Anaenda kuharibu cv yake alioitengeneza kwa muda mrefu sasa
 
Hata akipatikana hadumu hata miezi minne,ni ku-waste calories tu kuombea vitu vya kijinga.
 
Makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa Mwenezi wa CCM.

Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE

Duuh Sisiemu hawawezi kufanya huo Upuuzi.
 
Yaan pamoja na umaarufu Salim Kikeke hawezi kua Mwenezi wa CCM sababu hio nafasi hamtoshi ni kubwa mno kwake kubwa sana hatoshi hata kidogo
Yaani Nape alitosha pamoja na uwezo wake mdogo ndio KKK asiweze?
Labda kama una maana ya kupiga kamati ya ufundi sawa na kwakuwa hicho kitengo hakihitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiria sawa.
 
Makada ambao wanajisifu watoto wa mama ambao wapo Lumumba leo wanaenda mpigia magoti bosi mpya SALIM KIKEKE ambaye ndiye anaenda kuwa Mwenezi wa CCM.

Mnaobaki endeleeni kusema mama anaupiga mwingi kongole sana KIKEKE
Katibu mwenezi lazima awe mtu ambaye hazipo sawa kidogo kichwani bila hivyo atashindwa kazi yake.
 
Ni kweli Katibu mwenezi CCM lazima awe mtu hazipo sawa sana kichwani na asiwe mtu mstaarabu.
 
Ccm inaenda kujifukia taratibu
 
Yawezekana kwa jinsi mama asivyojali mambo.
 
Anawafaaa kuliko yule jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…