Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Kwa hiyo unamlaumu Mbowe kwa kupanda bei ya mchele au kushindwa kupigia kelele kupanda bei ya mchele?
Kama ni bei, hilo kailaumu CCM na serikali yake.

Kuhusu nini Mbowe akiseme au wapi Mbowe akisemee, hilo halikuhusu, sio jukumu lako. Muachie Mbowe mwenyewe.
Hahaa yaani mchele kupanda Bei wanataka kulauma Chadema🤣🤣
 
Wewe kuwa chawa wa baba wa wenzako ambao wana uraia wa Marekani huwa inakusaidia nini?
Mmeshupaza shinga juzi mpaka mishipa ikakakamaa oooh Mwanza chadema wametukana sukuma gang, mlidhani wana mwanza ni wajinga kama nyinyi.
 
Ila JPM alisema ni fisadi in fact alimuita Lissu msaliti sababu eti alikua anawasiliana na Mwanyika akimuomba nyaraka kadhaa!! Cha kushangaza yeye huyo huyo akamsafisha Mwanyika na kumpa ubunge huku LISSU ndio akimiminiwa risasi na kuitwa msaliti!! Hii nchi aliyetulaani sijui nani
Bila Mwanyika kusema kwamba Lisu anasaliti kwa kuomba nyaraka, Magufuli asingejua
 
Mmeshupaza shinga juzi mpaka mishipa ikakakamaa oooh Mwanza chadema wametukana sukuma gang, mlidhani wana mwanza ni wajinga kama nyinyi.
Kwahiyo ndio maana mliamua kujaza watu ndani ya mabasi na malori.
 
Tulisema mwenyekiti kashapewa chake mkabisha .
Mtu amelewa ili afiche aibu ya uso .. kwani anachokiongea kinamuahibisha.. hovyo kabisaa..
Erythrocyte
 
Yaani huwezi kuamini nimesafili nimevuka Mikoa minne kuja mwanza kuisapoti Chadema kumbe nao ni walamba asali tupu.
Yaani mbowe Leo hii ni wakuwaambia wana chadema tuiunge mkono CCM?

Sasa yanini kuwa mpinzani km mwenyekiti tayari amekubali mama anaupiga mwingi
Yani umechelewa hivyo kufahamu. !!?
 
Hapa ni Kenya?
1674322572981.jpg
 
Kwa hiyo unamlaumu Mbowe kwa kupanda bei ya mchele au kushindwa kupigia kelele kupanda bei ya mchele?
Kama ni bei, hilo kailaumu CCM na serikali yake.

Kuhusu nini Mbowe akiseme au wapi Mbowe akisemee, hilo halikuhusu, sio jukumu lako. Muachie Mbowe mwenyewe.
sasa analaum awamu ya 5 wakati awamu hio ndio hovyo kabisa ila anatuaminisha kua tuko salama kama sio w..hu ni nini au anazeeka vibaya ?
 
Hakuna chama hapo. Tuendelee kulamba asali tu.
 
Hapa nilipo najaribu kupata maumivu uliyo nayo baada ya ile propaganda mfu yuko kuyeyuka. Hapo ndio utajua yule kiongozi muovu alikuwa chukizo kwa wana Mwanza na taifa kwa ujumla. Na hiyo ni bado mbona.
Hahaha. Hivi wewe ni timu mbowe au timu lema?
 
Back
Top Bottom