Mwenye jengo akamatwe, eneo liuzwe, mali zake zifilisiwe, halafu hela zote wapewe majeruhi na waliofiwa

RIP kwa watanzania wenzetu wote waliokufa katika ajali hiyo. Na wale waliopata majeraha Mungu muweza wa yote awaponye.
Mmiliki ni yule Mchagga mtata sasa sijui unaanzia wapi maana ana kundi lake la madon wa town ambalo hata Serikali inawahanya
 
Mleta mada una mhemko sana, jaribu kujituliza ripoti ya uchunguzi ikitoka ukweli utabainika
Report huwa zinatoka nyingi zikiweko zile za moto sokoni kariakoo, karume, mwenge nk na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa.
 
Yule Mchagga mtata unamjua lakini au ndio unajizima data?
 
Kkoo iwe kwa maduka ya JUMLA TU...NA PIA STOO ZA SHEHENA ZITOKAZO BANDARINI...Masoko ya rejereja kila manispaa.....kisha masoko makubwa ya rejereja yawe Tmk, ilala, ubungo, kinondoni na kigamboni, kibaha, bagamoyo..ambayo feeder/Supplier mkubwa awe KKOO.
 
Just imagine mkuu.. Bora hata ulivyomjibu huyo mtetezi wa matajiri uchwara.
 
Report huwa zinatoka nyingi zikiweko zile za moto sokoni kariakoo, karume, mwenge nk na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa.
Sasa ndio ukae kwa kutulia hizo issue za madon wa town ambao hata Serikali hutaona wakiwaongelea sana sana wataongea kwa upole
 
Yule Mchagga mtata unamjua lakini au ndio unajizima data?
Kutokumjua huyo mchaga ndo kinakataza watu tusitoe ushauri wa nini kifanyike ili kufidia hasara ya wale waliofiwa, filisika na kupata ulemavu wa kudumu kupitia hilo jengo mkuu.

Haya sasa wewe mwenye kumjua ungetuambia kwa kifupi au kirefu kumhusu huyo mchaga.
 
Serikali yako imemkalia kimya sababu inamjua ni mtata na hayupo mwenyewe ana genge lake behind ndio maana husikii hata mmoja anaemnyooshea kidole
 
TUNGEWEZA KUTUKMIA NJIA YA ASILI,

TUNGEPANGA MISTARI KUMI,
WENGINE WANAJAZA UDONGO KWENYE NDOO.

WENGINE KWENYE FOLENI TUNAJAZA MALOLI 200 MENDE.

NDANI YA MASAA KUMI KUSINGEKUWA NA KIFUSI WATU WOTE WANGEPONA.

SELIKALI HAINUNUI HATA MITAMBO YA UOKOAJI.

NI LAANA KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KUZALIWA KWENYE HILI TAIFA
 
Inasikitisha sana na kufikirisha
Watu tumepoteza watanzania wenzetu kwa sababu ya tamaa ya mpumbavu mmoja. Halaf anakuja mtu hapa JF kumtetea muuaji. Inashangaza na kusikitisha sana.
 
Matajiri huko ni uchwara tu

Ova
 
Halafu wewe ndio unakuja kupewa uongozi au hata ukuu wa mkoa nahisi utachinja sana watu,uongozi ni hekima na busara
 
Mtu anaokota mafundi mitaan, anawalipa hela kidogo ili wamjengee mjengo mkubwa. Na wao ili kufidia ile hela ndogo waliyopewa wanaamua kuchanga cement kidogo na iliyobakia wanaiba.

Mwisho wa siku baada ya ghorofa kuisha au kabla ya kuisha, ndo yanatokea majanga kama haya yaliotokea K'koo.
 
Watu tumepoteza watanzania wenzetu kwa sababu ya tamaa ya mpumbavu mmoja. Halaf anakuja mtu hapa JF kumtetea muuaji. Inashangaza na kusikitisha sana.
Wewe kafungue kesi ya kumfirisi mwenye Jengo maana unaambiwa ni Umoja wewe umekaza kichwa, Serikali yako yenyewe haijamnyooshea kidole sio kwamba haimjui au haiwajui wenye Jengo
 
Hili naamini kabisa lipo kwani kuna mzee pia alijenga mjengo hapo na alitaka jengo liwe na sehemu ya kushushia mizigo yake chini kutokana na zahma za hapo sokoni
Ila alitoa hela nyingi sana kukamilisha zoezi mzee huyo anauza matairi ya jumla toka nje na kibunda anacho
Malori yanaenda underground kushusha mizigo bila usumbufu

Huyu mjinga kaona awalipe cheap labour wakashushe gorofa kwa masaa
 
Zile NONDO duuh MAFUNDI maiko hawaendi mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…