Nitapongezaje jeshi ambalo huiba kura na kuisaidia ccm ili kupata ushindi Kwa kuahidiwa tu vyeo uchwaraWe inaonekana ni ndugu yao unafaidika na huo ujambazi. Sijaona mtu wa hovyo km wewe. Wananchi wapige kelele baada ya kuingia kwa nguvu getini wakiwa na silaha bado badala upongeze jeshi unaandika huu utumbo?