Hivi unawajua bodaboda na daladala.. Tanzania nzima hao watu wanafanana akiliHuwa nikisema Mbagala wanaishi wajinga na uncivilised watu wanakasirika. Kuna maeneo hayakupaswa kuwa sehemu ya Dar.
MTU WA uswahili Tandale ana ustaarabu kuliko MTU WA Mbagala. Wale jamaa wako kama wanyama.
Sehemu gani Tanzania watu wanaelewa. Tanzania hamna ustaarabu wowote tuache manenoKule wangetawaliwa na katili mmoja akawatungia sheria zake akili zingewakaa sawa,niseme tu hawana akili
Yan kwa kifupi daladala zitakua za Gerezan-Kisemvule (pwani), Gerezani - Tuangoma (kigamboni) hiz zote hazisimami Mbagala bali zinapitaMwendokasi ikianza tegemea daladala kupotea,zitabaki chache sana,maana almost ruti zote za daladala zitakufa,daladala zitakuwa zinaanzia mwisho wa mendokasi kwenda swekeni huko mfano kingugi,kulingule etc,na mbagala foleni kubwa inaletwa na daladala sababu idadi ya wenye magari binafsi si wengi kulinganisha na wanaotegemea daladala,kwahiyo kwa mtazamo wangu ikianza mwndokasi wenye magari binafsi ndo wafaidika sana sababu barabara yap itakuwa nyeupe,na wale wanaotegemea daladala wote watategemea mwndokasi bdo hapo vita ya kupandia dirishani itapamba moto
Watanzania hawana akili ila mbagala wamezidi,unajua kimara yote haijapimwa ila unaweza kuona utofauti wa ustaarabu wa hizo sehemu mbiliSehemu gani Tanzania watu wanaelewa. Tanzania hamna ustaarabu wowote tuache maneno
Madaladala na malori pale kwa azizi ali... Pumbavu sanaNjia imeanza kukamilika. Shida ukivuka uhasibu kwenda mbele huko hawana ustaarabu ndio chanzo cha foleni.
Ahahahaaa sawa bwana maakili mengiWe ni mjinga na mshenzi mmoja unaepanga bidhaa hapo barabara ya Zakhiem unakuja kutetea upuuzi
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mbweni....Nakutajia miji katika mfanano wewe unaleta Ushindani na jufikiri kila anayepazungumzia vizuri Mbagala Basi ni MKAZI wa Mbagala .Sasa neno Mbweni Maputo kafananishe na Mbagala Chamanzi halafu uje kueleza hapi wapi Pazuri .
Maana Mbweni Maputo ni Pachafu vibaka na Gongo hovyo hovyo Wala hutoweza fananisha na Chamanzi .
Hadi 2030Daladala zifuatazo zitapigwa marufuku pindi tu mwendo kasi itaanza safari zake.
1: Daladala za Mbezi <>Mbagala
2: Daladala za Ubungo<>Mbagala
3: Daladala za Kariakoo <> Mbagala
4: Daladala za Kawe <> Mbagala
5: Daladala za Msasani <> Mbagala
6: Daladala za Makumbusho<>Mbagala
Next season 2027
7: Daladala za G.Mboto <>Mbagala
Kama foleni itakuwepo, itakuwa kwa kiwango kidogo sana.
TrueHadi 2030
Dar itakuwa imejiset vizuri sana
Mbagala haizidi goms kwa watu wengi
Tulete takwimu za sensaAre you serious dude..ukitoa mbagala hakuna sehemu yenye watu wengi dsm kama hapo
Stand ya mbezi mwisho tuna ustaarabu sana, mwendokasi ni foleni tunapanga, daladala watu wanapanga foleni. Huko Mbagala hata nipewe ghetto bure siwezi kuishi.Hivi Dar kuna sehemu wanaingia bila kugombania? Labda huko Masaki to Masaki.
Maana hata wa Masaki kutokea Ubungo enzi hizo mie niliacha bado Ubungo ipo, walikuwa wanagombania vizuri.
Hata Mawasiliano wanagombania hao waenda mitaa ya Masaki
Nenda stand ya Mbagala pale rangi tatu utakuja kufuta ulichoandka.Hivi Dar kuna sehemu wanaingia bila kugombania? Labda huko Masaki to Masaki.
Maana hata wa Masaki kutokea Ubungo enzi hizo mie niliacha bado Ubungo ipo, walikuwa wanagombania vizuri.
Hata Mawasiliano wanagombania hao waenda mitaa ya Masaki
Waarabu wakitubagua tunalalamika wakati sisi ndio tunaongoza kubaguana kwanini unawabagua Wanawake waishio mbagala kwa kuwaita wana sura mbaya?Panda daladala ya Mbagala halafu nenda kapande daladala inayoenda Tegeta au bunju.
Mbagala basi Zima unaweza usione pisi Kali hata moja. Wanawake wamevaa madela yamechomekewa kwenye chupi. Sura zimeharibika. Vijana wamechoka.
Ila daladala za Sinza, Tegeta, Makongo juu unakuta pisi nzuri zinanukia, hata kama basi limejaa husikii mijasho. Ustaarabu upo Kwa kiasi chake.
Mbagala MTU kwenye basi anaweza kutoa tusi ukabaki unashangaa.
Mbagala itolewe Dar iwe sehemu yake
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Punguza mdomo wewe mbagala ni ya ovyo lakini usiongee usivyo vijua sehemu ina matawi ya bank zaidi 7 unawaita wenzako vichaa?Nenda stand ya Mbagala pale rangi tatu utakuja kufuta ulichoandka.
Utasema hawa ni binadamu au vichaa.
Sijapata kuona sehemu ya Hovyo kama mbagala