Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

Wewe binafsi si unaamini kuna kiumbe cha kufikirika kinaitwa jini? It’s so sad jinsi udini ulivyofunika ufahamu wako . Isingekuwa udini una akili nzuri sana tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio maana baadhi yenu waafrika mnakuwa maskini wa vipato(am sorry to utter this)....kwa kutotaka kuwekeza katika maarifa.....nina boti yangu ya uvuvi hapo nyamisati kutwa inakaribia kuzama kwa mzigo wa samaki....wenzangu wananishangaa...SIRI SIRI SIRI....hafundishwi mpumbavu wa fikra.... hafundishwi "goyyim"....

Vingi havionekani na "wapumbavu"....ukiwa na telescope unaziona SAYARI kulingana na nguvu ya hiyo telecoscope....binafsi yangu nimeinunua "AMAZON" baada ya kudunduliza....haya mjinga wewe kataa kuwa sayari hazionekani....peleka visenti vyako "ubanda wa kangara" na kununua "mizoga yenye gono tu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa nini kiliwaua akati wanajua kuogelea???
...Ina maana mmoja alitaka kumuokpa mwenzie aliyekuwa anazama?? Ilikuwaje Mapacha Wawili wanaojua kuogelea Wakafa Wote Kwa Pamoja??
 
Kwahiyo yake mawimbi tunayoyaona ni majini? Kweli sijaona mwisho wa ujinga km nilivyodhani. Nchi hii kuna watu ni wajinga mpaka mnashangaza na kuacha rekodi.
Mkuu umeshawahi kuvua?!!!

Baharini yako mawimbi....huwa yanasababisha ajali....

Wako samaki wenye umeme....huwa wanasababisha ajali.....

Na pia yako mengine pia huwa yanasababisha ajali pia....ila ninyi "mbubu na wenye "mbango" mnaomlalamikia maisha yenu mh.Chifu Hangaya upumbavu huwa hauwatoki....karibu tunywe Al Kasus hapa nyamisati....nasubiri hesabu ya samaki.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ungeelewa Maana ya neno jinni kwa Kiswahili usingapata tabu kukijuwa.
Wenzake tunayatumia katika kupata pesa na maisha yanaendelea....aendelee kuatamia ufukara tu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji106]
Ngosha wa Orlando Florida huyoooo.....

Yashilagga guukuuu [emoji1787]
 
Dah,huzuni,yaani unatafuta kujua hata nini kilitokea unakosa majibu kabisa,ili mradi tu ilikuwa wafe...
 
Sishangai sababu iliyotolewa na hilo jeshi la uokoaji , jumapili moja nikiwa maeneo ya kigamboni kule darajani nanyosha miguu , chini walionekana watu wakiogelea kipindi hicho hawajaanza kukataza watu kuogelea pale , kwa mbali kulikuwa na vijana wawili ( baadae ilifahamika kuwa ni wanachuo toka DUCE ) waliokuwa wakipiga kasia wakiwa kwenye ile mitubwi midgo ainayopark pembezoni mwa bahari ,.

huku na kule wakawa pale katikati ya daraja , sijui ikawaje mtubwi ukapinduka juu chini , eeehh !! Katika wote wawili hamna hata mmoja ajuaye kuogelea bahati nzuri mmoja alikuwa karibu na mtubwi ule akaushika ili asizame , huyu mwingine alikuwa mbali kidogo ukizingatia kuogelea hajui basi huwezi amini kijana alizama. Watu tukiwa tunamuona hivi hivi . Ilikuwa yapata saa kumi na mbili na nusu jioni huwezi amini askari wa pale walipewa taarifa mapema tu juu ya lile tukio lakini pindi walipo fika huwezi amini waliishia kutufukuza wotee tuliokuwepo pale na kututaka turudi kesho asubuhi kwa ajilii ya kuuchukua mwili eti kwasababu bahari haijawahi kukaa na uchavu katika tika .
 
Kuna samaki anaitwa mkunga kwa kiingereza electric eel.

Huyu samaki ana uwezo wa kukupiga shoti.

Inaaminiwa wengi wanaopotea baharini na kwenye maziwa yawezekana walipigwa shoti na mkunga wakapatwa na stroke au cardiac arrest na kuzama.
Exquisite [emoji7]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…