Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

Hahaa yaani mchele kupanda Bei wanataka kulauma Chadema🤣🤣
 
Wewe kuwa chawa wa baba wa wenzako ambao wana uraia wa Marekani huwa inakusaidia nini?
Mmeshupaza shinga juzi mpaka mishipa ikakakamaa oooh Mwanza chadema wametukana sukuma gang, mlidhani wana mwanza ni wajinga kama nyinyi.
 
Bila Mwanyika kusema kwamba Lisu anasaliti kwa kuomba nyaraka, Magufuli asingejua
 
Mmeshupaza shinga juzi mpaka mishipa ikakakamaa oooh Mwanza chadema wametukana sukuma gang, mlidhani wana mwanza ni wajinga kama nyinyi.
Kwahiyo ndio maana mliamua kujaza watu ndani ya mabasi na malori.
 
Tulisema mwenyekiti kashapewa chake mkabisha .
Mtu amelewa ili afiche aibu ya uso .. kwani anachokiongea kinamuahibisha.. hovyo kabisaa..
Erythrocyte
 
Yani umechelewa hivyo kufahamu. !!?
 
Hahahaha. Utajua hujui. Mbowe kabeba vijana kutoka Arusha
View attachment 2490348

Hapa nilipo najaribu kupata maumivu uliyo nayo baada ya ile propaganda mfu yuko kuyeyuka. Hapo ndio utajua yule kiongozi muovu alikuwa chukizo kwa wana Mwanza na taifa kwa ujumla. Na hiyo ni bado mbona.
 
sasa analaum awamu ya 5 wakati awamu hio ndio hovyo kabisa ila anatuaminisha kua tuko salama kama sio w..hu ni nini au anazeeka vibaya ?
 
Hakuna chama hapo. Tuendelee kulamba asali tu.
 
Hapa nilipo najaribu kupata maumivu uliyo nayo baada ya ile propaganda mfu yuko kuyeyuka. Hapo ndio utajua yule kiongozi muovu alikuwa chukizo kwa wana Mwanza na taifa kwa ujumla. Na hiyo ni bado mbona.
Hahaha. Hivi wewe ni timu mbowe au timu lema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…