Mwanzo wa meditation

Mwanzo wa meditation

Rakims mkuu tangu umeanzisha huu uzi nimekuomba uniunganishe kwenye hio group ya yoga na nashakukumbusha mara kibao ila hujaniunga, je kuna vigezo maalum ambavyo sijafikia? Kama vipo vitaje ili nivitafute!

Hakuna Vigezo.. namba Yako Cjaipata Mkuu.. Ni P.m

#Rakims
 
Last edited by a moderator:
Samahani kwa usumbufu mi ni mgumu kidogo kuelewa nivumilie tu,umeweka vifungu vya bible then ukaendelea na mada mi nikashindwa kuunganisha,nafatilia haya mambo tangu pasco aanzishe nikawa msomaji tu ckuwa na acces ya kumuuliza na mchina wangu ila leo nimeongeza uelewa kidogo kutokana na maswali ulioulizwa na kujibu vizur
 
Samahani kwa usumbufu mi ni mgumu kidogo kuelewa nivumilie tu,umeweka vifungu vya bible then ukaendelea na mada mi nikashindwa kuunganisha,nafatilia haya mambo tangu pasco aanzishe nikawa msomaji tu ckuwa na acces ya kumuuliza na mchina wangu ila leo nimeongeza uelewa kidogo kutokana na maswali ulioulizwa na kujibu vizur

hiyo ilikuwa ni provement ya "NENO" Au "SAUTI" Ilivyo Na Nguvu Pia...

#Rakims
 
Na Kwa Wale Wanaotaka Kumeditate Kwa Kutumia Beat Watumie Inayoitwa "COSMIC SERENITY" Original Ambayo Iko Proved Na Watu Wasiopungua 10...

#Rakims
 
Basi sawa mkuu,ukifanikiwa kuingia huo mlango umesema ukitaka kutoka urudie hali ya kawaida unagonga kidole, je ukiwa unaona matukio yote hayo bado utakuwa unajitambua kama binadamu wa kawaida hadi utambue hiki ni kidole?

je unakigonga chini mahala hapo ulipo au sehemu ya mwili?
 
Basi sawa mkuu,ukifanikiwa kuingia huo mlango umesema ukitaka kutoka urudie hali ya kawaida unagonga kidole,je ukiwa unaona matukio yote hayo bado utakuwa unajitambua kama binadamu wa kawaida hadi utambue hiki ni kidole ?je unakigonga chini mahala hapo ulipo au sehemu ya mwili?

jinsi ya kugonga kidole nimeeleza.... Hiyo Ni Kama Unaangalia Tv....

#Rakims
 
Rakims nashukuru kwa kuniridisha kwenye group.

Hongera kaka kwa kuwepo darasani. Mi nili mp mwalimu tangia the first day ya tangazo na kuomba na kuomba lakini sijawahi hata kulinusa tu. Labda kuna vigezo maalumu mwalimu anaangalia. Wacha tu nikomae hapa hapa maana hakuna jinsi.
 
Hongera kaka kwa kuwepo darasani. Mi nili mp mwalimu tangia the first day ya tangazo na kuomba na kuomba lakini sijawahi hata kulinusa tu. Labda kuna vigezo maalumu mwalimu anaangalia. Wacha tu nikomae hapa hapa maana hakuna jinsi.

usilaumu Cjapata Namba Yako Ni P.m Tena..

#Rakims
 
Mkuu hili darasa sio lasiku moja wala mbili..
Ni hatari aisee
 
hiyo picha imechorwa kama namba 3 ni aang'yn kiarabu... kihindi wanasema ooohmm ohm yani mungu.... ni baada ya kuona power tofaut tofaut zinatoka kwenye third eye fikra zao zikawatuma ni mungu yupo hapo wachina pia wanasanam wameweka dots kwenye kati ya nyusi hivyo still wanaabudu sio sanam bali power lile sanam ni pambo..

mnh nisijekutekwa kuongea siri za watu... so wanafanya kuabudu sanam ili wewe usitambue nini kinachowapandisha.. mungu katupa nguvu badala tumshukuru tunaabudu vyake... alivyotupa tuvitumie ili tumuabudu cio tuviabudu....

