Mwenye CV ya Dokta Mwaka

ni kweli hii kuna dawa zake nliagiziwa zamani khaa kila nkijaribu kunywa narudisha chenchi saioio ilibidi nizitupe tu
 
Hamna kitu pale. Ingekuwa ni hivyo ulaya si watu wangetibiwa sana. Hela za dhuluma hizi.
 
Mkuuu HV tumejiandaje na michuano yalio mbele yetu [emoji23] shirikisho

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Exactly bamia Ni dawa sahih za vidinda vya tumbo tokea namm nianze kuzila Hadi Leo imeisha hyo

Mm pia nilinusurika kuliwa hyo hyo laki tatu na hyu mpuuz rahabu kwa kuniambi hvyo hvyo mjinga Sana [emoji38] yaani umenikumbusha mbali Sana yaani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ulielekezwa kibla.Bahati yako ulikurupuka kabla haujasomewa dua ya kuchinjwa.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jamaa anatibu Kweli , hili tatizo yeye na mke wake lisiwatie maneno

Kuhusu kutaka kumshitaki mtu anaponyoka anatakiwa asikilize mke wake anahitaji nini? Na afanye vilee mke wake anahitaji ila kuhusu kutibu jamaa anatibu vizur tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…