'Mwendazake' alipanda MBEGU za kujimaliza kwa mkono wake mwenyewe

Bahati nzuri, they fixed him kwa maslahi mapana ya taifa letu tukufu.
He "fixed" himself, no body takes that credit.
Kwa Tanzania, umoja na mshikamano Kati ya makabila na dini na kada mbalimbali ni tunu ilio fanya taifa letu kusimama imara kwa miaka yote.
Ajabu kubwa ni kuwa kuna watu kosa kubwa kama hili hawalioni, wao wanaangalia barabara na madaraja, madege, n.k.!

Yapo mengine mazuri aliyojaribu kuyafanya, hata kama njia zake zilikuwa ni hovyo, kama kupambana na ufisadi; na kujaribu kulinda raslimali zetu..., ni mambo mazuri sana ambayo yangemletea heshima kubwa, kama asingetumbukia kwenye tabia zake mbaya, kama kuminya uhuru na haki za watu..., n.k., n.k..
 
Unaambiwa they fixed him, wewe unakimbilia kirusi Covid! ??. Ndio maana wanasema kuelewa swali ni asilimia kubwa ya kujibu swali. Soma tena hoja ya mleta mada.
Sasa nawe vipi.

Unakomaria kitu kisichokuwepo? Umeona kaweka ushahidi unaokushawishi ukubali kwamba kweli "they fixed him"? Kwanza ni nani kam'fix'!
 
Unaambiwa they fixed him, wewe unakimbilia kirusi Covid! ??. Ndio maana wanasema kuelewa swali ni asilimia kubwa ya kujibu swali. Soma tena hoja ya mleta mada.
Ameshakufa huyo, na wamemzika, hata haihitaji ligi,
fixed or unfixed, misfixed, not fixed, haihusu.....
 
Vipi wewe ulie mkamilifu na Mtimilifu? Je ni haki kuhukum Wenzio? Je wewe u Hakimu? Tujiepushe na ghazabu za Mungu juu yetu kwa mambo yanayozuilika.
 
Mwenda amepanda mbegu ya chuki, tunatakiwa tuamke sasa na kusema Never again

Sasa ni sisi tukomalie Katiba mpya kwa ajili ya Watoto na vilembwe vyetu visije kutawaliwa na Dikteta tena.
Kama Mwalimu Nyerere alivyowahi kusema kuwa kwa Katiba hii "mbovu" tukipata Kiongozi ambaye "hajatulia" hakika atatawala kidicteta
 
Nape alisema linapokuja swala la madaraka ccm kinabadilika kabisa na huwezi kukichezea.
Tatizo kubwa la CCM ni kutofikiria kuwa upinzani unapendwa na wananchi wanapenda kuona wawakilishi wao wakiwa bungeni. Yaliyo fanyika uchaguzi wa 2020 yalisababisha chuki kubwa kati wa vyama vya upinzani na chama tawala.
 
Hivi kuna aliyeibaka katiba kwa fujo na kisha kuikojolea kama mwendazake?
 
Unanitafutia ban. Stahiki gani wakati amefilisi mifuko yote ya hifadhi ya jamii kununulia ndege kwa cash? Kilangila.
 
Sasa nawe vipi.

Unakomaria kitu kisichokuwepo? Umeona kaweka ushahidi unaokushawishi ukubali kwamba kweli "they fixed him"? Kwanza ni nani kam'fix'!
Kwakuwa jambo hili hulijui, huna sababu ya kupinga, na si jambo jepesi hivyo kumwaga ushahidi hapa hata kama anao. Sasa naona kama ulivyo maliza na swali kwamba ni nani kamfix ndivyo ulitakiwa kuanza. Usishangae kupewa jibu. Usiwe mwepesi kukanusha wakati unaambiwa jambo. By the way, uliamini Mwendazake anaumwa Tundu Lisu alipotoa mara ya kwanza?
 
Wewe unaishi bushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi shauri juu ya hili, humu humu JF.
Sijui kama ushauri huu ulizingatiwa au la.
Mtu analindwa na watu wake mwenyewe unaotokana na mshikamano na umoja.
Mambo haya ya umoja na mshikamano yalitikiswa na tuliona Rais akilindwa na kikosi cha mitutu mizito na helikopta.
Nchi ikawa inaendeshwa kwa kauli za mtu mmoja pamoja na maendeleo anayotaka, sehemu anayotaka.
Mwisho wa siku anajikuta yuko peke yake.
 
Acha vitisho vya kijinga. Kila kitu kina mwisho wake. Kama ni tawala dhalimu kuanguka hakuna mwenye tatizo na hilo, na tawala zenye baraka ya watu zitadumu.
KMK kafa tar 17.2, JPM kafa tar 17.3 the same year,ni kitu cha kawaida? Watanzania jiulizeni hii kitu,it's not normal.
 
They fixed him...? Ukiitwa utoe ushahidi unao???
 
They fixed him...? Ukiitwa utoe ushahidi unao???
Kwa mazingira haya, "KMK kafa tar 17.2, JPM kafa tar 17.3 the same year,ni kitu cha kawaida? Watanzania jiulizeni hii kitu,it's not normal.,kuna haja ya ushahidi au ni kutia ndani kikosi chote cha ulinzi wake na kuanza upelelezi?
 
Kwa mazingira haya, "KMK kafa tar 17.2, JPM kafa tar 17.3 the same year,ni kitu cha kawaida? Watanzania jiulizeni hii kitu,it's not normal.,kuna haja ya ushahidi au ni kutia ndani kikosi chote cha ulinzi wake na kuanza upelelezi??


Kikosi cha ulinzi kipeleleze nini na wakati ndio kinatakiwa kipelelezwe?

Wewe unataka meko afufuke?
Ebu kausheni maisha yaende mberee
 
Sure,watu wako kama wanafurahia lakini hakuna rangi tutaacha ona,na huko baadae mzee atakumbukwa sana kwa mengi,watatamani arudi na hataonekana tena
 
Sure,watu wako kama wanafurahia lakini hakuna rangi tutaacha ona,na huko baadae mzee atakumbukwa sana kwa mengi,watatamani arudi na hataonekana tena

Utamkumbuka wewe na Dada zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…