Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sana mkuuMatajiri huko ni uchwara tu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mkuuMatajiri huko ni uchwara tu
Ova
Kuna siku watanganyika watadai haki yao.Madon wa town hao hua hawaguswi hivi umesikia yoyote akimnyooshea kidole mwenye Jengo?
Huyo tajiri uchwara na tamaa za kijingaZile NONDO duuh MAFUNDI maiko hawaendi mbinguni
Hekima na busara nyingi nchini kwetu ndio zimesababisha mianya ya rushwa, wizi, uzembe, ufisadi nk.Halafu wewe ndio unakuja kupewa uongozi au hata ukuu wa mkoa nahisi utachinja sana watu,uongozi ni hekima na busara
Acha upumbavu, Maskini mna tabu sana , kwani hilo ni jengo la kwanza kuanguka duniani hiiNiaje waungwana
Kwa kile kilichotokea jana hapo K'koo, mimi nashauri kwanza mwenye ghorofa lililoanguka akamatwe, mali zake zifilisiwe, na kiwanja kilichokuwa na jengo kiuzwe ili hela zitakazopatikana zitumike kuwasaidia wale wote waliojeruhiwa na waliofiwa na baba zao, wame zao, wake zao, watoto wao nk.
Ni ukweli ulio wazi kwamba baada ya msiba huu wa taifa kuisha na kila mtu kuendelea na maisha yake, kuna ndugu zetu ambapo watabakia na ulemavu wa kudumu, kuna watu ambao watabakia mayatima baada ya kupoteza baba au mama katika janga hilo. Sasa watu wa aina huyo ni nani atakaewasaidia kuwasomesha, kuwalea, kuwahudumia nk.
Najua kwa upande wa serikali ni vigumu sana wahanga kupata msaada hapo baadae. Maana janga likishaisha kila mtu ataelekea ya kwake, hivyo waliofiwa na wazazi wao hawatopata msaada tena. Kwa nchi za wenzetu ile bajeti inayotengwa kila mwaka kwa ajili ya majanga ingetumika kuwasaidia waliokumbana na majanga hayo japo kwa kuwapa mitaji waathirika.
Lakini kwa nchini kwetu ndo hivyo tena, fedha za majanga zinaishia kutumiwa na viongozi fulani kwa kununua viwanja na kujenga majengo makubwa makubwa huko Mbweni, Salasala, Bunju nk.
Halafu yanapotokea majanga ya ghafla kama haya unakuta wanakuja na majembe pamoja na kuleo kuchimbia kifusi kizito cha tani zaidi ya 50. Kuna watu wameachwa yatima wengine wamepoteza viungo vyao kizembe kwa sababu ya tamaa ya mtu mmoja.
Hivyo huyo mtu aadhibiwe kwa kunyang'anywa kiwanja ili kuizwe na hela kupelekwa kwa wahusika, hii ikiwa pamoja na kutaifisha mali zake zote alizochuma iwe kihalali au kiharamu ili kufidia hasara aliyowapa wenzake hapa duniani na pia iwe fundisho kwa wapumbavu wengine wenye mawazo finyu kama yake.
Soma Pia: Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16
Ushauri mzuri kwa mamlaka na wahusika mbali mbali.
RIP kwa watanzania wenzetu wote waliokufa katika ajali hiyo. Na wale waliopata majeraha Mungu muweza wa yote awaponye.
Asanteni
Mtanganyika mmoja wapo ni wewe wahi mahakamani ukamfungulie kesi mwenye Jengo uone anavyoinunua mahakama mpaka wewe mwenyeweKuna siku watanganyika watadai haki yao.
Zile NONDO ukiziangalia wewe hata km sio fundi unashtuka kidogo huyu fundi maiko aliwaza nini kupachika NONDO hizi kwenye jengo linalobeba tani kwa tani za mizigoHuyo tajiri uchwara na tamaa za kijinga
Kuna vijana wangapi hawana ajira na wamesoma wangeweza hata kusimamia ila ameoana awape kibarua cha elfu 50 kina maiko
Waarabu huwa wana msemo wa kuwa Bahili huwa wanapata hasara x2
Sheria ya utawala Pesa inanunua hakiUtawala wa sheria
Mbona Mabasi yanaua Kila siku sijawahi sikia mwenye basi akikamatwa na Mali zake kuuzwa kugawiwa waliopata ajali?Niaje waungwana
Kwa kile kilichotokea jana hapo K'koo, mimi nashauri kwanza mwenye ghorofa lililoanguka akamatwe, mali zake zifilisiwe, na kiwanja kilichokuwa na jengo kiuzwe ili hela zitakazopatikana zitumike kuwasaidia wale wote waliojeruhiwa na waliofiwa na baba zao, wame zao, wake zao, watoto wao nk.
Ni ukweli ulio wazi kwamba baada ya msiba huu wa taifa kuisha na kila mtu kuendelea na maisha yake, kuna ndugu zetu ambapo watabakia na ulemavu wa kudumu, kuna watu ambao watabakia mayatima baada ya kupoteza baba au mama katika janga hilo. Sasa watu wa aina huyo ni nani atakaewasaidia kuwasomesha, kuwalea, kuwahudumia nk.
