Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
[emoji28][emoji28][emoji28]...mwenyekiti nadhani kalewa.Kama umefuatilia hotuba nzima ya mbowe hapo furahisha Mwanza basi utakuwa unaungana namimi kuhusu hili suala.
Kweli asali haijawahi kumuacha mtu salama.
Ccm mbele kwa mbele
Uzi tayari
Bangi unazijua wee chawa! Kaa tuli dawa ikuingie!Huwa sijadiliani na wavuta bangi mimi.
Huwezi kusema unahamia CCM wakati hujawahi Kutoka ccmBaaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Hapo umefakisha mwana Yanga mwenzangu. Achana na wanzukiBaaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
Chama kubwa Chadema, nakupenda kwa yote, nimefurahi saaaana kwa mkutano wa leo.vijembe vya chawa humu ndani visitutishe,KWA sasa tuko imara tunaweza siasa sisi jamani.[emoji120][emoji28][emoji28][emoji28]...mwenyekiti nadhani kalewa.
Wanazi wanaumia sana kuon tukio la leoUnaumia sana Jo
Umefanya vyema kutuwakilisha physicallyJamani, na mimi nipo hapa Mwanza, japo kutokana na majukumj, nahisi sitahudhuria mpaka mwisho wa mkutano maana ni lazima nisafiri. Hata hivyo, dakika 15 zijazo nitaelekea viwanja vya Furahisha kuona maandalizi yanavyokwenda.
Huu ni zaidi ya mkutano. Ni mwanzo mpya, ni ujumbe tosha kuwa tulipotoka, sasa tuna dhamira ya kwenda kwenye ustaarabu wa kuheshimu katiba, kulinda uhuru wa maoni na haki za watu. Hamasa haitokani tu na ujumbe utakaotolewa na viongozi wa CHADEMA bali ni kuwaambia watawala kuwa sisi wananchi tunawataka watawala waheshimu katiba na sheria.
Wakufunge kamba ...HIYO NI TLELA yaaani tume TESTIChadema tangu izaliwe imewahi kuwa na wabunge wangapi?
Hiyo bangi Umevutia chooni au bafuni?Bangi unazijua wee chawa! Kaa tuli dawa ikuingie!
We Molemo usituletee mambo ya kitoto kama uliyokua ukifanya huko nyuma! Unakimbilia kuanzisha sridi halafu unakula kona hutoi update yoyote acha kiherehere.🤣🤣🤣
Kama mwenyekiti Mbowe kalamba asali Mimi ni nani nisiende kwenye asali?Huwezi kusema unahamia CCM wakati hujawahi Kutoka ccm
Pambana na Hali yako, CCM mbele Kwa mbele[emoji448][emoji448][emoji448][emoji449][emoji447][emoji450][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444][emoji445]Hapo umefakisha mwana Yanga mwenzangu. Achana na wanzuki
Unafanya jambo sahihi kabisa karibu sana.Baaada ya zuio la muda mrefu kufanya mikutano ya hadhara, Leo umefanyika mkutano wa Chadema ila nilifikiria hawa jamaa wangekuja na sera mbadala lakini leo ndio wameniangusha kuliko wakati wote.
Natangaza rasmi kuhamia CCM.
[emoji120][emoji120][emoji120]Unafanya jambo sahihi kabisa karibu sana.
Ipandishwe hapo juu MolemoView attachment 2490358
Utawasikia Chadema Mwanz iMekufa
Hajasaliti,Kama mwenyekiti Mbowe kalamba asali Mimi ni nani nisiende kwenye asali?
Kwa hotuba ya Leo pale furahisha hiiiiii baghosha [emoji848][emoji848]
Acha niwatafutie wanangu asali
Anajua kilichompata kwenye biashara zake kipindi cha Magufuli. Sasa lazima ajishushe ili alambe asali na arudi bungeni 2025.Yaani huwezi kuamini nimesafili nimevuka Mikoa minne kuja mwanza kuisapoti Chadema kumbe nao ni walamba asali tupu.
Yaani mbowe Leo hii ni wakuwaambia wana chadema tuiunge mkono CCM?
Sasa yanini kuwa mpinzani km mwenyekiti tayari amekubali mama anaupiga mwingi