raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Dawa dumu ltr 5 m@#%!eee ππKuna mwingine Dr. Rahabu almanusura ale hela yangu kwa dawa ya Vidonda vya Tumbo, naambiwa dumu la lita 5 laki 3 likiisha nikachukue lengine nikaona ujinga huo siufanyi nikarudisha pesa yangu kwenye wallet nikaenda nunua Bamia za buku 2, nikala supu yake hadi leo....
Tumesoma wote india huyo, mimi nipo Coimbatore yeye yupo madras.Hana Elimu yoyote ya Level ya Degree. Na alizuiwa na Dr. Kigwangala kujiita Doctor. Siku hizi ktk matangazo yake ya tiba ana kwepa kutumia Doctor, ana tumiaa Tabibu.
tabibu mwaka ni mganga wa kienyeji aliechangamka.
ila CV yake anayo Kigwa, aligongewa mkewe kwa kisingizio cha dawa ya uzazi.
Hii ni elimu bora sana.Ana Elimu ya hapa na pale
Mpambanaji kimaisha, hustler.Mpambanaji kivipi?
Halafu wewe kumbe unajua namna ya kuwa milionea na hata hunistui..π€£Dr. Mwaka na Dr Ndodi Tz ukijua kucheza na maneno, unakuwa milionea haraka sana.
Huitaji hata elimu kubwa, mdomo wako tu, jitangaze kwenye radio na Tv. Subiri wajinga waliwawo waje.
π€£π€£π€£π€£unataka kumuajiri?Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao.
Mara yangu ya kwanza kumjua dokta mwaka ilikuwa 2011 nilipopanga na ndipo ukweni kwake.
Ila huyu jamaa miaka ya nyuma alikuwa Sheik wa tiba za dua kuondoa majini.
Sijui alisoma upepo kipindi cha nyuma tiba asili ziliwapa pesa sana watu kama marehemu dokta tamba.
Mimi nayofahamu ni hayo
India alisoma Chuo kipi?alisomea kozi ipi?Una hata picha yake ya huko India?Tumesoma wote india huyo, mimi nipo Coimbatore yeye yupo madras.
Best unaweza lakini kujitoa ufahamu? Umilionea wa aina hii, usiwe na aibu. Yaani kesho tu uamke uweke kwenye mtandao kuna dada, akikuchapa na ufagio unakuwa milionea. Unaanza toa mifano watu wa michongo. Utaona watu watakavyojaa. Tuanze basi πππππππππHalafu wewe kumbe unajua namna ya kuwa milionea na hata hunistui..π€£
Hana elimu yoyote, mtu wa majini tu tena yale ya kununua. Anajiita Dr. kwa sababu anawaombea watu dua kupitia majini yake.Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao.
Mara yangu ya kwanza kumjua dokta mwaka ilikuwa 2011 nilipopanga na ndipo ukweni kwake.
Ila huyu jamaa miaka ya nyuma alikuwa Sheik wa tiba za dua kuondoa majini.
Sijui alisoma upepo kipindi cha nyuma tiba asili ziliwapa pesa sana watu kama marehemu dokta tamba.
Mimi nayofahamu ni hayo
Alisoma Swami Vivekanada University Ipo Salem, Tamil Nadu, india. Na Alisomea Naturopath. Mimi wakati huo anasoma nilikuwa university of coimbatore huko huko tamili naduIndia alisoma Chuo kipi?alisomea kozi ipi?Una hata picha yake ya huko India?
Wewe ndio yeye nini??? Weka evidence ya vyeti. Hizi ngenge nyingi za mdomoni zipo sana bongo.Alisoma Swami Vivekanada University Ipo Salem, Tamil Nadu, india. Na Alisomea Naturopath. Mimi wakati huo anasoma nilikuwa university of coimbatore huko huko tamili nadu
[emoji23]tabibu mwaka ni mganga wa kienyeji aliechangamka.
ila CV yake anayo Kigwa, aligongewa mkewe kwa kisingizio cha dawa ya uzazi.
Bongo kwa kuunga doti [emoji119]Hana Elimu yoyote ya Level ya Degree. Na alizuiwa na Dr. Kigwangala kujiita Doctor. Siku hizi ktk matangazo yake ya tiba ana kwepa kutumia Doctor, ana tumiaa Tabibu.
Ni docta wa tiba asilia.Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao.
Mara yangu ya kwanza kumjua dokta mwaka ilikuwa 2011 nilipopanga na ndipo ukweni kwake.
Ila huyu jamaa miaka ya nyuma alikuwa Sheik wa tiba za dua kuondoa majini.
Sijui alisoma upepo kipindi cha nyuma tiba asili ziliwapa pesa sana watu kama marehemu dokta tamba.
Mimi nayofahamu ni hayo
Jamisi k wivu na matumizi mabaya ya madaraka.
Sasa hapo mjinga nani wa kiingereza au kiswahili.Hana Elimu yoyote ya Level ya Degree. Na alizuiwa na Dr. Kigwangala kujiita Doctor. Siku hizi ktk matangazo yake ya tiba ana kwepa kutumia Doctor, ana tumiaa Tabibu.
AiseeKaachwa Bugatti itakuwa huyo Dr. wa mchongo!! Ila hata Manara nae mambo ni ya michongo tu shule sidhani yule jamaa maana uwa anaropoka ropoka sana. ukiona mtu ngenge nyingi ujue kichwani seti tupu.
Kweli...Bongo ukitumia akili vizuri mbona pesa ipo nje nje.
kigwangale ndiye PA wake auNgoja Hamis Kigwangala akuletee CV