Hajui majambazi huyoAmani ya nini kwa majambazi?Ushaambiwa mmoja alikuwa na bunduki mwingine panga,sasa wewe ulitaka polisi watumie rungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui majambazi huyoAmani ya nini kwa majambazi?Ushaambiwa mmoja alikuwa na bunduki mwingine panga,sasa wewe ulitaka polisi watumie rungu?
Kabisa. Eti walikuwa wanaenda kujichukulia vitu kama ni vya kwao vile.Matokea ya shortcut ya maisha.
Exactly yes. Mbona na yeye jambazi huwaga hana huruma wala cha mswalie mtume.Dawa ya majambazi ni kuyaua tu hakuna namna. Dawa ya moto ni moto.
hakuna huruma kwa jambazi yeyote.
Hilo lililojiri hapo kwenye eneo la tukio ni Tangazo tosha.Wewe utakuwa punguwani huna akili kabisa yaani ulitaka waite waandishi wa habari usiku kwenye eneo la tukio!!? Kwani wananchi waliokuwa pale kwenye tukio umeenda kuwahoji wakasema siyo kweli? Nenda kachukue mizoga ya ndugu zako majambazi hapo Bugando.
Huyo uliyemjibu naona ni wale aina ya watu ambao akimfuma mwizi ndani ya nyumba yake, anaanza kwa kumuuliza eti "Wewe unaitwa nani?"Wewe utakuwa ni mhalifu mzoefu yaani wamekamatwa na bunduki na mapanga bado wananchi wametoa taarifa ya uhalifu huo, wewe bado unatetea hayo majambazi!! Wakutafute na wewe wakupige risasi ya kichwa huna faida duniani.
Wewe pia ni sehemu ya hao wanawake dume wa madela, unataka tukutetee!Yaani watu wanahisiwa tu kuwa majambazi na kuuawa na polisi.Tunajeshi la polisi la hovyo sana ambalo halifanyi uthibitisho kuwa anayekamatwa kafanya kosa au hajafanya.Jeshi linaongozwa na washamba sana
Wa south africa walikuwa na mawazo kama yako zamani,wezi wakachukuliwa kwa upole na kwa kuzingatia haki za binaadamu, leo crime rate ya SA ni uncontrollable, wakina Hellen Zille wanapiga kelele kuhusu haki za binaadamu watu wanawaona kama wehu tu, there is no peace in midst of war, grab that.Sasa jeshi la polisi litaua wangapi,ujue ukimkamata mshukiwa Kwanza inakurahisishia kiupelelezi,wanaweza kutajanq na kusaidia kupata zaidi ile chain ya hao Criminals.
Pia kila binadamu ana haki ya kuishi kikatiba,iweje jeshi liue?
Tuna watu waoga Sana kwenye majeshi yetu wasio na uwezo wa kuarrest mtu,yeye wepesi wake ni kuua tu
Mkuu utatetea sana,lakini ukwel unabaki palepale.Watu hao walikuja kwa lengo gani wakiwa wamejizatiti kwa silaha ya moto? Risasi ni risani tu na haijalishi imetoka kwenye shortgun au smg. Inajeruhi au kuua. Kwa hiyo walipewa majibu mubashara.
Mkuu vp?; Ulitaka nao Polisi warudi kituoni kuchukua shotgun ya kienyeji ili ngoma iwe fair game? Cjui bisibisi na mapanga wangeyapata wapi usiku huo aisee.
Nina ndugu ambaye ni polisi ananielezea maana ya polisi kupambana na majambazi.Hiyo siyo hukumu, hapo walienda kukamata.
Na kukamata mtuhumiwa wenye vithibitisho vya ujambazi ni lazima, either awe hai au amekufa, baada ya hapo ifuate hukumu.
Jambazi kaambiwa weka silaha chini tukukamate kwa upole yeye amegoma. Unataka polisi achukue hatua gani ili kutimiza Kiapo chake cha kulinda raia na mali zao.
Soma tena ulichoandikaHiyo sheria imezingatia pale mshukiwa/mtuhumiwa anapokua na silaha aina ya shotgun na wenzake watatu wenye mapanga?
You’re simply a Political clout chaser…huna jema wala huna haya.Soma tena ulichoandika
Msidhani maovu mnayoyafanya yana usiri mkubwa.You’re simply a Political clout chaser…huna jema wala huna haya.
Like a said; “You are a Simple Clout Chaser”!Msidhani maovu mnayoyafanya yana usiri mkubwa.
Hao walio chini ya amri huwa hawana amri ya kufunga midomo yao
Ukweli kwamba jeshi la hovyo wamefanikiwa kuwadhibiti majambaziMkuu utatetea sana,lakini ukwel unabaki palepale.
Kuua majambazi ni siasa?Jeshi la hovyo sana,wamekalia siasa TU.
Hiyo kazi walioifanya kwa mafanikio ni kweli sio propaganda.Propaganda tu ndo kazi zao.
WEWE NI MPUMBAVU.Ningekuwa Mimi ningepeleleza kwanza kama kweli ni jambazi na siyo kuambiwa tu yule jambazi na kupiga risasi
Huo mstari wa kwanza kabisa hapo juu ndo saizi yake.WEWE NI MPUMBAVU.
KWAHIYO UNGEFIKA KWENYE TUKIO,UKAWAAMBIA MAJAMBAZI WAJISALIMISHE,WAKAKATAA,HALAFU UNGEPELELEZA HAPOHAPO KWENYE TUKIO HUKU WAKIWA WAMEKATAA KUJISALIMISHA?
HIVI UNACHOBISHA NI NINI HAPA?
Wewe ni lijinga kabisa.WEWE NI MPUMBAVU.
KWAHIYO UNGEFIKA KWENYE TUKIO,UKAWAAMBIA MAJAMBAZI WAJISALIMISHE,WAKAKATAA,HALAFU UNGEPELELEZA HAPOHAPO KWENYE TUKIO HUKU WAKIWA WAMEKATAA KUJISALIMISHA?
HIVI UNACHOBISHA NI NINI HAPA?
Ujinga wake ni upi?? Mbona kakuwekea scenario ili kukutanabahisha kwamba unavyofikiri sio sahihi katika uhalisia wa Tukio lenyewe?Wewe ni lijinga kabisa.
Kwahiyo na hao ma askari wangerudi kuchukua mapanga?Wapumzike kwa amani lakini kwann mtu kashika panga umpige risasi