Mwanzo wa meditation

Mwanzo wa meditation

#BRAZA-rakims bado mdogo wako tatizo langu ni lilelile kuhusu ndoto zangu zinazonitesa kila leo..NAOTA NACHEZA MPIRA,NAPAA ANGANI IWE KWA RAHA AU TABU,NIKO SHULE NASOMA,NAWAUA NYOKA, hizi ni ndoto ambazo haiwezi pita wiki bila kuota,

Una Power Ya Mediumship ndio Inayokufanyia Bell ringing...

#Rakims
 
Je kaka [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Rakims]#Rakims [/URL] waweza maana yake au ntawezaje kuziepuka hzo zote maana sijui maana yake na zinanitokea kila mara na nilishawahi kumuona nabii yusufu mara 2 na kuliona NENO AGRIPINA mara 6 na kuliona neno MENE MENE NA PERERI mara 2 ktk ndoto ni nini hii kwa ueldwa wako kaka [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Rakims]#Rakims [/URL] ..na nakumbuka uliniambia nna jini linalonilinda kama sijakosea linahitaji nilitambue je ntaanzaje kuliambia kuwa natambua uwepo wake?hatua ya kwanza na mwisho?kati ya wanafunnzi wako wasumbufu darasani mi mmoja wapo plz usitoe nje ya darasa nahitaji nami niwe mmoja wa wanaofaulu ktk darasa lako


Hiyo Power Itakuletea Mengi Ya Kukuwazisha,kukufikirisha.. Kukuburudisha,kukushangaza n.k all you have to do ni kuamini Unapower Iliyoactive na Inataka iwe controlled Au Sivyo Ukichelewa Utakuwa Unaposess Ukiendelea Kuisubiri Utaposess Ukifuatilia Uta I control the Choice Is Yours.

Ikikuposess watu watakwambia Unapepo Wachafu.. Ukiicontrol Watasema Una Kubuli,au una power Ya Upako.... Hahahaaah binadamu hawakosi la Kunenaa...

#Rakims
 
Hiyo Power all you have to do ni kuamini Unapower Iliyoactive..ASANTE BRO KWA USHAURI wako UNAONIINGIA AKILINI ila TATIZO LANGU SI KUAMINI BALI NI JINSI YA KUICOTROL ntaanzaje anzaje ili mimi ndiye niicontrol hyo POWER.?
 
"The Soul Always Knows How To Heal Itselft The Challenge Is To Turn Off The Mind"

#Rakims

Your mind is controlled by your soul, inter-alia, the soul and mind have a relationship in the brain and entire body all of the time, but the will is a function of mind and may overrule our feeling principles in the moment and the soul do not force ever.

this is why people created in the image of the Creator can kill and deceive. because their own minds have been controlled by thoughts in relationship to the world and experience in spite of the very souls/spirit of these people.

Since the mind creates fear of ideas in relationship to soul which holds responsibility for feelings. Therefore, soul relates fear to minds ideas ... can you accept..?
 
Oooogh! Sijui nilichelewa wapi mie Rakims
 
Last edited by a moderator:
rakems tafadhali. nilipoteza cim Mbaya zaid. aliyeokota. naona anaitumia. hebu. niondoe alafu uniunge kwa no hiyo hapo juu
 
Marejesho ya meditation nilofanya jana

Wakati na meditate nilihisi kitu kinaranda mwilini mwangukinakuja kuanzina miguuni, mapajani, tumboni, kifuani pia mdomoni na puani vilevile kwenye paji la uso, naweza kusema ile hali kama ya mtetemeko hivi, pia zaidikwenye mikono yangu ilikua na hali kama hiyo yaku tetemeka au kama ganzi hivina ilifikia hali mpaka viganja vyangu nilikua nahisi vidole ya mikono yotemiwili vimepinga kabisa, ila hali hiyo ilinichukua mpaka nikawa nahisi kamanaelea hivi kwenye hewa hisia za kuelewa zilikua katika miguu na mikonomgongoni kwangu nilihisi kama bado uko juu ya kitanda na kichwani nilihisikatika kipaji change cha uso hali kama Ile ya sheking mwili, nilimeditatetakriban dakika 45 hivi, naomanitamalizia hapo.

Sasa nilikua nataka kujua nimefikia hali gani ya meditationna naweza kujua nna power za aina gani, meditation ni mara yangu ya mwanzokufanya ila nilikua na high body spirit.

Natanguliza shuktani zangu kwako.
 
