jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Unaona hata upeo wako ulivyo mdogo..unashindwa kujibu hoja unaanza kutukana..walimu mnashida sana.Kwaiyo rafiki ako unamzuiaje asiwe mwalimu mkuu?? Acha zarau fala wewe bila mwalimu wewe ungekuwa unajitambua???
Hawa watu waheshimiwe na wapewe Haki yao ilo ndo la msingi ila kusema ni laana au sio kazi sio Sawa.... we unafikiri kusingekuwa na walimu nani angetufundisha hao wakurugenzi waache ujanja janja wawape pesa yao..... sio ndo kwa mwalimu itamsaidia mambo yake...... unaikataa laki na hauna ata mia
Ndio watumishi pekee waolilia lia kila uchwao..na ndio toilet pepa ya chama cha mashetani.
Pole sana
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama