Kwamba na mimi ni jambazi?Ku-comment ni zaidi ya kujua kusoma na kuandika,..ona huyu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba na mimi ni jambazi?Ku-comment ni zaidi ya kujua kusoma na kuandika,..ona huyu sasa
Ambatisha picha zako hapa ambazo zilichukuliwa katika eneo la tukio (scene of crime photos) kama unazo.It’s obvious hujasoma habari yenyewe lakini uko Tayari sana kuweka maoni yako based on your political biases!
Hii habari wewe umeipataje bila waandishi wa habari?
Wito wa polisi kufika eneo la tukio wakati tukio likiendelea umetoka wapi kama sio kwa wananchi?
Hapa umeleta ujuaji wa Baba LevoYaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
I can't argue with a FOOL because brave people won't notice the difference.Hey! JUST SHUT-UP!