Hahaa yaani mchele kupanda Bei wanataka kulauma Chadema🤣🤣Kwa hiyo unamlaumu Mbowe kwa kupanda bei ya mchele au kushindwa kupigia kelele kupanda bei ya mchele?
Kama ni bei, hilo kailaumu CCM na serikali yake.
Kuhusu nini Mbowe akiseme au wapi Mbowe akisemee, hilo halikuhusu, sio jukumu lako. Muachie Mbowe mwenyewe.
Nyie wafuasi wa magu mlisema Chadema imekufa?Anajua kilichompata kwenye biashara zake kipindi cha Magufuli. Sasa lazima ajishushe ili alambe asali na arudi bungeni 2025.
Wajipange upya.Sasa itakuwaje na mataga walishasema ACT ndio chama kikuu cha upinzani?
Wewe kuwa chawa wa baba wa wenzako ambao wana uraia wa Marekani huwa inakusaidia nini?Hivi vitu hua viawasadia nini? umekaa unajichatisha mwenyewe kama ndondocha
Wewe sasa ndio umeongea pointiTuichague chadema wakuu, hii nchi siyo ya kifalme.
Mmeshupaza shinga juzi mpaka mishipa ikakakamaa oooh Mwanza chadema wametukana sukuma gang, mlidhani wana mwanza ni wajinga kama nyinyi.Wewe kuwa chawa wa baba wa wenzako ambao wana uraia wa Marekani huwa inakusaidia nini?
Bila Mwanyika kusema kwamba Lisu anasaliti kwa kuomba nyaraka, Magufuli asingejuaIla JPM alisema ni fisadi in fact alimuita Lissu msaliti sababu eti alikua anawasiliana na Mwanyika akimuomba nyaraka kadhaa!! Cha kushangaza yeye huyo huyo akamsafisha Mwanyika na kumpa ubunge huku LISSU ndio akimiminiwa risasi na kuitwa msaliti!! Hii nchi aliyetulaani sijui nani
Kwa aibu mliyoipata hamuwezi hata kuleta video za nyomi la Mwanza.Mmeshupaza shinga juzi mpaka mishipa ikakakamaa oooh Mwanza chadema wametukana sukuma gang, mlidhani wana mwanza ni wajinga kama nyinyi.
Kwahiyo ndio maana mliamua kujaza watu ndani ya mabasi na malori.Mmeshupaza shinga juzi mpaka mishipa ikakakamaa oooh Mwanza chadema wametukana sukuma gang, mlidhani wana mwanza ni wajinga kama nyinyi.
Nenda yutube kila kitu kiko waziKwa aibu mliyoipata hamuwezi hata kuleta video za nyomi la Mwanza.
Hii tekiniki ya Magu enzi zakeKwahiyo ndio maana mliamua kujaza watu ndani ya mabasi na malori.
Yani umechelewa hivyo kufahamu. !!?Yaani huwezi kuamini nimesafili nimevuka Mikoa minne kuja mwanza kuisapoti Chadema kumbe nao ni walamba asali tupu.
Yaani mbowe Leo hii ni wakuwaambia wana chadema tuiunge mkono CCM?
Sasa yanini kuwa mpinzani km mwenyekiti tayari amekubali mama anaupiga mwingi
Hahahaha. Utajua hujui. Mbowe kabeba vijana kutoka Arusha
View attachment 2490348
sasa analaum awamu ya 5 wakati awamu hio ndio hovyo kabisa ila anatuaminisha kua tuko salama kama sio w..hu ni nini au anazeeka vibaya ?Kwa hiyo unamlaumu Mbowe kwa kupanda bei ya mchele au kushindwa kupigia kelele kupanda bei ya mchele?
Kama ni bei, hilo kailaumu CCM na serikali yake.
Kuhusu nini Mbowe akiseme au wapi Mbowe akisemee, hilo halikuhusu, sio jukumu lako. Muachie Mbowe mwenyewe.
Vipi mshawarudisha wafuasi wenu huko Shinyanga, Tabora na mikoa mingine ambayo mlienda kusomba watu ili kujaza mkutano wenu?Hapa ni Kenya?View attachment 2490530
Hahaha. Hivi wewe ni timu mbowe au timu lema?Hapa nilipo najaribu kupata maumivu uliyo nayo baada ya ile propaganda mfu yuko kuyeyuka. Hapo ndio utajua yule kiongozi muovu alikuwa chukizo kwa wana Mwanza na taifa kwa ujumla. Na hiyo ni bado mbona.