Mwanzo wa meditation

Mwanzo wa meditation

Shukrani kwa pongezi, shukrani pia kwa ufafanuzi.. nitaendelea kwa kufuata ulivyoelekeza.

Umeniacha njia panda uliposema kuwa, hapa ninanukuu: Ulikuwa Unajifikiria Jinsi Ya Kumtongoza Wa Kike, Amekupa Namba Yake Mwenyewe. Mwisho wa kunukuu.

Ufafanuzi walau mkuu.

#Mtayarishaji

Anhaa! hapo Ni Vile Nilikupa Mfano Kwamba Ulikuwa Unafanya Meditation Itakuwa Vipi Au Itatokea Vipi Sasa Ili Kukupa Moyo Kwamba Unaweza Ifanya Ndio Ikakuonyesha Akili Yako Kitu Kama Trailer....
Tupo Pamoja Mkuu?

#Rakims
 
Samahan mkuu RAKIMS kwenye Group letu umeweka sheria na taratibu pia miiko ya Group,hivi huoni muda sasa umefika wa kuangalia kama sheria za Group zinafuatwa....??

Maana sasa Group limegeuka na maana yake sasa haipo tena,kuna Siasa, Dini, na mengine mengi.....Sa sijui kama wewe mwalimu Malengo yako yalikuwa hayo yanayoendelea sasa au ilikuwa kutupa Elimu... ??
 
Samahan mkuu RAKIMS kwenye Group letu umeweka sheria na taratibu pia miiko ya Group,hivi huoni muda sasa umefika wa kuangalia kama sheria za Group zinafuatwa....?? Maana sasa Group limegeuka na maana yake sasa haipo tena,kuna Siasa,Dini,na mengine mengi.....Sa sijui kama wewe mwalimu Malengo yako yalikuwa hayo yanayoendelea sasa au ilikuwa kutupa Elimu... ??

Nakuja Huko Sasa Hivi Mkuu I Was Little Busy..

#Rakims
 
3.3 Various Experience... Soon Later..
 
Samahan mkuu RAKIMS kwenye Group letu umeweka sheria na taratibu pia miiko ya Group,hivi huoni muda sasa umefika wa kuangalia kama sheria za Group zinafuatwa....?? Maana sasa Group limegeuka na maana yake sasa haipo tena,kuna Siasa,Dini,na mengine mengi.....Sa sijui kama wewe mwalimu Malengo yako yalikuwa hayo yanayoendelea sasa au ilikuwa kutupa Elimu... ??

Naunga mkono hoja. Haya mambo ya Dini, mapenzi, siasa yabaki kwenye majukwaa husika hapa Jamiiforums
 
Mkuu rakm ss wenye vi mchina 2nakosa meng et?
 
Nakuja Huko Sasa Hivi Mkuu I Was Little Busy..

#Rakims
Mkuu Mi nasikitika coz you have never added me into the group despite I had inboxed you early. Na nimwanafunzi wako mzuri tu. Ila ninachojua ni kwamba uwafundishacho huko ndicho hiko hiko unachotufundisha hapa.

Natanguliza shukrani
 
Mkuu rakims nasikitika umenitoa kwenye group la whatsap.
 
Mkuu Mi nasikitika coz you have never added me into the group despite I had inboxed you early. Na nimwanafunzi wako mzuri tu. Ila ninachojua ni kwamba uwafundishacho huko ndicho hiko hiko unachotufundisha hapa. Natanguliza shukrani

hapana Kule Tuna Darasa La Binaural Beats & Yoga....

#Rakims
 
Mwalm naomba ushaul tafadhali
majuz nilikuwa nikisikiliza nyimbo nyumban kwangu punde nikasikia wimbo {(Unlimited)p square} ambao nilikuwa nikisikiliza wakat nasafili kutoka moro kwenda tanga ilikuwa mwakajana.

Wakat bits znagawanyika, ENDELEA hapo chn
 
Kichwani nilipatwa na 2kio si laajabu xana kwani nilianza kuikumbuka safal ile japo si sana .Kwahali hiyo ikanivuta nikatandika taulo sakafuni nikaa,nikafumba macho huku saut zkiendelea kikavuta kumbukumb nikastaajabu kwa nilichokiona mawazon
ENDELEA
 
Niliweza kukumbuka toka nachukua begi nyumban mpaka nafika moro mjin nakata tikiti ya bas la Tanga napanda nafika mheza nashuka nachukua bodaboda

kilicho nistua nikwamba niliyaona ma2kio yote kama natazama sinema
Je nini hichi
na nitawezaje ongeza
 
Rankims naomba utatoa ufafanuzi hapa kwa faida ya wote 1407938564168.jpg1407938585238.jpg1407938608237.jpg1407938633437.jpg
 
Back
Top Bottom