Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kwani kakuambia yeye sio CCM au ni chama cha upinzani? Au ukiwa CCM ndio unatakiwa kuwa msukule wa kushangilia kila kitu?Sasa ikiwa mtu ambaye amedhulumu watu na kuwatendea mabaya wananchi anateuliwa ninyi sindomnapaswa kufurahia sababu ccm watakuwa wamekosea hivyo itakuwa ni kete nzuri ya nyie kuwashawishi wananchi wasiwachague CCM.
Sasa inakuwaje nyie tena muwapangie CCM watu wachezaji wa kucheza na kuwapangia number hadi sub za kufanya wakati ni wapinzani wenu?
Kwa upumbavu wa ccm inawezekana kabisaHayawi hayawi yamekuwa Kama Paulo Makonda karudishwa pamoja na yote aliyoyafanya Wakati wa UTAWALA KATILI kupata kutokea wa MWENDAZAKE kwanini SABAYA nae ASILAMBE TEUZI?
Ni wazi CCM haijali Mambo mabaya yaliyotendwa na Makada wake kwa WANANCHI bado inawateua kushika nafasi mbalimbali kwenye CHAMA na SERIKALI.
Kutokana na CCM kutokujali ni wazi TUTARAJIE SABAYA pamoja na kuwadhurumu fedha wafanyabiashara huko Arusha naamini kwa UTAWALA HUU Atalamba TEUZI na kuwa KATIBU wa ITIKADI.
Kila la Heri SABAYA
Ni maoni na pendekazo langu tu, bi Zuhura Yunus angefaa kwa hiyo post, na Kikeke achukue nafasi ya Zuhura ili kwanza naye ajifunze jinsi ya mfumo unavyofanya kazi.Makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa Mwenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Zuhura anafanyakazi gani Ikulu?Mbona Zuhura Yunus aliacha, tena BBC leo yupo na Mama yetu Mpendwa sana Mama Samia?
Kwani wao wanasikilizia mchongo kama watapewa nafasi auCHADEMA tumbo joto
Hiyo ni post ya Tivu akeee, hapo ndio panamfiti kabisa.....Ina wenyewe, wenyewe ndiyo sisi...
===
Kikeke ni mwenyewe?
Mani atoke BBC aje afanye kazi ya kulazimisha watu waamini rangi nyeusi kama ni nyeupe?Wangapi wameteuliwa walikuwa na taaluma zao na wakaenda kufanya siasa umezariwa Congo nini wewe
Vipi Lokole au baba LevoHapo kwa mwijaku naunga mkono kwa 100% 🤣 🤣 🤣
Kifo Cha mendeCcm inaenda kujifukia taratibu
AnawezaHii ndio habari inayotrend kwa sasa.
Makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya Katibu Mwenezi wa CCM taifa.
Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.
Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.
Anafaaa.Makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa Mwenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
E. Bily sepengaPiga kura kuchagua mwenezi.
A. Masanja mkandamizaji
B. Dotto magari
C. Mwijaku
D.gigy money
🤣🤣🤣🤣🤣Hii ndio habari inayotrend kwa sasa.
Makada kadhaa wa CCM wanasema kwa namna siasa za sasa zinavyokwenda bila kupata chawa mwenye wafuasi wengi mitandaoni na mwenye uwezo wa kujitoa ufahamu kumsifia mama Samia huku akiwananga watu wengine wote wenye mwelekeo tofauti na Mama Samia basi hali itaendelea kuwa mbaya na kila mara atatafutwa mtu wa kushika nafasi ya Katibu Mwenezi wa CCM taifa.
Bila kupepesa macho, jina la Mwijaku ndio likapewa nafasi kubwa zaidi.
Hii ni zamu ya chawa kutafuna fursa za taifa kwa kilemba cha CCM.
Watu mna vituko aisee.Atakuwa mhutu huyu.