Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,394 Reaction score 59,069 Apr 10, 2022 #81 Walipwe tu pesa zao Jamani
Michael mbano JF-Expert Member Joined Apr 4, 2022 Posts 820 Reaction score 570 Apr 10, 2022 #82 Karne said: Salamu za Mei mosi hizo! "Mama" hataki nidhamu ya uoga ya awamu ya tano. Click to expand... Hapo wa kulaumiwa si mhasibu tu,Kuna kamtandao hapo.Uchunguzi huru ufanyhke kujuwa kwanini hawajalipwa na walipwe.Kutembea kutwa inatesa.
Karne said: Salamu za Mei mosi hizo! "Mama" hataki nidhamu ya uoga ya awamu ya tano. Click to expand... Hapo wa kulaumiwa si mhasibu tu,Kuna kamtandao hapo.Uchunguzi huru ufanyhke kujuwa kwanini hawajalipwa na walipwe.Kutembea kutwa inatesa.
Gpili JF-Expert Member Joined May 18, 2020 Posts 2,180 Reaction score 2,083 Apr 16, 2022 #83 Amkeni amkeni Tanga napo pesa zimepigwa zoezi watu hawajalipwa pesa zao za siku mbili tena wengine wamelipwa hadi 40000 kwa wiki
Amkeni amkeni Tanga napo pesa zimepigwa zoezi watu hawajalipwa pesa zao za siku mbili tena wengine wamelipwa hadi 40000 kwa wiki
Mwanakwetuuu JF-Expert Member Joined Apr 8, 2022 Posts 1,011 Reaction score 2,283 Apr 16, 2022 #84 Vaeni t-shirt zilizoandikwa katiba mpya mtapewa fedha zenu haraka sana
Michael mbano JF-Expert Member Joined Apr 4, 2022 Posts 820 Reaction score 570 Apr 17, 2022 #85 Jaman hawatoshek wasimamiz wa zoez had wawapge walalahoi wenzangu.?