Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kwanza wamuadabishe mwenye jengo ili iwe fundisho kwa wahuni wenginevip kuhusu ajali za barabani, majanga ya moto na ajali za boti majini, njaa, ukame , mafuriko n.k nani awajibishwe na kwa style ipi?🐒
Labda vitengenezwe feki maana aliajiri fundi maiko abomoe kuta zinazoshika mjengoKama ana vibali halali vya kumiliki na kufanya maboresho aliyokuwa anafanya kama ni kweli, basi hagusiki?
Hao ndiyo wanyongweHii ni gharama ya uozo... Corruption pro max:Kuanzia Mipango Miji,Waliotoa building permits,ERB na Kadharika.
Inahuzunisha sanaMwanzo ilikuwa wa5, lakini kwa sasa idadi imeongezeka japo sijui wamefikia wangapi. Ni kuwaombea na kutafuta njia ya kuwaokoa waliobakia chini ya kifusi.
Ni kweli ila hiyo inatokana na udhaifu wa serikali.Jaribuuuu uoneerr 1bil hupati 20 x 20 ...
Wewe unasemajeeer
Matajiri wa kukinga na wachaga kko wazushi tu kuanzia ujenzi,mafundi wao ,material zenyewe nyingi ni za uwizi shotkutLabda vitengenezwe feki maana aliajiri fundi maiko abomoe kuta zinazoshika mjengo
Mtu ana gorofa na kodi zinaingia kila mwezi ameshindwa kuleta wataalamu na wajenzi wa maana ambao kwanza wangeweka nguzo kubwa kabda ya kubomoa hizo kuta
Sasa fundi maiko anasema tulivunja kutumia nyundo kumbe ndio kuta za nyumba walitaka ziwe za nini
Kkooni ya PM waxiri Fedha na Mama mwenyewe wengine pale huruhusiwi kusogeaaa.....kitovu cha uchumi wa SaDCC sio tu EAC....oohhj jomba stuka kaa mbaliiiNi kweli ila hiyo inatokana na udhaifu wa serikali.
Waziri husika wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi yupo zake ziarani huko mikoani. Ni kama vile haya yaliotokea yametokea nchi jirani sio Tz hivyo hayamuhusu.
Matajiri wengi kko malofa tuLabda vitengenezwe feki maana aliajiri fundi maiko abomoe kuta zinazoshika mjengo
Mtu ana gorofa na kodi zinaingia kila mwezi ameshindwa kuleta wataalamu na wajenzi wa maana ambao kwanza wangeweka nguzo kubwa kabda ya kubomoa hizo kuta
Sasa fundi maiko anasema tulivunja kutumia nyundo kumbe ndio kuta za nyumba walitaka ziwe za nini
Hakuna maghorofa huko kuna uchafu tuUmewahi miliki ghorofa ? , au ndio wale mnaotaka matajiri waishi kama mashetani ?
Nadhani la msingi Serikali kusimamia ubora na viwango vya majengo kikamilifu pasipo kupepesa macho
Hakuna viongozi wa kufanya hayo kwa SASA hivi. Viongozi unaotegemea wachukue hatua hizo ndio haohao wanaokuwa wa Kwanza kunufaika na haya madhilaNiaje waungwana
Kwa kile kilichotokea jana hapo K'koo, mimi nashauri kwanza mwenye ghorofa lililoanguka akamatwe, mali zake zifilisiwe, na kiwanja kilichokuwa na jengo kiuzwe ili hela zitakazopatikana zitumike kuwasaidia wale wote waliojeruhiwa na waliofiwa na baba zao, wame zao, wake zao, watoto wao nk.
Ni ukweli ulio wazi kwamba baada ya msiba huu wa taifa kuisha na kila mtu kuendelea na maisha yake, kuna ndugu zetu ambapo watabakia na ulemavu wa kudumu, kuna watu ambao watabakia mayatima baada ya kupoteza baba au mama katika janga hilo. Sasa watu wa aina huyo ni nani atakaewasaidia kuwasomesha, kuwalea, kuwahudumia nk.
Najua kwa upande wa serikali ni vigumu sana wahanga kupata msaada hapo baadae. Maana janga likishaisha kila mtu ataelekea ya kwake, hivyo waliofiwa na wazazi wao hawatopata msaada tena. Kwa nchi za wenzetu ile bajeti inayotengwa kila mwaka kwa ajili ya majanga ingetumika kuwasaidia waliokumbana na majanga hayo japo kwa kuwapa mitaji waathirika.
Lakini kwa nchini kwetu ndo hivyo tena, fedha za majanga zinaishia kutumiwa na viongozi fulani kwa kununua viwanja na kujenga majengo makubwa makubwa huko Mbweni, Salasala, Bunju nk.
Halafu yanapotokea majanga ya ghafla kama haya unakuta wanakuja na majembe pamoja na kuleo kuchimbia kifusi kizito cha tani zaidi ya 50. Kuna watu wameachwa yatima wengine wamepoteza viungo vyao kizembe kwa sababu ya tamaa ya mtu mmoja.
Hivyo huyo mtu aadhibiwe kwa kunyang'anywa kiwanja ili kuizwe na hela kupelekwa kwa wahusika, hii ikiwa pamoja na kutaifisha mali zake zote alizochuma iwe kihalali au kiharamu ili kufidia hasara aliyowapa wenzake hapa duniani na pia iwe fundisho kwa wapumbavu wengine wenye mawazo finyu kama yake.
Soma Pia: Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16
Ushauri mzuri kwa mamlaka na wahusika mbali mbali.
RIP kwa watanzania wenzetu wote waliokufa katika ajali hiyo. Na wale waliopata majeraha Mungu muweza wa yote awaponye.
Asanteni
Unajua sababu iliyosababisha jengo hilo kuanguka lakini au umekuja tu kumtetea mwenye jengo?Umewahi miliki ghorofa ? , au ndio wale mnaotaka matajiri waishi kama mashetani ?
Nadhani la msingi Serikali kusimamia ubora na viwango vya majengo kikamilifu pasipo kupepesa macho
Elimu mkuu utakuta hana elimu kabisa halafu watu wanabeza elimuMatajiri wengi kko malofa tu
Wanapenda urahisi
Ova