REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
PEOPLES?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana bando hadi Jumatatu akienda kwenye free wifi pale Lumumba HQ ya mataga.Ingia chadema in blood Instagram kama umewezeshwa bando ujionee mivideo ya watanzania wakimkaribisha mwenyekiti mwanza leo.[emoji1787][emoji1787]
Maisha yote ni siasa mkuu[emoji1][emoji1][emoji1]Mimi sio mtu wa siasa na enjoy maisha upande mwingine
Sasa niingie vipi wakati mimi nilikuwa mwanza na nimeona live. Umewahi kutumia msuba?Ingia chadema in blood Instagram kama umewezeshwa bando ujionee mivideo ya watanzania wakimkaribisha mwenyekiti mwanza leo.[emoji1787][emoji1787]
Sasa niingie vipi wakati mimi nilikuwa mwanza na nimeona live. Umewahi kutumia msuba?
Wazuri sio waziriWaziri wa ulinzi alifariki, waziri Mgimwa alifariki
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Technogy ipo wazi utamdanganya nani?
View attachment 2490425
Hahahaa, kama mnampenda sana nendeni mkazikwe naye ChatoMbona hakukuua wewe na bado tunaleta mwingine akuchinje kabisa! Mwendazake anachukiwa na wezi, mafisadi, wauza madawa ya kulevya, wenye vyeti fake waliofukuwa kazini. Sasa wewe utakuwa miongoni mwao hao. Lakini Watz waliowengi wapenda maendeleo wanampenda sana tu Mwendazake.
Kwanini wewe hujazikwa na mizoga ya ndugu zako waliokufa?Hahahaa, kama mnampenda sana nendeni mkazikwe naye Chato
Kwa hiyo hizo picha alizoweka ni uwongo!?Ingia chadema in blood Instagram kama umewezeshwa bando ujionee mivideo ya watanzania wakimkaribisha mwenyekiti mwanza leo.[emoji1787][emoji1787]
MumedodaaaaaaWe nguchiro jifunze kwanza kuandika
Wepi hao.?Kwanini wewe hujazikwa na mizoga ya ndugu zako waliokufa?
Mizoga ya ndugu zako waliokufa!Wepi hao.?
Ni kweli nyie tuwakilisheni mimi na support harakatiMaisha yote ni siasa mkuu[emoji1][emoji1][emoji1]
Hii mbona asubuh mkuu hata picha inaonyesha[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Technogy ipo wazi utamdanganya nani?
View attachment 2490425
Kwa hiyo unamlaumu Mbowe kwa kupanda bei ya mchele au kushindwa kupigia kelele kupanda bei ya mchele?wewe leta ajenda acha kutuletea habari za awamu ya tano hazitusaidii kitu.
Rais kama Magufuli ndiye Rais tuliyekua tukimuhitaji na tunasikitika mpaka kesho kumpoteza.
unajua kilo ya Mchele imefika shilingi ngapi wewe ?
Ipo hapo mbonaIpa
Ipandishwe hapo juu Molemo