UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Maskini chadema, kifo kiko njiani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Kwahiyo umeona uje kuwasemea huku wajuluoNi upumbavu mkubwa na laana kwa yeyote kufanya sherehe afapo mtu hata kama mtu huyo ni kichaa,
Twaweza kuwa na adui na mtu maishani, lakini mtu huyo akifa, uadui na uishe" si kipindi tena cha kuendeleza uadui kiasi cha kufanya hata sherehe, wafanyavyo hivyo, hao sio watu kwani hata wanyama hawawezi fanya huo ujinga
Laana haijawahi kumuacha mtu salama. Mtu mstaarabu hawezi furahia kifo cha mtu yyt yule. Na watu wastaarabu ndio wanasikilizwaNilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Mapema bado!Nilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Acha uongo we UvccM mpumbavuNilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Ogopa sana dharau ya kisukuma. Huwa haina reverse.Kumbe ili nyomi la JamiiForum , ni fake.
Wajaribu kumtukana Magufuli , labda wananchi wataongezeka kuja kushangilia.
Atakama ila hizi picha zimepigwa kitaalam sanaAcha uongo we UvccM mpumbavu
View attachment 2490158
Wewe ndio yule ulituaga dar kwa shingo upande unaelekea mazet kwenye mkutano wa chadema? Au nimekosea. 😎Binafsi huwa siangalii wingi wa watu bali nguvu za hoja masikioni mwangu na utekelezaji /field fursa inapopatikana...., lakini SADLY am seeing none from both sides of the aisle
Mbona Lissu alipopigwa risasi mlishangilia in fact mwenyekiti wenu UVCCM alisema this time watatumia sindano sio bunduki?? Chuki mmeleta wenyewe Wacha wafurahie maana hakuna namna. Mwisho wa siku jamaa yupo kuzimu na kina Mbowe wanakula Bata so hata ulie lie hauwapunguzii chochote.Ni upumbavu mkubwa na laana kwa yeyote kufanya sherehe afapo mtu hata kama mtu huyo ni kichaa,
Twaweza kuwa na adui na mtu maishani, lakini mtu huyo akifa, uadui na uishe" si kipindi tena cha kuendeleza uadui kiasi cha kufanya hata sherehe, wafanyavyo hivyo, hao sio watu kwani hata wanyama hawawezi fanya huo ujinga
Bwashee weka picha zilizopigwa kwa drone basiAcha uongo we UvccM mpumbavu
View attachment 2490158
Mimi sio mtaalam wa picha lakini hii picha inaonekana ni ya miaka ya nyuma.Nilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Kwa tambo zile hakuna kitu hapo.Acha uongo we UvccM mpumbavu
View attachment 2490158