Mwanza: Rais Samia kutembelea Ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi

Mwanza: Rais Samia kutembelea Ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi

Aikumbuke Mwanza angalau kujengewa barabara za mitaa kwa kiwango cha lami au hata barabara za mawe maana kumeharibika mitaani Nyasaka centre to Miti mirefu hakufai hovyo kabisa
 
Salaam Wakuu

Tarehe 14 Juni 2023, Rais Samia anatarajiwa kutembelea na kukagua Ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi ambalo ujenzi wake umefikia 75%

Ujenzi wa Daraja TSh 602.19 bilioni. Daraja la Kigongo Busisi ambalo linajengwa katika Ziwa Victoria mkoani Mwanza, lina urefu wa kilometa 3.2.
View attachment 2654089
Baada ya kuipiga mnada bandari yetu, sasa mama wa kizanzibar anakwenda kucheka cheka na wasukuma.

Tanganyika kumejaa vizazi vya wajinga watupu!
 
Ile fedha iliyojengewa Airport Chato ingetiwa hapo Daraja lingeisha Long time
Uongo hilo daraja linahitaji zaidi ya bilioni 800 kutokana na kushuka kwa thamani ya Tsh
 
Aikumbuke Mwanza angalau kujengewa barabara za mitaa kwa kiwango cha lami au hata barabara za mawe maana kumeharibika mitaani Nyasaka centre to Miti mirefu hakufai hovyo kabisa
Kuna mitaa zimetengenezwa. Kama maduka tisa Ukombozi ipo ya mawe, Nyamanoro, na hapo Uwanja wa mbuzi pia wanaweka.
 
Back
Top Bottom