Mwarobaini wa kukomesha tabia ya uzinzi kabla ya ndoa huu hapa

Mwarobaini wa kukomesha tabia ya uzinzi kabla ya ndoa huu hapa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Mimi naona uwepo utamaduni kwenye jamii zetu za sasa wa kuwasaidia mabinti. Wanazalishwa kisha wanaachiwa jukumu zito la kulea watoto peke yao.

Wanazalishwa kisha waliowazalisha wanakwenda kuoa msichana mwingine na yule aliyezalishwa kuonekana hajatulia na jamii kumtazama kwa mtazamo hasi.

Jukumu la kumlinda mtoto wa kike asipoteze heshima yake katika jamii ni la kila mmoja hasa mzazi wa binti ndiye awe mstari wa mbele.

Iwekwe Sheria ndani ya makanisa kuwa binti kama hana usichana (bikra) siku ya kuolewa asivalishwe shela, pili asifanyiwe sherehe.

Wazazi wa Kiafrika wanapenda sana sherehe, wakiambiwa hivi watawachunga sana mabinti zao Vijana wengi hawataki kuoa kwasababu sexy inapatikana kila mtaa kwa gharama nafuu sana. Au hata bure . Ikiwa sexy ni ghari vijana wataoa.

Soma Pia: Ndoa hazina thamani tena wanaume tunaoa wanawake ambao teyari ni wake wa wanaume wenzetu

Msichana kama hana bikra hana tofauti na msichana mwenye mtoto. Kitu ambacho binti ambaye ameolewa huku amezaa anaweza kufanya ndani ya ndoa pia kinaweza kufanywa na binti ambaye hajakutwa na bikra.
Mungu kuweka bikra kwa binti hakuwa chizi, ile ni ishara ya agano. Kila agano hai lazima lihusishe damu
Kwa ufupi binti ambaye hana bikra huyo ni mke wa mtu
 
mmechelewa sana tena sana!,

Wazazi hawawezi kuwa control watoto kwenye hilo swala, ndoa si kama hewa mtu anaipata masaa 24 na mpk kifo chake, ndoa mtu anaweza kukaa miaka hata 30 hajaoa ama kuolewa sasa hilo pwiru la hapo unalijua ndugu..😂

let's say mtoto afikishe miaka 25, huyu anakila hali ya kuweza kujitegemea ataenda kupanga si huko kwenu mnambania haya kaenda kupanga, itatolewa tu. halafu usijidanganye ndoa lazima ifungwe kanisani nyie mkigoma nachukua bebi wangu mwantumu ambae hana bikra naenda kuoana nae serikalini, kama serikali ikitutambua nyie mtajijua hukohuko!.

Lile tendo ni haki ya kila mtu isipokuwa tu watu wanakosea namna ya kulifanya!, kwasababu kama swala ni mimba zipo njia za kuzui, magonjwa pia hivyo swala ni elimu,elimu,elimu maana zile hisia za lile tendo ni kali mno binadamu aliekamilika kukaa nazo ni sawa na mzigo wa misumari utalitupa tu!, ukisema watu kufanya hilo tendo ndoa jiandae kukithiri kwa matendo ya ubakaji, ulawiti, na wengine wanaweza kupata hata shida ya afya ya akili..
 
Habari!

Mimi naona uwepo utamaduni kwenye jamii zetu za sasa wa kuwasaidia mabinti. Wanazalishwa kisha wanaachiwa jukumu zito la kulea watoto peke yao.

Wanazalishwa kisha waliowazalisha wanakwenda kuoa msichana mwingine na yule aliyezalishwa kuonekana hajatulia na jamii kumtazama kwa mtazamo hasi.

Jukumu la kumlinda mtoto wa kike asipoteze heshima yake katika jamii ni la kila mmoja hasa mzazi wa binti ndiye awe mstari wa mbele.

Iwekwe Sheria ndani ya makanisa kuwa binti kama hana usichana (bikra) siku ya kuolewa asivalishwe shela, pili asifanyiwe sherehe.

Wazazi wa Kiafrika wanapenda sana sherehe, wakiambiwa hivi watawachunga sana mabinti zao Vijana wengi hawataki kuoa kwasababu sexy inapatikana kila mtaa kwa gharama nafuu sana. Au hata bure . Ikiwa sexy ni ghari vijana wataoa.

Soma Pia: Ndoa hazina thamani tena wanaume tunaoa wanawake ambao teyari ni wake wa wanaume wenzetu

Msichana kama hana bikra hana tofauti na msichana mwenye mtoto. Kitu ambacho binti ambaye ameolewa huku amezaa anaweza kufanya ndani ya ndoa pia kinaweza kufanywa na binti ambaye hajakutwa na bikra.
Mungu kuweka bikra kwa binti hakuwa chizi, ile ni ishara ya agano. Kila agano hai lazima lihusishe damu
Kwa ufupi binti ambaye hana bikra huyo ni mke wa mtu
Hilo zoezi linaweza kuanza miaka 20 ijayo kama Mungu akitujalia kufika. Kwa sasa hivi huwezi kumpata binti bikra. Wote waliopo ni MABWANGANASI 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣
 
mmechelewa sana tena sana!, by the way mkianza kupigania bikra basi wataanza kuliwa nyuma halafu waowaji wanaachiwa mbele kitu ambacho bado ni sumu tena sumu kubwa kuliko hiyo yakupoteza bikra ya mbele!.

pili wazazi hawawezi kuwa control watoto kwenye hilo swala, ndoa si kama hewa mtu anaipata masaa 24 na mpk kifo chake, ndoa mtu anaweza kukaa miaka hata 30 hajaoa ama kuolewa sasa hilo pwiru la hapo unalijua ndugu..😂

let's say mtoto afikishe miaka 25, huyu anakila hali ya kuweza kujitegemea ataenda kupanga si huko kwenu mnambania haya kaenda kupanga, itatolewa tu. halafu usijidanganye ndoa lazima ifungwe kanisani nyie mkigoma nachukua bebi wangu mwantumu ambae hana bikra naenda kuoana nae serikalini, kama serikali ikitutambua nyie mtajijua hukohuko!.

Lile tendo ni haki ya kila mtu isipokuwa tu watu wanakosea namna ya kulifanya!, kwasababu kama swala ni mimba zipo njia za kuzui, magonjwa pia hivyo swala ni elimu,elimu,elimu maana zile hisia za lile tendo ni kali mno binadamu aliekamilika kukaa nazo ni sawa na mzigo wa misumari utalitupa tu!, ukisema watu kufanya hilo tendo ndoa jiandae kukithiri kwa matendo ya ubakaji, ulawiti, na wengine wanaweza kupata hata shida ya afya ya akili..
Mabinti wengi wakiwa kwenye kipindi Cha miaka 22-26 huwaambii kitu wakakusikiliza ndio kipindi Cha machaguzi mengi kulinga kwingi na matarajio mengi hivyo wanaume waowaji huwa wanajiepusha nao
 
Back
Top Bottom