Marejesho ya meditation nilofanya jana
Wakati na meditate nilihisi kitu kinaranda mwilini mwangukinakuja kuanzina miguuni, mapajani, tumboni, kifuani pia mdomoni na puani vilevile kwenye paji la uso, naweza kusema ile hali kama ya mtetemeko hivi, pia zaidikwenye mikono yangu ilikua na hali kama hiyo yaku tetemeka au kama ganzi hivina ilifikia hali mpaka viganja vyangu nilikua nahisi vidole ya mikono yotemiwili vimepinga kabisa, ila hali hiyo ilinichukua mpaka nikawa nahisi kamanaelea hivi kwenye hewa hisia za kuelewa zilikua katika miguu na mikonomgongoni kwangu nilihisi kama bado uko juu ya kitanda na kichwani nilihisikatika kipaji change cha uso hali kama Ile ya sheking mwili, nilimeditatetakriban dakika 45 hivi, naomanitamalizia hapo
Sasa nilikua nataka kujua nimefikia hali gani ya meditationna naweza kujua nna power za aina gani, meditation ni mara yangu ya mwanzokufanya ila nilikua na high body spirit
Natanguliza shuktani zangu kwako


Mkuu kwa Kuwa ni mara yako ya kwanza nnakushauri uendelee kufanya, kikubwa ni awareness, usiupe ubongo picha au tukio, safisha kwanza ubongo, maana ni mapema saana kujua una power gani, kila mtu anazo power
 
rakems tafadhali. nilipoteza cim Mbaya zaid. aliyeokota. naona anaitumia. hebu. niondoe alafu uniunge kwa no hiyo hapo juu

Ni PM siku nikirudi whatsapp takuweka ila wenzio bado wamo na wameanza kunusa nusa matunda ya meditation na Powers....

#Rakims
 
Marejesho ya meditation nilofanya jana
Wakati na meditate nilihisi kitu kinaranda mwilini mwangukinakuja kuanzina miguuni, mapajani, tumboni, kifuani pia mdomoni na puani vilevile kwenye paji la uso, naweza kusema ile hali kama ya mtetemeko hivi, pia zaidikwenye mikono yangu ilikua na hali kama hiyo yaku tetemeka au kama ganzi hivina ilifikia hali mpaka viganja vyangu nilikua nahisi vidole ya mikono yotemiwili vimepinga kabisa, ila hali hiyo ilinichukua mpaka nikawa nahisi kamanaelea hivi kwenye hewa hisia za kuelewa zilikua katika miguu na mikonomgongoni kwangu nilihisi kama bado uko juu ya kitanda na kichwani nilihisikatika kipaji change cha uso hali kama Ile ya sheking mwili, nilimeditatetakriban dakika 45 hivi, naomanitamalizia hapo
Sasa nilikua nataka kujua nimefikia hali gani ya meditationna naweza kujua nna power za aina gani, meditation ni mara yangu ya mwanzokufanya ila nilikua na high body spirit
Natanguliza shuktani zangu kwako


Hongera Umepiga Hatua Naweza Kusema Unatransvection power lakini hapana watakiwa uendelee mpaka usibitishe ni power au ni meditation na kuhusu vibration ile ya ganzi huwa ni kama pozo la spirit kwenye mwili sasa kuna ganzi aina kama tatu...

1:ganzi ya Power

2:ganzi ya Charger

3:ganzi ya awareness

Sasa hapo iliyokutokea wewe kwa maelezo yako ni ganzi ya awareness maana moja kati ya sheria za meditation ukitaka kuona usiangalie which means kwamba ukitaka vitu vikutokee kamili usichunguze kile kilichotokea au kukichambua awareness inakuwa haipo unakuwa kama unamwagia maua maji halafu mpira unaukunja kunja....

Kama ulikuwa unaangalia third eye hukutakiwa uweke awareness sehemu nyingine zaidi ya hapo so hata ikija ganzi kutoka pengine utaichambua ukitoka kwenye meditation....

LAKINI:
Hongera umejitahidi kupata effects adhwimu kabisa...wengine hawajawahi kupata hata hiyo jitahidi utafika stage nzuri tu wala hakuna tabu tupo pamoja....

#Rakims
 
Hongera Umepiga Hatua Naweza Kusema Unatransvection power lakini hapana watakiwa uendelee mpaka usibitishe ni power au ni meditation na kuhusu vibration ile ya ganzi huwa ni kama pozo la spirit kwenye mwili sasa kuna ganzi aina kama tatu...

1:ganzi ya Power

2:ganzi ya Charger

3:ganzi ya awareness

Sasa hapo iliyokutokea wewe kwa maelezo yako ni ganzi ya awareness maana moja kati ya sheria za meditation ukitaka kuona usiangalie which means kwamba ukitaka vitu vikutokee kamili usichunguze kile kilichotokea au kukichambua awareness inakuwa haipo unakuwa kama unamwagia maua maji halafu mpira unaukunja kunja....

Kama ulikuwa unaangalia third eye hukutakiwa uweke awareness sehemu nyingine zaidi ya hapo so hata ikija ganzi kutoka pengine utaichambua ukitoka kwenye meditation....

LAKINI:
Hongera umejitahidi kupata effects adhwimu kabisa...wengine hawajawahi kupata hata hiyo jitahidi utafika stage nzuri tu wala hakuna tabu tupo pamoja....

#Rakims
Shuran Mkuu Ramkis nitazidisha bidii kasha nitakupa marejesho
 
Ticha utarudi tu..kwa whatsapp darasa linachacharika...nikama nilivyosema elimu hii ni kubwa sana na adhimu mno..japo mi bado beginner..tunamiss sana..tunakusalimia ticha
 
Mkuu Rakims na mimi ningependa kuunganishwa kwenye whatsap no yangu ni hii +968 97834320

sukran
 
Back
Top Bottom