Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

M4C
20230121_183047.jpg
20230121_182459.jpg
20230121_182455.jpg
20230121_165654.jpg
20230121_182449.jpg
20230121_182452.jpg
 
Baaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.

Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Hapo umefakisha mwana Yanga mwenzangu. Achana na wanzuki
 
Jamani, na mimi nipo hapa Mwanza, japo kutokana na majukumj, nahisi sitahudhuria mpaka mwisho wa mkutano maana ni lazima nisafiri. Hata hivyo, dakika 15 zijazo nitaelekea viwanja vya Furahisha kuona maandalizi yanavyokwenda.

Huu ni zaidi ya mkutano. Ni mwanzo mpya, ni ujumbe tosha kuwa tulipotoka, sasa tuna dhamira ya kwenda kwenye ustaarabu wa kuheshimu katiba, kulinda uhuru wa maoni na haki za watu. Hamasa haitokani tu na ujumbe utakaotolewa na viongozi wa CHADEMA bali ni kuwaambia watawala kuwa sisi wananchi tunawataka watawala waheshimu katiba na sheria.
Umefanya vyema kutuwakilisha physically
 
Huwezi kusema unahamia CCM wakati hujawahi Kutoka ccm
Kama mwenyekiti Mbowe kalamba asali Mimi ni nani nisiende kwenye asali?
Kwa hotuba ya Leo pale furahisha hiiiiii baghosha [emoji848][emoji848]
Acha niwatafutie wanangu asali
 
Baaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.

Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Unafanya jambo sahihi kabisa karibu sana.
 
Kama mwenyekiti Mbowe kalamba asali Mimi ni nani nisiende kwenye asali?
Kwa hotuba ya Leo pale furahisha hiiiiii baghosha [emoji848][emoji848]
Acha niwatafutie wanangu asali
Hajasaliti,

Yaeza kuwa maneno ya KASHFA yanamuumiza.

Bt kiongozi anatakiwa awe mvumilivu ngozi ngumu,

Hopping atarekebisha.
 
Yaani huwezi kuamini nimesafili nimevuka Mikoa minne kuja mwanza kuisapoti Chadema kumbe nao ni walamba asali tupu.
Yaani mbowe Leo hii ni wakuwaambia wana chadema tuiunge mkono CCM?

Sasa yanini kuwa mpinzani km mwenyekiti tayari amekubali mama anaupiga mwingi
Anajua kilichompata kwenye biashara zake kipindi cha Magufuli. Sasa lazima ajishushe ili alambe asali na arudi bungeni 2025.
 
Back
Top Bottom