Najua kwa upande wa serikali ni vigumu sana wahanga kupata msaada hapo baadae. Maana janga likishaisha kila mtu ataelekea ya kwake, hivyo waliofiwa na wazazi wao hawatopata msaada tena. Kwa nchi za wenzetu ile bajeti inayotengwa kila mwaka kwa ajili ya majanga ingetumika kuwasaidia waliokumbana na majanga hayo japo kwa kuwapa mitaji waathirika.
Lakini kwa nchini kwetu ndo hivyo tena, fedha za majanga zinaishia kutumiwa na viongozi fulani kwa kununua viwanja na kujenga majengo makubwa makubwa huko Mbweni, Salasala, Bunju nk.
Halafu yanapotokea majanga ya ghafla kama haya unakuta wanakuja na majembe pamoja na kuleo kuchimbia kifusi kizito cha tani zaidi ya 50. Kuna watu wameachwa yatima wengine wamepoteza viungo vyao kizembe kwa sababu ya tamaa ya mtu mmoja.
Hivyo huyo mtu aadhibiwe kwa kunyang'anywa kiwanja ili kuizwe na hela kupelekwa kwa wahusika, hii ikiwa pamoja na kutaifisha mali zake zote alizochuma iwe kihalali au kiharamu ili kufidia hasara aliyowapa wenzake hapa duniani na pia iwe fundisho kwa wapumbavu wengine wenye mawazo finyu kama yake.
Soma Pia: Ghorofa limeporomoka Kariakoo asubuhi ya leo Novemba 16
Ushauri mzuri kwa mamlaka na wahusika mbali mbali.
RIP kwa watanzania wenzetu wote waliokufa katika ajali hiyo. Na wale waliopata majeraha Mungu muweza wa yote awaponye.
Asanteni
GjgubkgagugdtdbgohlfAna kadi ya chama huyo hakuna wa kumgusa
Sidhani kama serikali imemkalia kimya sababu ya utata. Hakuna mwenye nguvu mbele ya serikali. Ila naweza kukubaliana na wewe kama utasema kuwa jamaa ana kadi na ni mwanachana kindaki ndaki wa kijani, hapo nitakuelewa.Serikali yako imemkalia kimya sababu inamjua ni mtata na hayupo mwenyewe ana genge lake behind ndio maana husikii hata mmoja anaemnyooshea kidole
Ukishtaki maana yake unashtaki Umoja sio mtu mmoja sasa jiandae kupambana na genge la watu 100Mbona Mabasi yanaua Kila siku sijawahi sikia mwenye basi akikamatwa na Mali zake kuuzwa kugawiwa waliopata ajali?
Ipo siku Mimi wewe na yule tutabadili fikra na kuamini tunaweza kubadili nchi yetu. Tusi wape nguvu watesi wetu waone akili zetu zimefika mwisho. Ipo siku mahakama zitatenda haki. Ya Mungu ni mengi!Mtanganyika mmoja wapo ni wewe wahi mahakamani ukamfungulie kesi mwenye Jengo uone anavyoinunua mahakama mpaka wewe mwenyewe
Babu Serikali hata kumzungumzia haijathubutu ndio ujue yeye ni dude kubwa kiasi ganiSidhani kama serikali imemkalia kimya sababu ya utata. Hakuna mwenye nguvu mbele ya serikali. Ila naweza kukubaliana na wewe kama utasema kuwa jamaa ana kadi na ni mwanachana kindaki ndaki wa kijani, hapo nitakuelewa.
Ukitaka kujua kama serikali inaweza kumhenyesha jamaa, athubutu kuunga mkono au kufadhili chama cha upinzani ndo utapojua kwamba serikali ni dude la namna gani. Jamaa anaweza kupewa kesi ya uhujumu uchumi au ya uhaini kwamba alitaka kumuua kiongozi mkubwa wa nchi, kupindua serikali nk.
Majumba mengi hayana ubora ni mda tu tutaona mengiZile NONDO ukiziangalia wewe hata km sio fundi unashtuka kidogo huyu fundi maiko aliwaza nini kupachika NONDO hizi kwenye jengo linalobeba tani kwa tani za mizigo
Hio siku ni lini ambayo mahakama itatenda haki? Na hapo unataka kusemaje kwamba mahakama ikamkamate mwenye Jengo na kumfungulia kesi?Ipo siku Mimi wewe na yule tutabadili fikra na kuamini tunaweza kubadili nchi yetu. Tusi wape nguvu watesi wetu waone akili zetu zimefika mwisho. Ipo siku mahakama zitatenda haki. Ya Mungu ni mengi!
Yaani Jengo walikwangue miguu? HahahaMajumba mengi hayana ubora ni mda tu tutaona mengi
Hawa waliopewa kazi ya kubomoa ukuta ni wengine maana walianza majuzi tu kubomoa ukuta wa gorofa
Sasa hawa wameambiwa watoe miguu utasimama na nini?
Hao walioweka nondo ni makanjanja wengine