Mwenye jengo akamatwe, eneo liuzwe, mali zake zifilisiwe, halafu hela zote wapewe majeruhi na waliofiwa

Hadi sasa imeripotiwa idadi ya wenzetu wangapi waliotutangulia?
Mwanzo ilikuwa wa5, lakini kwa sasa idadi imeongezeka japo sijui wamefikia wangapi. Ni kuwaombea na kutafuta njia ya kuwaokoa waliobakia chini ya kifusi.
 
Reactions: K11
Kama ana vibali halali vya kumiliki na kufanya maboresho aliyokuwa anafanya kama ni kweli, basi hagusiki?
Labda vitengenezwe feki maana aliajiri fundi maiko abomoe kuta zinazoshika mjengo

Mtu ana gorofa na kodi zinaingia kila mwezi ameshindwa kuleta wataalamu na wajenzi wa maana ambao kwanza wangeweka nguzo kubwa kabda ya kubomoa hizo kuta
Sasa fundi maiko anasema tulivunja kutumia nyundo kumbe ndio kuta za nyumba walitaka ziwe za nini
 
Mwanzo ilikuwa wa5, lakini kwa sasa idadi imeongezeka japo sijui wamefikia wangapi. Ni kuwaombea na kutafuta njia ya kuwaokoa waliobakia chini ya kifusi.
Inahuzunisha sana
 
Jaribuuuu uoneerr 1bil hupati 20 x 20 ...


Wewe unasemajeeer
Ni kweli ila hiyo inatokana na udhaifu wa serikali.

Waziri husika wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi yupo zake ziarani huko mikoani. Ni kama vile haya yaliotokea yametokea nchi jirani sio Tz hivyo hayamuhusu.
 
Matajiri wa kukinga na wachaga kko wazushi tu kuanzia ujenzi,mafundi wao ,material zenyewe nyingi ni za uwizi shotkut
Mpaka hapo suala vibali unafikiri litakuwaje

Ova
 
Ni kweli ila hiyo inatokana na udhaifu wa serikali.

Waziri husika wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi yupo zake ziarani huko mikoani. Ni kama vile haya yaliotokea yametokea nchi jirani sio Tz hivyo hayamuhusu.
Kkooni ya PM waxiri Fedha na Mama mwenyewe wengine pale huruhusiwi kusogeaaa.....kitovu cha uchumi wa SaDCC sio tu EAC....oohhj jomba stuka kaa mbaliii
 
Umewahi miliki ghorofa ? , au ndio wale mnaotaka matajiri waishi kama mashetani ?

Nadhani la msingi Serikali kusimamia ubora na viwango vya majengo kikamilifu pasipo kupepesa macho
 
Matajiri wengi kko malofa tu
Wanapenda urahisi

Ova
 
Umewahi miliki ghorofa ? , au ndio wale mnaotaka matajiri waishi kama mashetani ?

Nadhani la msingi Serikali kusimamia ubora na viwango vya majengo kikamilifu pasipo kupepesa macho
Hakuna maghorofa huko kuna uchafu tu

Ova
 
Hakuna viongozi wa kufanya hayo kwa SASA hivi. Viongozi unaotegemea wachukue hatua hizo ndio haohao wanaokuwa wa Kwanza kunufaika na haya madhila
 
Mleta mada una mhemko sana, jaribu kujituliza ripoti ya uchunguzi ikitoka ukweli utabainika
 
Umewahi miliki ghorofa ? , au ndio wale mnaotaka matajiri waishi kama mashetani ?

Nadhani la msingi Serikali kusimamia ubora na viwango vya majengo kikamilifu pasipo kupepesa macho
Unajua sababu iliyosababisha jengo hilo kuanguka lakini au umekuja tu kumtetea mwenye jengo?

Angekuwa ni swala la moto ingeeleweka, lakini kulazimisha kuchimba chini ili ufosi kujenga underground sehemu isiyotakiwa kuchimbwa underground alaf unakuja kumtetea!
 
Matajiri wengi kko malofa tu
Wanapenda urahisi

Ova
Elimu mkuu utakuta hana elimu kabisa halafu watu wanabeza elimu
Mjinga kama huyo sasa ime cost gorofa lote kuporomoka na kupoteza maisha na pia mali za watu ambazo sidhani kama watazipata tena
Kweli ndio yale ya Musukuma kutukana wenye elimu
Hao matajiri wengi hawana elimu hata ya kuvukia barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…