#Rakims
 
hiyo picha imechorwa kama namba 3 ni aang'yn kiarabu... kihindi wanasema ooohmm ohm yani mungu.... ni baada ya kuona power tofaut tofaut zinatoka kwenye third eye fikra zao zikawatuma ni mungu yupo hapo wachina pia wanasanam wameweka dots kwenye kati ya nyusi hivyo still wanaabudu sio sanam bali power lile sanam ni pambo... mnh nisijekutekwa kuongea siri za watu... so wanafanya kuabudu sanam ili wewe usitambue nini kinachowapandisha.. mungu katupa nguvu badala tumshukuru tunaabudu vyake... alivyotupa tuvitumie ili tumuabudu cio tuviabudu....

#Rakims

kwaiyo wanavyoabudu sanamu wanatuzuga wanakuwa wana meditate inner power sio?
 
kwaiyo wanavyoabudu sanamu wanatuzuga wanakuwa wana meditate inner power sio?

Ndio Maana Imagine Wewe Umeweka Pesa Mbele Yako Halafu Unasema Naiangalia Ikichanika Tu Au Kupeperuka Basi Ombi Langu Limetimia.. Unakaa Mawazo Yote Yanapotea Linabaki Moja Tu La Kuangalia Ile Karatasi Ya Pesa.. Hapo Nipo Brain Power Inafanya Hiyo Kazi Na Utaona Machozi Yanalenga Na Macho Yanauma, Halafu Pesa Inapeperuka Hali Hamna Upepo Au Kuungua Kabisa.

Je, Unajua Nini Kimetokea? Soma Sana Mkuu. Huwezi Kuabudu Asiekuwa Mungu Wala Kuwa Bilionea Kwa Kumtumikia Satan. Amini Aliempa Nguvu Satan Ndiye Amekupa Wewe Pia.... Alamsiki

#Rakims
 
nataka kufamu mimi nina nguvu gani, je nawezaje kujifahamu?
 
Nikifanya meditation huwa naexperince vitu vikinichoma, kama sindano sehemu tofauti za mwili. Baadae katikati ya nyusi panatekenya kama vile kuna kitu kama ka mdudu hivu.Halafu kwenye tumbo usawa wa diaphram panakuwa na sensetion nikipagusa kama vile niliwahi kuwaruzwa hivi japo sio maumivu. Rakims hii ina maana
gani?
 
Nikifanya meditation huwa naexperince vitu vikinichoma
kama sindano sehemu tofauti za mwili. Baadae katikati ya nyusi panatekenya kama vile kuna kitu kama ka mdudu hivu.Halafu kwenye tumbo usawa wa diaphram panakuwa na sensetion nikipagusa kama vile niliwahi kuwaruzwa hivi japo sio maumivu. Rakims hii ina maana
gani?

Hapo Unaawake Third Eye Bila Kuilocate Ndio Maana Inalocate Sehemu Tofauti Tofauti.. Inatakiwa Itue Kwenye Third Eye Area Ili Upate Mambo Mazuri Mkuu.. Hongera Watu Wengine Humu Wanawiki Mbili Wanameditate Hawaoni Hata Kichwa Kuuma.

Wakati Ndio Dalili Kuu Ya Kwanza Sasa Sijui Wanameditate Vipi,

#Rakims
 
Ndio Kupitia Ulimwengu Wa Ndoto(Spirit World) ndoto 3 unazozikumbuka Umewahi Kuota Ni Zipi?

[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=rakim]#rakim s[/URL]

#rakim nimewahi kuota napigana na mtu kwa kutumia silaha aina ya panga na nikamshinda, ya2 pia niwahi kuota napigwa na mtu kwa kunichoma na peni lakini mwisho wa siku akakamatwa na kupelekwa mahakamani na mimi nikashinda kesi, ya 3 mara nyingne huwa naota nyoka anataka kunidhuru lakini anashndwa
 
Back
Top Bottom