Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Kweli kabisa kuna siku utakuja kusikia mpoki katibu mkuu ccmChama kimeshikiliwa na Wasanii 🐼
Kwa sasa Wasanii Ndio washauri WakuuKweli kabisa kuna siku utakuja kusikia mpoki katibu mkuu ccm
Aisee!Kama kichwa kinavyojieleza na pia makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa muenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Zero brain, academic failure, murder suspect... ana mvuto gani?Kama Makonda aliyekuwa na mvuto hajakubalika, unadhani nani atakubalika wakati unajua "Bosi wa sasa hataki kuzidiwa umaarufu"!
Wateule wake wote wamepooza kama maandazi ya mhogo yaliyolala (namaanisha kiporo cha maandazi ya mhogo).
Nyie ndo mnamchulia Kila mwaka, Mkiona Uchaguzi unataka Kufanyika wa mwenezi bhasi mnaanza kumletea Uchawi..Kama kichwa kinavyojieleza na pia makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa muenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Wangapi wameteuliwa walikuwa na taaluma zao na wakaenda kufanya siasa umezariwa Congo nini weweKikeke hawezi kuacha kazi za taaluma yake afanye maigizo ya CCM, hizo ni post za watu wasio na ujuzi wowote.
Umezariwa❌Wangapi wameteuliwa walikuwa na taaluma zao na wakaenda kufanya siasa umezariwa Congo nini wewe
Unasema?Ili kukivuta Kizazi kipya Chamani ni lazima Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi awe na Mvuto wa Asili siyo wa Mchongo
Mlale Unono 😀😀
Mbunge wa Segerea ana mvuto mpeni ueneziIli kukivuta Kizazi kipya Chamani ni lazima Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi awe na Mvuto wa Asili siyo wa Mchongo
Mlale Unono 😀😀
kwani kuna ubaya gani akiteuliwa huyo muungwana, na halafu hao wengine wakaendelea kua wanachama watiifu na wafuasi kindakinaki wa Chama Cha Mapinduzi 🐒Makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa Mwenezi wa CCM.
Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Labda hilo tako wanaona ni mvutoZero brain, academic failure, murder suspect... ana mvuto gani?
Au unamaanisha kwa lile genge yatima?