'Mwendazake' alipanda MBEGU za kujimaliza kwa mkono wake mwenyewe

'Mwendazake' alipanda MBEGU za kujimaliza kwa mkono wake mwenyewe

Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena? Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona
"...alijenga major project kwa pesa za ndani.."

Hapa umetudanganya mkuu
 
Conciperancy theories zisizo na kichwa wala miguu. Story za mtaani ndio mnataka kulisha wenye uelewa wa mambo?

Corona ukishakua na presha, kisukari, ukimwi na mbaya zaidi ukaacha na dozi kwa kuamini mitishamba hapo kinga inashuka ukipata corona unaondoka haraka sana, halafu zaidi udhulumu watu na ukataze wasiongee wanakua wanasali mioyoni kila usiku na asubuhi halafu majibu utayapata kwa muda muafaka
 
Conciperancy theories zisizo na kichwa wala miguu. Story za mtaani ndio mnataka kulisha wenye uelewa wa mambo?
Amini nakwambia huo n do ukweli mchungu ambao vichwa maji wengi wa hii nchi hua hawataki kuskia au kuambiwa huwezi pigana na rangi nyeupe wengi waliopambana nao walitangulia mbele za haki mapema lakini Mungu alivyowaajabu wazungu na covid yao wanaishi maono yake kua tutaishi na covid kama ugonjwa mwinginne
 
Ndio raisi pekee wa africa alisema hadharani africa ni tajiri na Tanzania ni tajiri hii ni mindset ya kua wapambanaji
Lakini siyo kweli kuwa hizo major projects ulizosema zinakuwa financed na fedha za ndani
 
Tatizo kubwa la CCM ni kutofikiria kuwa upinzani unapendwa na wananchi wanapenda kuona wawakilishi wao wakiwa bungeni. Yaliyo fanyika uchaguzi wa 2020 yalisababisha chuki kubwa kati wa vyama vya upinzani na chama tawala.
Kosa lililofanyika ni kuwabana wenye pesa wakanuna hyo ndo naamini failure ya mwendazake ila angeishi nao kwa akili asingefika hapa
 
Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena? Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona

Hizo propaganda ulizokuwa unalishwa na vyombo vya haba alivyovipora uhuru wake ndio unaniletea mimi? Sio kila mtu alikuwa ndani ya box kama ww. Kuna namna alitaka afahamike kupitia vitengo vyake vya propaganda, na ukweli halisi ni vitu viwili tofauti. Watu tumeshaamka tulikuwa tunawachora tu.
 
We are tax payers kinachotokea ni kwamba nakupa kwa mashart ntalipa kwa kukusanya tax hizo ni pesa za ndani
Ukisummarize hayo maelezo yako unaishia kusema ni mkopo.

 
"Mniombee nisiwe na kiburi" Haya ya Dunia ni mapito, Mungu ana siri kubwa katika kivuli cha maisha ya mwanadamu.
 
Amini nakwambia huo n do ukweli mchungu ambao vichwa maji wengi wa hii nchi hua hawataki kuskia au kuambiwa huwezi pigana na rangi nyeupe wengi waliopambana nao walitangulia mbele za haki mapema lakini Mungu alivyowaajabu wazungu na covid yao wanaishi maono yake kua tutaishi na covid kama ugonjwa mwinginne

Alipambana na mzungu gani, labda huko chattle ndio mnadanganyana kuwa alikuwa anapambana na wazungu. Kuna mzungu gani ana muda wa kupambana na sisi wakati tuko bado kwenye elimu ya kunawa mikono tukitoka chooni? Alikuwa mtu dhalimu sio zaidi ya hapo. Hizo propaganda mfu wapelekee mapeasants wenzako.
 
Nyerere alikataa kuwa jiwe, lakini Mwendazake aliona fahari sana kujiita jiwe, na ukiona binadamu anajifananisha na viumbe visivyokuwa na ufaham kama wa binadam aliyehai Basi ujue huyo binadam hana utimamu wa akiri.
 
Tatizo kubwa la CCM ni kutofikiria kuwa upinzani unapendwa na wananchi wanapenda kuona wawakilishi wao wakiwa bungeni. Yaliyo fanyika uchaguzi wa 2020 yalisababisha chuki kubwa kati wa vyama vya upinzani na chama tawala.
Inakuaje mtoto mzuri kama wewe unaongea yasiyoeleweka kabisa.??
 
Alikosea sehemu ndogo sana wakammaliza mwanamajumui wa africa kosa alilofanya kuja dar baaaaaaas ningekua malaika ningepaa nakumpa habaru hizi
Walianza kumsearch kitambo sana! Kuja Dar ilikuwa fursa kubwa sana kurahisisha mchakato...
Aliambiwa lakini hakutaka kutumia akili kuelewa...
Instead akajiimarishia mercenaries wa kigeni...

Anyway ngoja rirare kure rinakojua yeye...
Muhimu ni kuwa mwendazake alikuwa hapendwi na wenye akili! Kwa ubush-man wake yeye alianza kupiga hoja risasi... Kutukana na kujimwambafy!!
 
Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena? Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona
Soma hapo uone hizo fedha za ndani ulizokuwa unahubiriwa.
Hizo projects zote ni mikopo ambayo tunalazimika kuilipa wote. Yaani baba alikuwa mkopaji sana.
Elimu bure kaenda kukata kwenye mikopo ya elimu ya juu.
Udhalimu ni zile kesi za uhujumu uchumi za kusingiziwa, kuteka kutesa, kuonea na kuumiza.
20210402_171606.jpg


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom