Mwanza: Wamiliki wa baa na kumbi za starehe waandamana kuelekea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Mwanza: Wamiliki wa baa na kumbi za starehe waandamana kuelekea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Hii nchi ya ajabu sana, tangu uhuru watu wanaishi vizuri wakinywa na kuburudika sasa yanakuja majitu awamu ya sita yanataka kutuharibia life style yetu kwa sababu za imani zao za karne ya saba
 
Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
wananchi wamefikia hatua ya kupinga sheria ya nchi? Kwanini kipindi cha rais huyu? kuna jambo. Msukuma si ni sukuma gang? Mama asipokuwa mkali akaonesha mfano atashindwa kuitawala hii nchi.
 
Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
wana kibali cha kuandamana? Kwa hiyo siku hizi hakuna kuomba ruhusa polisi kuandamana? Nchi yetu inaelekea wapi? Huyu rais anafikiri ye ni mstaarabu sana au anafikiri hao wananchi ndio wastaarabu zaidi yake. Tangia siku wale wanaojiita wafanyabiashara kariakoo walipofunga maduka serikali ikaenda kuwabembeleza niliona mchezo ndio umeanza. Walikuwa wanamtukana waziri wa fedha, kumtukana waziri indirectly walikuwa wanamtukana rais. Leo watu wahalifu wanaandamana, nani kawapa kibali? Kwanini wasinyanganywe leseni? Ndio wakati sasa watendaji wa serikali watamwachia kila jitu rais waone km ataweza kuendesha nchi mwenyewe.
 
Makalla kila anapokwenda anapeleka matamko yasiotekelezeka kupelekea maandamano.

Nahisi angepumzishwa katika haya mambo ya ukuu wa mkoa aachwe ndani ya chama tu.

Sasa hivi tutasikia soko limeungua huko.
we nawe poyoyo huna akili, Makalla ndio kaitishe maandamano?
 
Huu utaratibu wa kila mvunja sheria kulazimisha kosa lake likubalike kwa mashinikizo ya maandamano halina mustakbali mzuri. Na viongozi wa kisiasa kutolea matamko kupingana na sheria pia sio sahihi. Vipi kama wale ambao nao wanaona kelele si sahihi wakiandamana? Kuandamana si suluhisho, suluhisho ni kutii sheria bila shuruti.
watoto wa mama nani atawagusa. Kiongozi gani atajaribu kuwagusa, hata polisi wameufyata. mama wa maridhiano, watafanya maridhiano muda si mrefu. hakuna sheria sahvi. Mbona naona afadhali ya Mwinyi?
 
Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Kelele ni kero zinaharibu afya (stress) na kupunguza hadhi/ thamani za nyumba zetu zilizo karibu na baa. Funga Mama watoto wasome kwa utulivu. Ulaya madisco na mziki pelekwa Mabuki na Chalinze..
 
Hii nchi ya ajabu sana, tangu uhuru watu wanaishi vizuri wakinywa na kuburudika sasa yanakuja majitu awamu ya sita yanataka kutuharibia life style yetu kwa sababu za imani zao za karne ya saba
imani ipi we mlevi mpumbavu. Rais huyu ndio katunga sheria ya mazingira, tumia kichwa kufikiri siyo makalio
 
wana kibali cha kuandamana? Kwa hiyo siku hizi hakuna kuomba ruhusa polisi kuandamana? Nchi yetu inaelekea wapi? Huyu rais anafikiri ye ni mstaarabu sana au anafikiri hao wananchi ndio wastaarabu zaidi yake. Tangia siku wale wanaojiita wafanyabiashara kariakoo walipofunga maduka serikali ikaenda kuwabembeleza niliona mchezo ndio umeanza. Walikuwa wanamtukana waziri wa fedha, kumtukana waziri indirectly walikuwa wanamtukana rais. Leo watu wahalifu wanaandamana, nani kawapa kibali? Kwanini wasinyanganywe leseni? Ndio wakati sasa watendaji wa serikali watamwachia kila jitu rais waone km ataweza kuendesha nchi mwenyewe.
Hatar sana !
 
Back
Top Bottom