Mwanza: Wawili wauawa kwa kushukiwa Majambazi

Mwanza: Wawili wauawa kwa kushukiwa Majambazi

Wapumzike kwa amani lakini kwann mtu kashika panga umpige risasi
Mfungwa hachagui gereza. Soma maelezo yaliyotolew vizuri. Walikuwa na Shortgun (bunduki) na waliji-camouflage kwa kuvaa madera. Huoni hao Ni aina ya HAMAS?
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Soma vizuri

Ova
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Wenyeji wa huko wanasema ni majambazi wewe unapinga ni mzima kweli wewe au na wewe ni jambazi yaan wabongo kwa ujuaji kila kitu unajua
 
Wapumzike kwa amani lakini kwann mtu kashika panga umpige risasi
Mbona Flora mwenyewe alielezea kwa urefu tu hii habari?
Alikuwa anafuatiliwa na boda 2 tangu anatoka kazini mpaka anafunguliwa geti kwake, na wengine waliotangulia walisharuka ukuta kuingia kwake.
Yaani majambazi walikuwa zaidi ya 6.
 
Duuh!! Umarekani mwingi sana, maelezo hayo yanaridhisha kabisa kuwa walikuwa majambazi bado unalaumu jeshi la polisi. Watanzania tuna kasoro si bure
Hayo Maelezo Nani Ameyatoa?
 
We inaonekana ni ndugu yao unafaidika na huo ujambazi. Sijaona mtu wa hovyo km wewe. Wananchi wapige kelele baada ya kuingia kwa nguvu getini wakiwa na silaha bado badala upongeze jeshi unaandika huu utumbo?
Ulikuwepo?Si Ndo Polisi Hao hao Wakikamata Machadema Mnawaona Polisi Waongo Na Maelezo Wanayowapa Mnaona ya Mchongo Ila Hapa Leo Mnawatetea Kwa Hayo Maelezo .Nb: Nachukia Ujambazi Nawachukia Baadhi Ya Polisi .
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Wewe ni kati ya wale wawili waliotoroka na pikipiki bila shaka. Mmekutwa nyumbani kwa mtu usiku,mna bunduki na mapanga,mnatishia kuwadhuru wenye nyumba na polisi na sio majambazi?
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Wewe umeshaambiwa ni wanaume wamevaa nguo za kike pamoja na bunduki na mapanga. Wewe unataka ushahidi gani mwingine? Au unapenda kulalamikia police kama wafanyavyo wamarekani ukidhani ni fashion?

Haki ya nani aisee.
 
Sasa jeshi la polisi litaua wangapi,ujue ukimkamata mshukiwa Kwanza inakurahisishia kiupelelezi,wanaweza kutajanq na kusaidia kupata zaidi ile chain ya hao Criminals.

Pia kila binadamu ana haki ya kuishi kikatiba,iweje jeshi liue?

Tuna watu waoga Sana kwenye majeshi yetu wasio na uwezo wa kuarrest mtu,yeye wepesi wake ni kuua tu
Wewe kichwa hata polisi ni watu wenye haki ya kuishi na kujitetea vilevile. Humu either kuna mijambazi inateteana au ni kithibitisho kwanini CCM ipo madarakani.
 
Hivi hawa wachangiaji wa JF siku hizi ni watu wa aina gani aisee? Mbona wanaandika mambo ya kustaajabisha sana kinyume kabisa na matumizi ya akili ya kawaida. Low reading comprehension? Au ni dunning Kruger effect kwamba wanadhani kitendo cha wao kutumia hii forum basi tayari wanakidhi vigezo vya intellectualism? What's happening?
 
Jeshi la Polisi kwa kiasi kikubwa Sana haliaminiki, watu Wana haki ya kutilia mashaka kuhusu taarifa zao wanazotoa kwa sababu nyingi ya taarifa hizo ni za kutengenezwa (fabricated news).

Baada ya kuuawa hao Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi, Askari Polisi waliotekeleza tukio hilo walipaswa kuwaita watu(majirani) pamoja na Waandishi wa Habari muda huo huo ili kuuthibitishia umma juu ya kutoa ushiriiiano wa kutoa taarifa za Wahalifu kwa Jeshi hilo la Polisi kwa lengo la kudhibiti matukio ya Uhalifu Kama hayo yaliyopelekea vifo vya watu hao Watuhumiwa. Kitendo hicho kingesaidia kusababisha Watu/Wananchi pole pole kuanza tena upya kuliamini Jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi wao, pia Kitendo hiki kingesaidia kujenga public awareness juu ya UMUHIMU na wajibu wa wananchi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kutokomeza uhalifu na wahalifu.

Watu wengi Sana wamepoteza kabisa imani dhidi ya Jeshi la Polisi.
Hey! JUST SHUT-UP!
 
Wewe ni kati ya wale wawili waliotoroka na pikipiki bila shaka. Mmekutwa nyumbani kwa mtu usiku,mna bunduki na mapanga,mnatishia kuwadhuru wenye nyumba na polisi na sio majambazi?
Kama wamekutwa na bunduki basi tuwapongeze kidogo polisi japo kuwa wanapenda sana rushwa.
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Ku-comment ni zaidi ya kujua kusoma na kuandika,..ona huyu sasa
 
Sasa jeshi la polisi litaua wangapi,ujue ukimkamata mshukiwa Kwanza inakurahisishia kiupelelezi,wanaweza kutajanq na kusaidia kupata zaidi ile chain ya hao Criminals.

Pia kila binadamu ana haki ya kuishi kikatiba,iweje jeshi liue?

Tuna watu waoga Sana kwenye majeshi yetu wasio na uwezo wa kuarrest mtu,yeye wepesi wake ni kuua tu
Sasa utamkamataje mtu Alie na bunduki kweli au ndo ile ilimradi tu kulaumu.
 
Hao majambazi bado wapo karne ipi? Hv hawajui ujambazi Tz ulishamalizwa kitambo au walikuwa wanabeep fire..bravo Jeshi letu la police.
 
Back
Top Bottom