Mwenye CV ya Dokta Mwaka

Mwenye CV ya Dokta Mwaka

Exactly bamia Ni dawa sahih za vidinda vya tumbo tokea namm nianze kuzila Hadi Leo imeisha hyo

Mm pia nilinusurika kuliwa hyo hyo laki tatu na hyu mpuuz rahabu kwa kuniambi hvyo hvyo mjinga Sana [emoji38] yaani umenikumbusha mbali Sana yaani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu Dr..
 
Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao.

Mara yangu ya kwanza kumjua dokta mwaka ilikuwa 2011 nilipopanga na ndipo ukweni kwake.

Ila huyu jamaa miaka ya nyuma alikuwa Sheik wa tiba za dua kuondoa majini.

Sijui alisoma upepo kipindi cha nyuma tiba asili ziliwapa pesa sana watu kama marehemu dokta tamba.

Mimi nayofahamu ni hayo
Mbabaishaji na tapeli mkubwa wa taaluma.
Ninavyomjua ni kwa jinsi alisababisha madhara kwa mama mmoja jirani yangu. Kaacha matibabu muhimbili mshirika wa bwana mwaka kamrefer hospitali yake eti kwa dr mwaka. Huko kapigwa hela nyingi eti matibabu bora. Anapelekewa dawa za kizungu zinasagwa kujidai matibabu mbadala. Hayo ni madai ya kina mama wengi tu. Hana taaluma ya udaktari ila clinic yake utakuta vifaa vya mambo ya uzazi kibao wala hana wajuzi ni ubabaishaji tu. Itoshe isije ikaonekana nina bifu naye wakati wala hatujawahi kuonana.
Ni wale unaweza kumuita cheti feki.
 
Weka wewe mkuu mtu anajitahidi anaweka data wewe unaleta upolisi.
Hatred, angalau naye angetoa maelezo(whatever factual details he has) kupinga maelezo yaliyotolewa ufafanuzi, yaani anataka mtu aweke nakala za vyeti vya mtu mwingine. Ni nani anayeweza kuweka nakala za vyeti hata vya aliyekuwa classmate wake sembuse watu waliosoma vyuo tofauti.
Nimemsikiliza yule jamaa pamoja na kuwa ana usanii mwingi but he is no illiterate, binadamu wamejawa/tumejawa na wivu wa kipumbavu sana.
Negative comments kuhusu watu ndiyo huwa zinapendwa especially na watu walio na frustrations za maisha yao.
 
Hatred, angalau naye angetoa maelezo(whatever factual details he has) kupinga maelezo yaliyotolewa ufafanuzi, yaani anataka mtu aweke nakala za vyeti vya mtu mwingine. Ni nani anayeweza kuweka nakala za vyeti hata vya aliyekuwa classmate wake sembuse watu waliosoma vyuo tofauti.
Nimemsikiliza yule jamaa pamoja na kuwa ana usanii mwingi but he is no illiterate, binadamu wamejawa/tumejawa na wivu wa kipumbavu sana.
Negative comments kuhusu watu ndiyo huwa zinapendwa especially na watu walio na frustrations za maisha yao.
Kwa sababu imeshasemwa si dokta wala lolote ni mbabaishaji tu. Ni sawa na Le mutuz akwambie nimesoma huku na huko na kukupa majina ya Colleges za US utaamini??? Huyo Dr. wenu Mwaka ni mbabaishaji na huko India hajasoma lolote kuwadanganya akina mama wa watu. Eti dokta my ass!!!! Hawa ndio akina Musukuma, Babu tale na mkwere na udokta wa michongo. Dokta wa ukweli ana muda kugombania nyumba aliotoa kwa mkewe na ana watoto nae, njaa tu na utapeli.
 
Hatred, angalau naye angetoa maelezo(whatever factual details he has) kupinga maelezo yaliyotolewa ufafanuzi, yaani anataka mtu aweke nakala za vyeti vya mtu mwingine. Ni nani anayeweza kuweka nakala za vyeti hata vya aliyekuwa classmate wake sembuse watu waliosoma vyuo tofauti.
Nimemsikiliza yule jamaa pamoja na kuwa ana usanii mwingi but he is no illiterate, binadamu wamejawa/tumejawa na wivu wa kipumbavu sana.
Negative comments kuhusu watu ndiyo huwa zinapendwa especially na watu walio na frustrations za maisha yao.
Kwa sababu kakosa anataka wote wakose kama kupiga rahisi apige na yeye.Ukiacha upigaji bado kwa doctor mwaka palikuwa au pana kaukweli fulani.Mtu analazimisha mpaka anatia aibu.Aweke yeye vyeti tungekuwa karibu angerusha ngumi nadhani.ALIYEPATA KAPATA.
 
Kiukweli vyeo vya elimu na taaluma vimekosa hadhi ndio maana kila mtu anajipa prof,dokta,mwalimu na mambo kibao.

Mara yangu ya kwanza kumjua dokta mwaka ilikuwa 2011 nilipopanga na ndipo ukweni kwake.

Ila huyu jamaa miaka ya nyuma alikuwa Sheik wa tiba za dua kuondoa majini.

Sijui alisoma upepo kipindi cha nyuma tiba asili ziliwapa pesa sana watu kama marehemu dokta tamba.

Mimi nayofahamu ni hayo
Alizaliwa baadaye akaanza kuuza dawa
 
Hana Elimu yoyote ya Level ya Degree. Na alizuiwa na Dr. Kigwangala kujiita Doctor. Siku hizi ktk matangazo yake ya tiba ana kwepa kutumia Doctor, ana tumiaa Tabibu.
- Dr Kigwangalla, alimpiga marufuku asitumie ile picha yake amevaa koti jeupe na Stethoscope Kwa kufanya vile ni kujinasibisha kuwa yeye ni MD tena ana leseni kutoka Medical Council of Tanganyika while si kweli.
 
Kwa sababu kakosa anataka wote wakose kama kupiga rahisi apige na yeye.Ukiacha upigaji bado kwa doctor mwaka palikuwa au pana kaukweli fulani.Mtu analazimisha mpaka anatia aibu.Aweke yeye vyeti tungekuwa karibu angerusha ngumi nadhani.ALIYEPATA KAPATA.
Eti angerusha ngumi [emoji38][emoji1787]
 
Kwa sababu imeshasemwa si dokta wala lolote ni mbabaishaji tu. Ni sawa na Le mutuz akwambie nimesoma huku na huko na kukupa majina ya Colleges za US utaamini??? Huyo Dr. wenu Mwaka ni mbabaishaji na huko India hajasoma lolote kuwadanganya akina mama wa watu. Eti dokta my ass!!!! Hawa ndio akina Musukuma, Babu tale na mkwere na udokta wa michongo. Dokta wa ukweli ana muda kugombania nyumba aliotoa kwa mkewe na ana watoto nae, njaa tu na utapeli.
Unashangaa Doctor kugombania nyumba, kwani udaktari ni kitu cha ajabu sana. Kwa taarifa yako doctors wanagombania mpaka 'mabaamedi' sembuse kugombea nyumba.
 
Dr. Mwaka na Dr Ndodi Tz ukijua kucheza na maneno, unakuwa milionea haraka sana.
Huitaji hata elimu kubwa, mdomo wako tu, jitangaze kwenye radio na Tv. Subiri wajinga waliwawo waje.
Mwaka 2013 Dr Ndodi alinipiga 210,000/- dawa ya ugonjwa fulani hivi, lakini baadaye nikaja gundua kumbe ni mchanganyiko wa Kitunguu Swaumu, Abdalasini na Tangawizi 😂😂😂....
 
Back
Top Bottom