Kumbuka alikuwa ni hiv +ve piaUviko + magonjwa ya moyo + malukanga = HAUTOBOI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka alikuwa ni hiv +ve piaUviko + magonjwa ya moyo + malukanga = HAUTOBOI.
Hizo zote ulizotaja ni miongoni mwa kazi basics kabisa za serikali... Na lazima ziende sambamba na maendeleo ya watu!Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena? Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona
Kumbuka alikuwa ni hiv +ve pia
Kwa hiyo haya ni ya kweli?Kosa lililofanyika ni kuwabana wenye pesa wakanuna hyo ndo naamini failure ya mwendazake ila angeishi nao kwa akili asingefika hapa
Hii magazijuto hata muddy physics hawezi kupataUviko + magonjwa ya moyo + malukanga = HAUTOBOI.
"Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona"Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena? Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona
Yule alikuwa zaidi ya Mwanaharamu ila mungu anatupenda sana Watanzania alitengeneza genge lake la kihuniKirusi Covid mwanaharamu sana
Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena? Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona
Kwani kuugua na kufa kwa Corona ni aibu ?! Corona si kaswende uionee aibu. Wameugua akina Boris, Trump, Raila sembuse na sisi !!.Isingewezekana kwa maraisi zaidi ya kumi kuja kumuaga kama issue ni covid19 na hakuna report hata waandishi wa kimataifa wa habari za uchunguzi kuthibitisha waliokufa walikufa kwa huo ugonjwa Covid ni theory na ajenda ya mzungu amkeni enyi watu mliokatika giza totoro mwendazake alipambana na watu walio na nguvu kubwa mno duniani ambao wakitka jambo hawashindwa wao ndio wanaziweka tawala nyingi africa madarakani
Ndio.
Kila nikitafakari uongozi wa mwendazake, ni kuwa alipanda MBEGU za kujimaliza mwenyewe na hatimae kifo chake.
Katika nchi yeyote, Kuna Mambo ambayo ni tunu za taifa Hilo.
Kwa Tanzania, umoja na mshikamano Kati ya makabila na dini na kada mbalimbali ni tunu ilio fanya taifa letu kusimama imara kwa miaka yote.
Kwa Kasi kubwa, mwendazake alitikisa misingi ya ushikamano na umoja wa taifa letu. Kauli za kibaguzi, mgawanyo wa miradi kiupendeleo na kuonea matajiri kulipanda sumu ambayo in long run ingeua taifa letu.
Bahati nzuri, they fixed him kwa maslahi mapana ya taifa letu tukufu.
Ni funzo kubwa kwa watawala wote wajao
What do you want to say? Hakuna aliyemuua. Amekufa kwa laana juu yake mwenyewe.Bahati nzuri, they fixed him kwa maslahi mapana ya taifa letu tukufu.
Ni funzo kubwa kwa watawala wote wajao
Akaozee mbali huko. Sisi tuendelee na life.Mwisho wa siku za maombolezo ni kesho tarehe 6, au siyo?
Na ifike haraka hii siku, tupotezee kabisa hii kitu na kufuta kumbukumbu zake...
Picha yake kwenye TV yangu na nyimbo nyimbo za kumsifu na kumtaja taja huyu mtu, mimi huwa zinatia kichefu chefu, sitaki kuona picha yake wala kusikia habari zake kabisa..!!!!
Ati aliwapa wafanyakazi nini kwa wakati?! Hata yeye mwenyewe angekusoma hapa angekushangaa sana.Huwezi kuniaminisha kwamba tawala ya mwendazake ilikua dhalimu wakati ilisomesha watoto wako bure,iliipaisha nchi kwenye uchumi wa kati,aliwapa wafanya kazi stahiki zao kwa wakati alijenga major project kwa pesa za ndani alikua sauti kwa wasio na sauti, alipambana na wala rushwa kwa maslahi mapana ya taifa niseme nini tena? Utawala wa baraka upo wapi kama waliobaka katiba ni walewale rangi ya kijani Mungu alimtuma kazi moja tuu kwenye hii nchi kutufikisha nchi ya ahadi ambayo hata musa hakuiona
Wazalendo
Hadithi za kutunga tunga na kuunga unga tu hizi. Kauwawa wapi,lini, e.t.cAlikosea sehemu ndogo sana wakammaliza mwanamajumui wa africa kosa alilofanya kuja dar baaaaaaas ningekua malaika ningepaa nakumpa habaru hizi
Ndio.
Kila nikitafakari uongozi wa mwendazake, ni kuwa alipanda MBEGU za kujimaliza mwenyewe na hatimae kifo chake.
Katika nchi yeyote, Kuna Mambo ambayo ni tunu za taifa Hilo.
Kwa Tanzania, umoja na mshikamano Kati ya makabila na dini na kada mbalimbali ni tunu ilio fanya taifa letu kusimama imara kwa miaka yote.
Kwa Kasi kubwa, mwendazake alitikisa misingi ya ushikamano na umoja wa taifa letu. Kauli za kibaguzi, mgawanyo wa miradi kiupendeleo na kuonea matajiri kulipanda sumu ambayo in long run ingeua taifa letu.
Bahati nzuri, they fixed him kwa maslahi mapana ya taifa letu tukufu.
Ni funzo kubwa kwa watawala wote wajao
Mwenda amepanda mbegu ya chuki, tunatakiwa tuamke sasa na kusema Never again
Sasa ni sisi tukomalie Katiba mpya kwa ajili ya Watoto na vilembwe vyetu visije kutawaliwa na Dikteta tena.
Hapa ndio tatizo linakuja, they fixed him; lete nadharia...Bahati nzuri, they fixed him kwa maslahi mapana ya taifa letu tukufu.
Ni funzo kubwa kwa watawala wote wajao
Unaambiwa they fixed him, wewe unakimbilia kirusi Covid! ??. Ndio maana wanasema kuelewa swali ni asilimia kubwa ya kujibu swali. Soma tena hoja ya mleta mada.Kirusi Covid mwanaharamu sana