[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa kakurupuka usingizini sijui, maana kajibu pumba na mashudu halaf kakimbia. Hatorudi huyu nimekaa paleee
Asante kwa swali.
Stika hizi za kieletroniki zinaashiria kuwa bidhaa hiyo imelipiwa au inalipa kodi ya ushuru wa bidhaa. Kazi kubwa ya stika hizi ni kutambua kama kodi hiyo imelipwa au italipwa.Na siyo kwa bidhaa zinazozalishwa ndani tu hata zinazotoka nje ya nchi. Mfano sigara au pombe. Ukitaka kutambua kama bidhaa hiyo ipo salama unaweza pakua app kwenye simu janja yako kwa kuchagua hakiki stempu ambapo utatumia kumulika stika hiyo na kupata taarifa kama kinywaji unachotumia ni chenyewe siyo cha kugushi (fake)
Huyu aliyepost ndio anafanya wenye akili na maarifa wawe mtaani na wenye uwezo mdogo wawe makaziniUmekwepa swali
Why not Bhahresa?
Sema wadau HAPA 👆 Kuna Jibu, inatakiwa ujiongeze mwenyewe..Stika hizi za kieletroniki zinaashiria kuwa bidhaa hiyo imelipiwa au inalipa kodi ya ushuru wa bidhaa. Kazi kubwa ya stika hizi ni kutambua kama kodi hiyo imelipwa au italipwa
🤣😂Huyu aliyepost ndio anafanya wenye akili na maarifa wawe mtaani na wenye uwezo mdogo wawe makazini
Atakuwa hakuelewa swala tumpe muda atarudi kujibuJamaa kakurupuka usingizini sijui, maana kajibu pumba na mashudu halaf kakimbia. Hatorudi huyu nimekaa paleee
Maana yake bidhaa husika za Bakharesa ni fake na hazina uthibitisho zinapaswa kutokuwepo sokoni!Sema wadau HAPA 👆 Kuna Jibu, inatakiwa ujiongeze mwenyewe..
You Just conclude, Therefore.....
Usitake mtu akutafunie Umeze, halafu yeye akose Ugali wake.
Kwanini?bakhressa ni kama mo dewji aliechangamka🤣🤣
Nafikiri hata hivyo swali kalijibu ila hakutaka kujibu moja kwa moja kuwa bidhaa husika zisizo na sticker ni feki na hazikupaswa kuwa sokoni!Wewe Admin nina uhakika uliingizwa kimagumashi hapo kazini kwako.
Kama wewe ni Social Media Manager tu na wala huna maarifa juu ya matumizi ya Sticker na ulipaji kodi kwa ujumla, ungeomba msaada kutoka kwa Wakuu wako.
Swali uliloulizwa na ulichojibu ni Mbingu na ardhi. Umeulizwa kwa nini bidhaa za kampuni X zina sticker alafu za kampuni Y hazina?
Wewe unajibu fake nye nye nye.
Tunaomba marejeo ya uajiri wako.
Umeelewa swali?Asante kwa swali.
Stika hizi za kieletroniki zinaashiria kuwa bidhaa hiyo imelipiwa au inalipa kodi ya ushuru wa bidhaa. Kazi kubwa ya stika hizi ni kutambua kama kodi hiyo imelipwa au italipwa.Na siyo kwa bidhaa zinazozalishwa ndani tu hata zinazotoka nje ya nchi. Mfano sigara au pombe. Ukitaka kutambua kama bidhaa hiyo ipo salama unaweza pakua app kwenye simu janja yako kwa kuchagua hakiki stempu ambapo utatumia kumulika stika hiyo na kupata taarifa kama kinywaji unachotumia ni chenyewe siyo cha kugushi (fake)
Asante kwa swali.
Stika hizi za kieletroniki zinaashiria kuwa bidhaa hiyo imelipiwa au inalipa kodi ya ushuru wa bidhaa. Kazi kubwa ya stika hizi ni kutambua kama kodi hiyo imelipwa au italipwa.Na siyo kwa bidhaa zinazozalishwa ndani tu hata zinazotoka nje ya nchi. Mfano sigara au pombe. Ukitaka kutambua kama bidhaa hiyo ipo salama unaweza pakua app kwenye simu janja yako kwa kuchagua hakiki stempu ambapo utatumia kumulika stika hiyo na kupata taarifa kama kinywaji unachotumia ni chenyewe siyo cha kugushi (fake) mkuu,tunajua huyu ni mlilapa kodi mkubwa! Jikite kwenye swali la msingi fafanua na pambanua wananchi tuelewe vizuri, qcha bla bla hapa!
Ni ukweli mtupu mkuu.Huyu aliyepost ndio anafanya wenye akili na maarifa wawe mtaani na wenye uwezo mdogo wawe makazini
Stempu za kielektroniki za kodi (ETS) zinabandikwa kwenye bidhaa za sigara, maji, juice, bia, mvinyo, soda, CD na DVD. Hivyo siyo kila bidhaa zinatozwa ni zile tu zilizotajwa kwenye sheria ya ushuru wa bidhaa (Excise Duty Act). Na stempu za kielektroniki zipo za karatasi au alama kama vinavyoonekana kwenye vifuniko vya maji ya chupa.Manioko
Kwa hiyo mkuu kuhusu swali la mtoa mada hapo juu? Inamaa kuwa hakuna kosa kwa hizo bidhaa hapo juu? Naomba umjibu mkuu hapo juu swali lakeStempu za kielektroniki za kodi (ETS) zinabandikwa kwenye bidhaa za sigara, maji, juice, bia, mvinyo, soda, CD na DVD. Hivyo siyo kila bidhaa zinatozwa ni zile tu zilizotajwa kwenye sheria ya ushuru wa bidhaa (Excise Duty Act). Na stempu za kielektroniki zipo za karatasi au alama kama vinavyoonekana kwenye vifuniko vya maji ya chupa.
Mbona kama tayari majibu yapo ukiangalia juu na jibu hili la bidhaa gani?Kwa hiyo mkuu kuhusu swali la mtoa mada hapo juu? Inamaa kuwa hakuna kosa kwa hizo bidhaa hapo juu? Naomba umjibu mkuu hapo juu swali lake