Mwanza: Wawili wauawa kwa kushukiwa Majambazi

Mwanza: Wawili wauawa kwa kushukiwa Majambazi

Soma vizuri basi unaambiwa walikuwa wakijihami na shortgun na mapanga, hata kama kuna muda tunawachukia polisi ila wkt mwingne wanasaidia sn .
Imagine hao ngiri wangefanikiwa ni damu ngapi za.wasio na hatia zingemwagika?
Huyo unayemjibu inaonekana hayajawahi kumkuta- anajisemea tu kana kwamba hao wawili (marehemu)walikuwa wanaingia kwa mchepuko wao kimasihara..
 
Kuwaamini Polisi ni sawa na kuamini kuwa "WORD YA WAZAZI KUNA MWENYE BIKRA".
Polisi ndio majambazi yenye weredi nchi hii.

Kiufupi,inatakiwa kuwe na taasisi nyingine ambayo itakuwa na wajibu wa kuhitaji kudhibitisha KAZI na matendo pia mwenendo wa Jeshi la Polisi Tz.

Lakini hili la wait kuwa ndo FINAL SAY.Haijakaa sawa.

Jamaa ndo wanyanyasaji wezi,vibaka majambazi na wachonganishi.
Nchi hii,hakuna raia mwenye kuweza kumiliki Silaha.
Tunajuana nje ndani mtaani huku.
 
Mbon
Kwa hiyo unalinanga Jeshi hilo kwa tuhuma zisizo na uthibitisho? Mwizi si huwa anakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria au watu wenye "hasira kali" humalizana naye?
Mbona wameua na hawajawakamata hao watu.

Shotgun ya kienyeji na SMG wali na wapi majambazi nyie
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Wamekataa kujisalimisha elewa hivyo au kiswahili hujui?
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Usiwe mgumu kuelewa, wanasema washukiwa maana hawakupelekwa mahakamani


Mahakama tu ndo Ina uwezo wa kuthibitisha kama mtu ana hatia au Hana

Hata ukiua hadharani Leo hii utaitwa mshukiwa tu(suspect) mpaka pale mahakama ikuhukumu
 
Sasa jeshi la polisi litaua wangapi,ujue ukimkamata mshukiwa Kwanza inakurahisishia kiupelelezi,wanaweza kutajanq na kusaidia kupata zaidi ile chain ya hao Criminals.

Pia kila binadamu ana haki ya kuishi kikatiba,iweje jeshi liue?

Tuna watu waoga Sana kwenye majeshi yetu wasio na uwezo wa kuarrest mtu,yeye wepesi wake ni kuua tu
Jambazi hana haki ya kuishi, usipomuua atakuua.
 
Sasa jeshi la polisi litaua wangapi,ujue ukimkamata mshukiwa Kwanza inakurahisishia kiupelelezi,wanaweza kutajanq na kusaidia kupata zaidi ile chain ya hao Criminals.

Pia kila binadamu ana haki ya kuishi kikatiba,iweje jeshi liue?

Tuna watu waoga Sana kwenye majeshi yetu wasio na uwezo wa kuarrest mtu,yeye wepesi wake ni kuua tu
I can imagine unaandika haya huku unakuna kijitambi chako kilichosababishwa na povu la bia!
 
Safiii,.. Kazi nzuri
JESHI la Polisi mkoani Mwanza limethibitisha kuua watu wawili wanaodaiwa kuwa ni majambazi, katika jaribio la kuiba nyumbani kwa mfanyabiashara, wakiwa wamevalia mavazi ya kike kuficha jinsia na mwonekano wao.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna (DCP) Wilbrod Mutafungwa, alithibitisha jana kuwa watu hao ambao ni wanaume, waliuawa kwa risasi na polisi waliokuwa katika doria juzi saa 2:45 usiku.
DCP Mutafungwa alisema tukio hilo lilitokea katika Mtaa wa Kabambo, Kata ya Kiseke wilayani Ilemela na watu hao walikuwa wamevalia magauni na vilemba.

Alisema walivamia nyumbani kwa Flora Sungura Abdallah (42) na kuingia ndani wakati mfanyabiashara huyo anafunguliwa geti akitoka kwenye shughuli zake za kibiashara.
“Watu hao walikuwa na bunduki aina ya Shotgun moja iliyotengenezwa kienyeji ikiwa na risasi mbili na mapanga mawili. Baada ya hali hiyo, wakazi wa eneo hilo walipiga kelele za kuomba msaada na taarifa hizo kufika kwa askari polisi waliokuwa doria eneo hilo,” alisema.
Kamanda Mutafungwa alisema baada ya askari kufika eneo la tukio kwa ajili ya kutoa msaada na kuwataka watu hao kujisalimisha, walikaidi amri na kutaka kuwadhuru wakazi wa nyumba hiyo pamoja na askari.
“Ndipo askari walifyatua risasi, hivyo kusababisha watu wawili ambao mmoja alishika bunduki na mwingine akiwa na panga kujeruhiwa kwa risasi hizo na kupoteza maisha papo hapo,” alisema.

Kamanda Mutafungwa alisema miili ya watu hao ambayo haijatambuliwa imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufani ya Kanda Bugando ikisubiri utaratibu wa utambuzi na uchunguzi wa kitaalamu.

Alisema katika tukio hilo hakuna mali iliyoibwa na kuwa jeshi hilo likakamata silaha aina ya shotgun moja, mapanga mawili na begi la mgongoni likiwa na suruali, shati, bisibisi na viatu.

