Mwenye CV ya Dokta Mwaka

🀣🀣🀣🀣unataka kumuajiri?
 
Halafu wewe kumbe unajua namna ya kuwa milionea na hata hunistui..🀣
Best unaweza lakini kujitoa ufahamu? Umilionea wa aina hii, usiwe na aibu. Yaani kesho tu uamke uweke kwenye mtandao kuna dada, akikuchapa na ufagio unakuwa milionea. Unaanza toa mifano watu wa michongo. Utaona watu watakavyojaa. Tuanze basi πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hana elimu yoyote, mtu wa majini tu tena yale ya kununua. Anajiita Dr. kwa sababu anawaombea watu dua kupitia majini yake.
 
Alisoma Swami Vivekanada University Ipo Salem, Tamil Nadu, india. Na Alisomea Naturopath. Mimi wakati huo anasoma nilikuwa university of coimbatore huko huko tamili nadu
Wewe ndio yeye nini??? Weka evidence ya vyeti. Hizi ngenge nyingi za mdomoni zipo sana bongo.
 
Ni docta wa tiba asilia.
 
Hana Elimu yoyote ya Level ya Degree. Na alizuiwa na Dr. Kigwangala kujiita Doctor. Siku hizi ktk matangazo yake ya tiba ana kwepa kutumia Doctor, ana tumiaa Tabibu.
Sasa hapo mjinga nani wa kiingereza au kiswahili.
 
Kaachwa Bugatti itakuwa huyo Dr. wa mchongo!! Ila hata Manara nae mambo ni ya michongo tu shule sidhani yule jamaa maana uwa anaropoka ropoka sana. ukiona mtu ngenge nyingi ujue kichwani seti tupu.
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…