econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Yanga ni mpango wa Mungu
Sio wa shetani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga ni mpango wa Mungu
Mnahamasisha vurugu kwa kuratibu vijana wajinga nyie mkiwa mbali, kisha virungu vikitembea mnaanza kulialia.
Hawa ndio wameleta balaa la Simba kufungwa!! Ona hata sura zimejaa huzuni tupu!!Jeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411
Mpira sio kongamano la harakati, kama ni mashabiki na hawana nia ovu iweje waingie kwa pamoja na kukaa kikundi?Vurugu gani? Acha maneno yasiyo na hekima. Kwa hivyo kuvaa fulana ya Katiba Mpya ni kosa?. Acha zako.
Kuhusu kuijua PGO hapana siijui , naibia tu kwa KibatalaMtoa mada unajidai unaijua sana PGO pia viwatu viwili hivyo ndio useme soja wameshindwa red balet unawajua vizuri walitinga kweli hapo wazee kazi chap wamemaliza.
Matokeo ya kibatala uliyapata maana gaidi keko ilikuwa inaenda kuwa nyumba yake ya milele.Kuhusu kuijua PGO hapana siijui , naibia tu kwa Kibatala
Bashite hilo linangaika na CHADEMA kama mwehu.Mkuu hongera kwa ID kibao , hivi mtu mmoja unawezaje kuwa na 1D 100 ?
Hiyo bia yetu, mbona nasikia ndo ile ililala March 17?!
Wehu wa chadema kwenye ubora wenuBashite hilo linangaika na CHADEMA kama mwehu.
Utamaduni wa matusi lazima upigwe vita! Kutukana ni kuwadhalilisha wazazi waliokulea kuwa hawakutimiza vizuri wajibu wao! Haikubaliki!Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Mkuu,hivi mwanakondoo si ni mtoto wa kondoo eeh!?AMEN. Mwanakondoo ameshinda, tumfuate.
Watakuambia LISSU!!Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
Kuna vitu ukiviacha sio tatizo kabisa ,ila jeshi letu la police hukomaa na vitu visivyo na msingi, na wanachadema tz nzima elewa mvutano wa ccm na Chadema umekua mtaji KWa watu wengi ,na wamepata utajiri mkubwa , so sio watamanio mgogoro wa ccm na Chadema ukiisha kirahis ,japo twasema hakuna makubaliano ambayo hayana tija , Kama nia zao nzuri tuendelee na mazungumzo Kama hamna basi sie ni kulala mbeleJeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411
Huo uzi umetulia sanaJeshi la Polisi leo limeshindwa kwa mara nyingine tena kuwazuia wananchi waliovalia fulana nzuri zenye neno Muhimu la KATIBA MPYA waliotaka kuingia uwanjani kujionea Mchezo wa soka wa Yanga na Simba.
Haijulikani kilikotokea Jeshi hilo kuzuia wananchi wenye fulana za Katiba mpya kuingia uwanjani, wala haijulikani ni kifungu gani cha Katiba ya nchi walichokinukuu , au labda ni ukurasa gani wa PGO ulioandika jambo hilo.
Bali tunawapongeza Wananchi wa Mwanza kwa kulidhibiti Jeshi la polisi na kuhakikisha kila mwenye tiketi anaingia kutazama soka bila kubughudhiwa kutokana na mavazi yake mazuri ya kiheshima.
Pichani : Ni wananchi wa Mwanza waki enjoy soka baada ya kuruhusiwa na NGUVU YA UMMA kuingia uwanjani kutazama soka.
View attachment 2242410
View attachment 2242411
corticopontine mutu ya cerebella na pons😀😀😀Chadema wajinga Sana ni form four failure wote hawana akili niambieni Nani mwenye akili Chadema
bila chadema polisi watakula overtime zipi? na sahizi zimeongezwa watafurahi sanaKuna vitu ukiviacha sio tatizo kabisa ,ila jeshi letu la police hukomaa na vitu visivyo na msingi, na wanachadema tz nzima elewa mvutano wa ccm na Chadema umekua mtaji KWa watu wengi ,na wamepata utajiri mkubwa , so sio watamanio mgogoro wa ccm na Chadema ukiisha kirahis ,japo twasema hakuna makubaliano ambayo hayana tija , Kama nia zao nzuri tuendelee na mazungumzo Kama hamna basi sie ni kulala mbele