Kadhalika, alisema watu wawili wa jinsia ya kiume wanaodhaniwa pia kuwa majambazi walitoroka kwa kutumia usafiri wa pikipiki ambayo namba za usajili hazijafahamika.
“Tunaendelea na msako mkali wa kuwatafuta watu hao waliokimbia na watu wengine ambao walipanga na kuratibu tukio hilo la kihalifu unaendelea ili kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria,” alisema DCP Mutafungwa.
 
Ningekuwa Mimi ningepeleleza kwanza kama kweli ni jambazi na siyo kuambiwa tu yule jambazi na kupiga risasi
🤣🤣 kwamba ungeanza kuendesha upelelezi katikati ya ambush ya majambazi wenye silaha ya moto na mapanga kwenye gate la raia?
 
Jeshi la Polisi kwa kiasi kikubwa Sana haliaminiki, watu Wana haki ya kutilia mashaka kuhusu taarifa zao wanazotoa kwa sababu nyingi ya taarifa hizo ni za kutengenezwa (fabricated news).

Baada ya kuuawa hao Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi, Askari Polisi waliotekeleza tukio hilo walipaswa kuwaita watu(majirani) pamoja na Waandishi wa Habari muda huo huo ili kuuthibitishia umma juu ya kutoa ushiriiiano wa kutoa taarifa za Wahalifu kwa Jeshi hilo la Polisi kwa lengo la kudhibiti matukio ya Uhalifu Kama hayo yaliyopelekea vifo vya watu hao Watuhumiwa. Kitendo hicho kingesaidia kusababisha Watu/Wananchi pole pole kuanza tena upya kuliamini Jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi wao, pia Kitendo hiki kingesaidia kujenga public awareness juu ya UMUHIMU na wajibu wa wananchi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kutokomeza uhalifu na wahalifu.

Watu wengi Sana wamepoteza kabisa imani dhidi ya Jeshi la Polisi.
It’s obvious hujasoma habari yenyewe lakini uko Tayari sana kuweka maoni yako based on your political biases!

Hii habari wewe umeipataje bila waandishi wa habari?

Wito wa polisi kufika eneo la tukio wakati tukio likiendelea umetoka wapi kama sio kwa wananchi?
 
Kuwaamini Polisi ni sawa na kuamini kuwa "WORD YA WAZAZI KUNA MWENYE BIKRA".
Polisi ndio majambazi yenye weredi nchi hii.
Uko beer ya ngapi?

Kiufupi,inatakiwa kuwe na taasisi nyingine ambayo itakuwa na wajibu wa kuhitaji kudhibitisha KAZI na matendo pia mwenendo wa Jeshi la Polisi Tz.
Umeanza mapema sana, hakikisha unakunywa maji kwa wingi pia.

Lakini hili la wait kuwa ndo FINAL SAY.Haijakaa sawa.

Jamaa ndo wanyanyasaji wezi,vibaka majambazi na wachonganishi.
Nchi hii,hakuna raia mwenye kuweza kumiliki Silaha.
🤣
Tunajuana nje ndani mtaani huku.
 
Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Wewe utakuwa ni mhalifu mzoefu yaani wamekamatwa na bunduki na mapanga bado wananchi wametoa taarifa ya uhalifu huo, wewe bado unatetea hayo majambazi!! Wakutafute na wewe wakupige risasi ya kichwa huna faida duniani.
 
Jeshi la Polisi kwa kiasi kikubwa Sana haliaminiki, watu Wana haki ya kutilia mashaka kuhusu taarifa zao wanazotoa kwa sababu nyingi ya taarifa hizo ni za kutengenezwa (fabricated news).

Baada ya kuuawa hao Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi, Askari Polisi waliotekeleza tukio hilo walipaswa kuwaita watu(majirani) pamoja na Waandishi wa Habari muda huo huo ili kuuthibitishia umma juu ya kutoa ushiriiiano wa kutoa taarifa za Wahalifu kwa Jeshi hilo la Polisi kwa lengo la kudhibiti matukio ya Uhalifu Kama hayo yaliyopelekea vifo vya watu hao Watuhumiwa. Kitendo hicho kingesaidia kusababisha Watu/Wananchi pole pole kuanza tena upya kuliamini Jeshi la Polisi juu ya utendaji kazi wao, pia Kitendo hiki kingesaidia kujenga public awareness juu ya UMUHIMU na wajibu wa wananchi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kutokomeza uhalifu na wahalifu.

Watu wengi Sana wamepoteza kabisa imani dhidi ya Jeshi la Polisi.
Wewe utakuwa punguwani huna akili kabisa yaani ulitaka waite waandishi wa habari usiku kwenye eneo la tukio!!? Kwani wananchi waliokuwa pale kwenye tukio umeenda kuwahoji wakasema siyo kweli? Nenda kachukue mizoga ya ndugu zako majambazi hapo Bugando.
 
Dawa ya majambazi ni kuyaua tu hakuna namna. Dawa ya moto ni moto.
hakuna huruma kwa jambazi yeyote.
 
Mbon

Mbona wameua na hawajawakamata hao watu.
Watu hao walikuja kwa lengo gani wakiwa wamejizatiti kwa silaha ya moto? Risasi ni risani tu na haijalishi imetoka kwenye shortgun au smg. Inajeruhi au kuua. Kwa hiyo walipewa majibu mubashara.
Shotgun ya kienyeji na SMG wali na wapi majambazi nyie
Mkuu vp?; Ulitaka nao Polisi warudi kituoni kuchukua shotgun ya kienyeji ili ngoma iwe fair game? Cjui bisibisi na mapanga wangeyapata wapi usiku huo aisee.
 
Back
Top Bottom