tahit
Member
- Aug 22, 2014
- 55
- 31
asante sana ngoja niongeze juhudi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante sana ngoja niongeze juhudi mkuu
mkuu rakims,,mimi huwa nikimuwaza sana mtu lazima anipigie simu au nikutane nae njiani hata kama hatujaonana miaka,au nikisoma neno jipya au jina mahali na kuliweka kichwan basi lazima nitakutana na hilo neno tena ndani ya siku chache sehemu nyingine au hata kulisikia kwenye vyombo vya habari,,imekaaje hii?,,,
mkuu rakims,,mimi huwa nikimuwaza sana mtu lazima anipigie simu au nikutane nae njiani hata kama hatujaonana miaka,au nikisoma neno jipya au jina mahali na kuliweka kichwan basi lazima nitakutana na hilo neno tena ndani ya siku chache sehemu nyingine au hata kulisikia kwenye vyombo vya habari,,imekaaje hii?,,,
Acha uwongo, Mbona group bado lipo? Nami ni member es group whatsapp? We hayo umeyapata wapi? You don't deserve to be called a GT.Nimesikia kuwa lile group la whatsapp a.k.a elimu hewa limevunjwa na mwalimu wao kisa wanafunzi hawataki kutoa ada a.k.a skuli fizi. Mwl njaa wanafunzi njaaa raha kweli.
Pasco kuna sehemu alicomment sijui alitumia panic au vipi kwenye uzi wake alidai kuna nguvu mbili ndani yetu kitu ambacho si kweli katika dini zote kwamba inside us kuna break & build powers au kuna light and dark power hapo nakataa kwa kishindo kikubwa.... Naipast hii jf...
#Rakims
Mkuu haya tuambie wewe jinsi unavyofahamu wengine wapate kuelewa maana nimchanganyiko sasa unaotaka kuzaliwa hapa.Pasco kuna sehemu alicomment sijui alitumia panic au vipi kwenye uzi wake alidai kuna nguvu mbili ndani yetu kitu ambacho si kweli katika dini zote kwamba inside us kuna break & build powers au kuna light and dark power hapo nakataa kwa kishindo kikubwa.... Naipast hii jf...
#Rakims
kwani darasa aliendelei mkuu rakims.mi nipo hapa kenya nafuatilia kimya kimya bt meditation imekuwa ngumu sana kufanya hapa nairobi.ata kuwa usiku vipi bado kelele zitakuwa,honi za magari,reggea club,maneiba kugegendana n.k.t.bt niko na vibration mingi na sijawahi fanya meditation.mara kwa tumbo,mara kifua mara mguu.huwa nina ndoto nyingi na nikiota mtu amefariki lazima atakuwa wa familia lakini uwa cjui ni nani.shukrani wakuu.i love tz so much natamani kutembea uko.c wakenya 2melaza damu sana.
Are You Sure?