Mwanza: Walimu 250 waandamana kudai malipo ya kazi ya anwani za makazi

Walipwe tu pesa zao Jamani
 
Salamu za Mei mosi hizo!

"Mama" hataki nidhamu ya uoga ya awamu ya tano.
Hapo wa kulaumiwa si mhasibu tu,Kuna kamtandao hapo.Uchunguzi huru ufanyhke kujuwa kwanini hawajalipwa na walipwe.Kutembea kutwa inatesa.
 
Amkeni amkeni Tanga napo pesa zimepigwa zoezi watu hawajalipwa pesa zao za siku mbili tena wengine wamelipwa hadi 40000 kwa wiki
 
Vaeni t-shirt zilizoandikwa katiba mpya mtapewa fedha zenu haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…