 
Wamevunja sheria gani ?
Tatizo sio kuvunja sheria CDM ni attention seekers.

Siasa kama ilivyo taaluma nyingine yeyote zina kanuni zake za mchezo ata kama hazipo kisheria.

CDM wao kila wakipata fursa wanatafuta sababu ya kuongelewa, watajipiga mabomu waseme polisi wamewarushia, wataingiza siasa sehemu ambazo wananchi wanaenda ku sociliase.

Ata CCM awashindwi kumpeleka Shaka au wenyeviti wa mkoa kila mechi ya mpira kuwahadaa wananchi mama anaupiga mwingi, wana watu na hela ya kufanya ivyo

Sio mpirani tu wanaweza ingilia kila graduation ya kuanzia chekechea mpaka za university kuwaambia mwenyekiti wao anaupiga mwingi.

Lakini wanaelewa propaganda zina mipaka, yes Simba na Yanga zilijipendekeza kusifia royal tour lakini hakuna kiongozi wa CCM aliejiweka kati wala wanachama wao katika harakati hizo; kama walihusika ni nyuma ya pazia.

Viongozi wa CDM wao hawana akili hizo kila sehemu wao wenyewe wanaingiza harakati zao kama chama ata mahala ambapo sio sahihi, na wanajua kabisa ni uchokozi isipokuwa wanachotaka ni kuongelewa.

Mechi ya Simba na Yanga inahusika vipi na siasa za kuamasisha katiba, kama sio uchokozi. Kwani CCM ingeshindwa nayo kutumia fursa hiyo kupitia makada wake kwenda kuwaambia mashabiki maza anaupiga mwingi.

Siasa zina mipaka, CDM yakuchekewa ailewi hilo somo; wenyewe mpaka wamtie mtu kidole cha jicho ajibu kwa kuwatangwa ngumi ndio siasa wanazoelewa.

Ngoja tuone bi tozo na siasa zake anazodhani CDM ni waungwana wanaostahili kwenda nao kistaarabu.

Sihitaji kukwambia ata yeye soon atawachoka kwa siasa zenu za ovyo ovyo ambazo azivumiliki popote duniani.

Pathetic CDM
 


Wafuasi wa CDM maskini ya mungu waliokuwa wanadhani wanaviongozi walikuwa wanajiimbia “hee kidedea” kwa furaha ya kuwasikiliza viongozi wao.

Mbowe na Lema walivyo na uchu wa madaraka wakarusha grenade katikati kuuwa watu ili wapate attention ya international media, kumbuka huo ulikuwa uongozi wa J.K ambae alijitahidi sana kufanya siasa za ujirani mwema.

Baada ya hapo CDM wakaitisha maandamano yasiyo na kibali Arusha wakishirikisha wahuni waliondaliwa na Lemma kufanya fujo kuwalizimu polisi kutumia silaha za moto yote hayo zama za J.k ambae alikuwa kutwa kuwabembeleza.

Ngoja tumuone huyu bi tozo hiko chama sio cha kubembelezana nacho kina viongozi mashetani wakiongozwa na Mbowe; apewe tu mziki wake pathetic old man.

Archives za ushenzi wao zipo CDM ni chama cha ovyo ambacho lengo lake ni kuvuruga amani ya nchi tu.
 
Hujitambui na kama ndo mawazo ya viongozi pia ni wajinga wa kuwasilisha ujumbe
hekima ni kuwa na uwezo wa katambua alama za nyakati na majira , pia namna ya kuwasilisha ujumbe kwa makundi yote , ndo maana nikasema kulikuwa na option ya kutokuhudhuria pia ,
Kuliko kugawa wafuasi wenu
,Hadi matangazo ya bia yamewazidi akili namna ya kuwasilisha ujumbe,
Fuatilia uone wanafikisha ujumbe kwa namna ambayo makundi na timu zote wanaupokea bila kukwazika
Wakati mwingine jipangeni
Namna kutoa ujumbe kwa wote au tafuteni ushauri kwanza hamjui kila kitu
Hizo ni mentality zako za hovyo. Wale wamevaa Jezi za Simba?
 
Kwani Simba wana hati miliki ya rangi nyekundu?
Aisee kuna watu ni vihiyo kwa hiyo watu wengine wa Yanga waliovaa tshet nyekundu ndio kusemaje?

Hayo maccm wakishaona wanataka kushindwa huwa yanajificha kwenye kugawa watu
 
Una uhakika ni jeshi la polisi ndilo lililokua linawazuia au ni busara za wanachama wa chadema ndizo zilizokua zinatumika?.Ndugu usifikiri kuharibu Amani ya nchi kunahitajika mambo mengi sana.ni jambo kidogo sana linaweza likasababisha historia ikabadilika.kwahiyo ukiona busara za wenye hekima zinetumika dhidi ya nguvu usibeze ata kidogo.Wanayoyapigania nikwa manufaa ya kila mwananchi wa hii nchi kwa vizazi vya leo na vijavyo.kama wewe huna unachokiona kinapaswa kuwekwa sawa nchi hii basi wewe ni binadamu usiye na fikra yakinifu.
Kwaiyo uko tayari kupigwa marungu ili lisu awe Rais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Wafuasi wa CDM maskini ya mungu waliokuwa wanadhani wanaviongozi walikuwa wanajiimbia “hee kidedea” kwa furaha ya kuwasikiliza viongozi wao.

Mbowe na Lema walivyo na uchu wa madaraka wakarusha grenade katikati kuuwa watu ili wapate attention ya international media, kumbuka huo ulikuwa uongozi wa J.K ambae alijitahidi sana kufanya siasa za ujirani mwema.

Baada ya hapo CDM wakaitisha maandamano yasiyo na kibali Arusha wakishirikisha wahuni waliondaliwa na Lemma kufanya fujo kuwalizimu polisi kutumia silaha za moto yote hayo zama za J.k ambae alikuwa kutwa kuwabembeleza.

Ngoja tumuone huyu bi tozo hiko chama sio cha kubembelezana nacho kina viongozi mashetani wakiongozwa na Mbowe; apewe tu mziki wake pathetic old man.

Archives za ushenzi wao zipo CDM ni chama cha ovyo ambacho lengo lake ni kuvuruga amani ya nchi tu.

Unahangaika kwa uongo na ulishafeli hata ukaurudia rudia mara 1000
 
Unahangaika kwa uongo na ulishafeli hata ukaurudia rudia mara 1000
Pathetic mtu yeyote anaetaka kutumia maisha ya maskini kama human shield ni katili.

Ndio kama Mbowe kila saa tukiamua hii nchi aitotawalika amrudishe Godfrey kwanza kutoka marekani amuweke mstari wa mbele kabla ya kuwaweka watoto wa wenzake idiot.

Uwezi kumsikia kiongozi wa CCM ata siku moja ataingiza watu mtaani kwa sababu ya nafasi ya uongozi.

CDM uchaguzi uliopita imeua wagombea wake Mfindi na Mbeya ili tu wapate international attention.

Tena sio maswala ambayo yalipata local wala international Media ni Magufuli ndiyo yalimkera na akayaibuwa.

Ni wehu tu ndio wanaweza kuwa wafuasi wa CDM na raisi wa ovyo kama Bi Tozo anaweza kuwapa platform.

CDM na viongozi wake ni ovyo kweli kweli; na mtu ambae aliewaweza kuwapa huduma inayoendana na tabia za chama chenu ni Magufuli.

Yeyote anae support movement za CDM ni mwehu.

Vita ya Tanzania ni wahuni; sio vyama vya siasa visivyojitambua. Ikiwezekana msajili afutilie mbali vyama vyote tuna matatizo makubwa zaidi ya watu kama hakina Jakaya Kikwete na genge lake la wahuni kutuchukulia poa watanzania karibu millioni 60.
 
Back
Top Bottom