Mwanza: Walimu 250 waandamana kudai malipo ya kazi ya anwani za makazi

Mwanza: Walimu 250 waandamana kudai malipo ya kazi ya anwani za makazi

Kwaiyo rafiki ako unamzuiaje asiwe mwalimu mkuu?? Acha zarau fala wewe bila mwalimu wewe ungekuwa unajitambua???

Hawa watu waheshimiwe na wapewe Haki yao ilo ndo la msingi ila kusema ni laana au sio kazi sio Sawa.... we unafikiri kusingekuwa na walimu nani angetufundisha hao wakurugenzi waache ujanja janja wawape pesa yao..... sio ndo kwa mwalimu itamsaidia mambo yake...... unaikataa laki na hauna ata mia
Unaona hata upeo wako ulivyo mdogo..unashindwa kujibu hoja unaanza kutukana..walimu mnashida sana.

Ndio watumishi pekee waolilia lia kila uchwao..na ndio toilet pepa ya chama cha mashetani.

Pole sana

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?

Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.

Ualimu ni umasikini wa kujitakia.

#MaendeleoHayanaChama
Kimfaacho mtu chake
Kama wamefanyakazi kwa jasho basi walipwe kabla jasho lao halijakauka
 
Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?

Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.

Ualimu ni umasikini wa kujitakia.

#MaendeleoHayanaChama
Wewe jamaa ni hasara kwa taifa kiufupi una ujinga uliopitiliza.
 
na kuhonga kote ili "wafikiliwe zaidi" bado wamekopwa, pumbavu Sana!

Hii nchi ngumu, Nina class mate wangu ambaye form four aliambulia four ya mwisho, ni katibu muhtasi taasisi moja nyeti nchini (TRA, BOT, ...) ana kazi za nje ya kituo mikoani huko..hadi mwenyewe anachagua aende au asiende maana ni za kumwaga, kwa wiki anakunja milioni 2 hadi 3....

Nesi wa hapa N'gwashilalage ambaye yeye ndio daktari, mfamasia, laboratory technician (kazi zote anafanya yeye) serikali haina habari naye hata kumpa kifuta jasho cha IST tu ya mtumba!...

Namalizia na wimbo; Mbinguni kuna makao mazuri, Mbinguni kuna furahaaaa X3
Amka toka usingizini
 
Pia waendelee kujiandaa mei mosi inakuja. Sijui na penyewe wataandamana maana hawapati kitu kwa maushungi.
 
Walimu 250 kutoka Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza wameandamana hadi ofisi za Halmashauri ya Jiji la Mwanza kudai posho zao za kazi ya kuweka alama za anwani za makazi waliyoifanya kwa siku tano.

Watumishi hao waliandamana jioni ya Aprili 8, 2022 ambapo malipo hayo ni Sh 100,000 kwa siku tano ambapo kila siku malipo yalikuwa ni Sh 20,000 kwa mtu mmoja.

Akizungumzia hali hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel alisema atawasiliana na viongozi wa mradi huo na viongozi wa kata kisha atatoa taarifa kwa walimu hao kuhusu malipo yao.

“Wanatufokea, wanatutukana, sisi ni watumishi wa umma, sasa hivi wanaanza kutuzungusha kuwa tutalipwa kwa kaya kitu ambacho ni tofauti na makubaliano yetu,” alisema mmoja wa waandamanaji hao.

Chanzo: Nipashe
Watajuana wrnyewe na serikali yao ya ccm
 
Wewe jamaa ni hasara kwa taifa kiufupi una ujinga uliopitiliza.
Mimi sikukulazimisha ukasome ualimu..ona onavyoteseka na kuja kunitukana..pambana na hali yako.
Ualimu kwa nchii ni janga..kwanza wengi wenu ni felia...ndio mana mnatumika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Walimu 250 kutoka Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza wameandamana hadi ofisi za Halmashauri ya Jiji la Mwanza kudai posho zao za kazi ya kuweka alama za anwani za makazi waliyoifanya kwa siku tano.

Watumishi hao waliandamana jioni ya Aprili 8, 2022 ambapo malipo hayo ni Sh 100,000 kwa siku tano ambapo kila siku malipo yalikuwa ni Sh 20,000 kwa mtu mmoja.

Akizungumzia hali hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel alisema atawasiliana na viongozi wa mradi huo na viongozi wa kata kisha atatoa taarifa kwa walimu hao kuhusu malipo yao.

“Wanatufokea, wanatutukana, sisi ni watumishi wa umma, sasa hivi wanaanza kutuzungusha kuwa tutalipwa kwa kaya kitu ambacho ni tofauti na makubaliano yetu,” alisema mmoja wa waandamanaji hao.

Chanzo: Nipashe

Ualimu ni laana au? Mmetoka tena wapi kwenye Postkodi mungu wa mbinguni?​

Watoto mliwaacha wapi ukaende kwenye huo ujinga?​

Kazi za hivyo walimu achaneni nazo mnadhalilika mnooooo​

 
Mimi sikukulazimisha ukasome ualimu..ona onavyoteseka na kuja kunitukana..pambana na hali yako.
Ualimu kwa nchii ni janga..kwanza wengi wenu ni felia...ndio mana mnatumika.

#MaendeleoHayanaChama
Mimi siyo mwalimu wala sisomei ualimu ila nagpigania haki na UADILIFU ,nimeona hujatumia lugha ya busara na hekima Ktk kuwasikisha mawazo yako .

Walimu wamenifundisha vitu vingi kwa upendo na UADILIFU mkubwa wkt mwingine wanatusaidia kimawazo ,kutufariji ,kutupongeza shuleni pamoja na kutuongoza kwenye WEMA kwa upendo mkubwa wakati mwingine wanakuwa zaidi ya wazazi.Hivyo lazima iniume nikiona wanakoselewa na kudhalilisha bila adamu kwani natambua michango yao Ktk maisha ya watu wengi ukiacha mbali na kuwasomesha tu.
 
wewe ni nani ambaye laki moja siyo hela kwako, udalali wa nyanya hapo tandale umekujaza kiburi unatukashifu walimu tunaokufundishia wanao
Walimu wa nchii kama wana laana vile..yani laki 1 ndio ya kumfanya mtu aandamane. ?

Ndio mana nilikataa na siku zote sitaruhusu ndugu ama rafiki awe mwalimu..bora atafute kazi nyingine ya kufanya.

Ualimu ni umasikini wa kujitakia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unaona hata upeo wako ulivyo mdogo..unashindwa kujibu hoja unaanza kutukana..walimu mnashida sana.

Ndio watumishi pekee waolilia lia kila uchwao..na ndio toilet pepa ya chama cha mashetani.

Pole sana

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama

Tusi lipo wapi? Nipo tofauti na wewe kimtazamo.... then mimi sio mwalimu ila nimejaribu kuwasemea kwasbabu wanachodai ni Haki yao....!!!

Wewe mwenye upeo mkubwa nataka kujua unachofanya ili kutimiza wajibu wako kwenye familia yako.....
 
Yaani ukiingia jf bhana unaweza sema nchi nzima ni matajiri isipokuwa mwalimu.


Kumbe ukute anaemcheka yuko dar kwa dada yake analala sebuleni kama baiskeli

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilichojifunza ni kwamba watu wana fake sana maisha mtu Mtanzania kabisa kuukashifu ualimu hivi na kuapa hutaruhusu ndugu yako awe Mwalimu sioni logic ya kuulaani ualimu kiasi hicho na wengi wao huunga mkono kukashifu unakuta hata ajira hana tupunguze mihemko ndugu zangu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom