Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu waje na N CENTRE TO MITI MIREFUKuna mitaa zimetengenezwa. Kama maduka tisa Ukombozi ipo ya mawe, Nyamanoro, na hapo Uwanja wa mbuzi pia wanaweka.
Kuwa na wajomba Oman imekuwa nongwa tayari!. Mje na pointi zenye maana kwa maslahi ya taifa.Huyu mtu sina imani nae kabisa, akiwa hapo atajidai kuongea maneno ya kizalendo kama vile anatujali sana wabara, lakini akienda kwa wajomba zake Oman anatusaliti.
Tuziendeleze kwa ubunifu wetu wenyewe. Alianza Mkapa kubinafsisha mashirika yetu nyeti, tuna matatizo katika masuala ya nidhamu ya uendeshaji.Kwa jinsi alivyowapa Waarabu Bandari zetu!.....
Kwahiyo Lumumba kumechafuka?😆🤣Tangia atuuze kwa waarabu sina hamu naye kabisa huyu mama wa kambo.
Ile mil 100 ya mzee Sabodo haikununua hata kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu. Wajanja walipiga yote. Afadhali kiwanja cha Chato ni mali yetu sote!Ile fedha iliyojengewa Airport Chato ingetiwa hapo Daraja lingeisha Long time