Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Mbunge wa Mchongo huyo. Hatakaa akanyage tena Mjengoni kwa chaguzi zijazo.Mmeshindwa kuiendesha na mbunge wenu Dr Mollel[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Mchongo huyo. Hatakaa akanyage tena Mjengoni kwa chaguzi zijazo.Mmeshindwa kuiendesha na mbunge wenu Dr Mollel[emoji3][emoji3]
Nongwa iko wapi likiitwa Samia?Hilo daraja usije shangaa likaitwa Samia Bridge.
Niko pale 👉.
Mmeshindwa kuiendesha na mbunge wenu Dr Mollel[emoji3][emoji3]
Hatufai kabisa, anajiendea tu bila kujua mwelekeo wake.Ameshapoteza Imani kwa kiwango kikibwa kwa walio wengi. Hata aongee nn kwa sasa ni zero nothing else.
Shetani huyo.Mama Yanga Humpendi Wakati CCM Wanasema Anaupiga Mwingi Mno
Baada ya kuipiga mnada bandari yetu, sasa mama wa kizanzibar anakwenda kucheka cheka na wasukuma.Salaam Wakuu
Tarehe 14 Juni 2023, Rais Samia anatarajiwa kutembelea na kukagua Ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi ambalo ujenzi wake umefikia 75%
Ujenzi wa Daraja TSh 602.19 bilioni. Daraja la Kigongo Busisi ambalo linajengwa katika Ziwa Victoria mkoani Mwanza, lina urefu wa kilometa 3.2.
View attachment 2654089
Kucheka au kuangalia kama linauzika na lenyewe.Baada ya kuipiga mnada bandari yetu, sasa mama wa kizanzibar anakwenda kucheka cheka na wasukuma.
Tanganyika kumejaa vizazi vya wajinga watupu!
Uongo hilo daraja linahitaji zaidi ya bilioni 800 kutokana na kushuka kwa thamani ya TshIle fedha iliyojengewa Airport Chato ingetiwa hapo Daraja lingeisha Long time
Kuna mitaa zimetengenezwa. Kama maduka tisa Ukombozi ipo ya mawe, Nyamanoro, na hapo Uwanja wa mbuzi pia wanaweka.Aikumbuke Mwanza angalau kujengewa barabara za mitaa kwa kiwango cha lami au hata barabara za mawe maana kumeharibika mitaani Nyasaka centre to Miti mirefu hakufai hovyo kabisa
Wanataka kuleta mchezo na wasukuma.Hilo daraja usije shangaa likaitwa Samia Bridge.
Niko pale 👉.
HAWEZI KUPIGA MADONGO AKIWA KANDA YA ZIWA, HAWEZI.Huko ndipo atatumia kupiga madongo.
Hebu nielewe vizuri logic yangu.Uongo hilo daraja linahitaji zaidi ya bilioni 800 kutokana na kushuka kwa thamani ya Tsh