Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuelezea kuhusu changamoto ya huduma ya maji iliyopo katika Kata ya Kishiri, ufafanuzi wa Mamlaka ya Maji Mwanza umetolewa.
Kujua alichokisema Mdau huyo unaweza kubofya hapa ~ Changamoto ya maji Kanindo Kata ya Kishiri, Wilaya ya Nyamagana
"Ili kuweza kufikia eneo la Kishiri ambalo halijafikiwa na huduma ya maji, MWAUWASA imeandaa mradi kabambe wa thamani ya shilingi bilioni 8.4 ili kuweza kujenga mfumo wa maji.
"Maeneo yatakayonufaika ni pamoja na Kishiri, Mahina, Ipuli, Nyangulugulu, Kagua, Busekwa na maeneo yote ya jirani.
"Mradi huu utagharamiwa kwa mkopo wa masharti nafuu kutoka mfuko wa Taifa wa Maji na Bank ya TIB, na fedha zinategemewa kutoka Oktoba 2024."
"Kupitia mradi huu zaidi ya maunganisho 5000 yatafanyika ili kufikia wananchi wa maeneo husika."
Hali ilivyo maeneo ya Kishiri
Kujua alichokisema Mdau huyo unaweza kubofya hapa ~ Changamoto ya maji Kanindo Kata ya Kishiri, Wilaya ya Nyamagana
==== ====
Neli Msuya, Mkurugenzi Mtendaji Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) anasema:"Ili kuweza kufikia eneo la Kishiri ambalo halijafikiwa na huduma ya maji, MWAUWASA imeandaa mradi kabambe wa thamani ya shilingi bilioni 8.4 ili kuweza kujenga mfumo wa maji.
"Maeneo yatakayonufaika ni pamoja na Kishiri, Mahina, Ipuli, Nyangulugulu, Kagua, Busekwa na maeneo yote ya jirani.
"Mradi huu utagharamiwa kwa mkopo wa masharti nafuu kutoka mfuko wa Taifa wa Maji na Bank ya TIB, na fedha zinategemewa kutoka Oktoba 2024."
"Kupitia mradi huu zaidi ya maunganisho 5000 yatafanyika ili kufikia wananchi wa maeneo husika."
Hali ilivyo maeneo ya Kishiri