Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni haki yao hata kama ni kidogo.Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?
Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.
Ualimu ni umasikini wa kujitakia.
#MaendeleoHayanaChama
Akiwa na shughuli zake anawasambazia kadi walimu.Hao walimu unaowadharau ndiyo wanaokufundishia watoto wako.
Tuwape heshima basi kwa kujitolea kwao. Ni haki yao kudai kilicho chao, wewe unaona laki moja ndogo, bila ya kuifanyia kazi nani atakupa hiyo laki bure bure tu?
Watu wamehonga mpaka laki & ½ wakitegemea kuwa kazi itafanyika kwa siku 60 kwa malipo ya elfu 30 kwa siku 1Mwanzoni kabisa wakati wanatangaza hizi ajira niliwaambia mtadhurumiwa..kwa sababu mchezo wote nilikuwa naufahamu...
Zimeelekezwa kule Eastern UkraineVp mabom na washa washa hazikuepo?
Kwa wiki mil 2 hadi 3.na kuhonga kote ili "wafikiliwe zaidi" bado wamekopwa, pumbavu Sana!
Hii nchi ngumu, Nina class mate wangu ambaye form four aliambulia four ya mwisho, ni katibu muhtasi taasisi moja nyeti nchini (TRA, BOT, ...) ana kazi za nje ya kituo mikoani huko..hadi mwenyewe anachagua aende au asiende maana ni za kumwaga, kwa wiki anakunja milioni 2 hadi 3....
Nesi wa hapa N'gwashilalage ambaye yeye ndio daktari, mfamasia, laboratory technician (kazi zote anafanya yeye) serikali haina habari naye hata kumpa kifuta jasho cha IST tu ya mtumba!...
Namalizia na wimbo; Mbinguni kuna makao mazuri, Mbinguni kuna furahaaaa X3
Wanaonewa sana hasa wanawake wanalazimishwa kutoa mbususu kwa maafisa utumishi na MaDEO ili mambo yao yanyooshweInasikitisha Sana,
Waalimu wanaonewa Sana nchi hii
KisaMimi ni Mwalimu ila nabariki walimu hao wasilipwe,na ikiwezekana wakamatwe wafungwe
Ilikua lazima wapigweWashapigwa,jasho lao lishaliwa na wajuba
Ova
Mimi nakula kwa jasho langu, nipo zangu kwenye karasha la kusaga mawe nikiambulia 0.5gram ya dhahabu ni sherehe, narundika rudio kwa ajili ya kwenda plant.... Matumaini ya kutoboa kama King Musukuma yapo makubwa!Kwa wiki mil 2 hadi 3.
Kwa mwezi mil 8 hadi 12.
Kwa mwaka mil 96 hadi 144.
Bado mshahara.
Asee, naamini wewe uliyeambulia matokeo mazuri unakunja mara 2 au 3 zaidi ya huyu class mate wako.
Nchi ngumu sana hii.
Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?
Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.
Ualimu ni umasikini wa kujitakia.
#MaendeleoHayanaChama
Utajua baadae!Kisa
Walimu wote hamna akili. Na hapo ukute sio sababu ulikua huitaji hiyo kazi Bali tu uliikosa[emoji23]Mimi ni Mwalimu ila nabariki walimu hao wasilipwe,na ikiwezekana wakamatwe wafungwe
Acheni kutanguliza njaa!Kwaiyo rafiki ako unamzuiaje asiwe mwalimu mkuu?? Acha zarau fala wewe bila mwalimu wewe ungekuwa unajitambua???