Mwenye kujua Apps nzuri ya music player msaada tafadhal

Mwenye kujua Apps nzuri ya music player msaada tafadhal

Humu ndani ukiwa siriaz kuwasikiliza hawa wanaojifanya wapo updated na dunia ya sahizi ,unaweza kujiona fala.Ila nakuhakikishia,hawa bado wana-download nyimbo kama kawaida na tunashinda nao vibaruani kupokea buku 7-10 kwa siku.Zilaaniwe anonymous IDs
Waseng.e sana hawa hahahaha
 
Mimi ninastream nyimbo kwa kutumia Spotify
Ila sijawahi kudharau watu wanaodownload nyimbo.
JF bhana.... Sasa streaming music na yenyewe ni jambo la kumwambia mtu atafute hela [emoji38][emoji38]
Hata bando la 245MB linastream Spotify fresh tu, mfano wako hauendani na private car, ulikuwa unataka tu kutaja hiyo point ya "Tafuta hela", ndio shida ya wabongo

Ku stream Spotify mtu ameshaanza kujiona tajiri [emoji28][emoji28]

Wewe ndio umepitwa na wakati, 2023 hii watu hawapangiwi cha kufanya. Hujatoa reason ya maana ya kuzuia watu ku download nyimbo zaidi ya kutaja mwaka 2023.
Huyu ni mpumbavu
 
Hapa nakazia best player ever
1.unacheck movie inakupa option ya kudownload subtitute
2. Unaweza play video ukaidisplay kwa juu ukatoka kwenye app video inajipin kwenye screen unaendelea kutumia simu kwenye mambo mengine
3.Video unaweza iweka kwenye audio form
4. Selection play
5. Start from end
6. Plya list creation
7. Customized sound equalizer
8.background play
Yaaani iko na tuvitu mingi sana
 
Hapa nakazia best player ever
1.unacheck movie inakupa option ya kudownload subtitute
2. Unaweza play video ukaidisplay kwa juu ukatoka kwenye app video inajipin kwenye screen unaendelea kutumia simu kwenye mambo mengine
3.Video unaweza iweka kwenye audio form
4. Selection play
5. Start from end
6. Plya list creation
7. Customized sound equalizer
8.background play
Yaaani iko na tuvitu mingi sana
Vlc n Kali Miaka nenda rud haichuj
 
Hebu punguza ubishi na ujuaji.
Saving sio Downloading. Kwa sababu zile nyimbo huwezi kuziaccess kwenye local drive au huwezi kuzihamisha.

Sio tu spotify, Hata netflix wanaruhusu kusave Movie, ila huwezi kuzi access kwenye hard drive na kuzihamisha... kwa sababu kusave kwenye hizi platforms sio kama kudownload unakokujua wewe.

Saving sio Downloading na sio kila kitu ubishane, vingine kubali kujifunza.

Ku save for offline listening ndio kudowload kwenyewe mkuu.

Tofauti kubwa ya kustream na kudownload ni kwamba uki stream msanii anapata chochote ukidownload hapati kitu. Napia ukitumia streaming kusave huna uhuru wa kuhamisha nyimbo zako zaidi ya kutumia app husika wakati ukidownload unaplay hadi kweny kitochi [emoji23] na kuzihamisha popote

Binafsi natumia zaidi nyimbo za kudownload kuliko streaming kwasababu zifuatazo

Nyimbo nyingi za bongo Fleva za zamani na hata za sasa kama gospel songs za kibongo hazipo kwenye hizo platforms
Ama utaikuta huku na kule haipo

Nina safiri sana na music ndio chakula changu njiani
Sipendi kutumia smartphone kwasababu ya changamoto ya kukaa na chaji hivyo nina kiswaswadu changu nimekipachika sd card nimejaza playlists zangu za kudownload na vaa na wired earphones nakula music mwanzo mwisho

WaTz wengi ni wavivu kulipia bill in time yaani Luku, bando, king’amuzi, dawasa nk mpaka vizimwe ndio mchakato wa kulipia uanze..... bado na kusikiliza music?
 
Mkuu, kuna mtu amekulazimisha popote?

Burudani ni yako, mimi sijakulazimisha. Nimekupa Best alternative na kukuonesha kuwa hayo mambo ya downloading yalishapita... we have a better way of consuming music these days.

Ukitaka fuata ushauri wangu, usipotaka endelea kudownload hamna aliyekukataza.
Sawa
 
Hoja hujibiwa kwa hoja sio kuikimbia
Una save vipi kitu cha online kwenye device yako bila ku download?
Streaming services zinakuruhusu ku download files ila ili uweze ku access unapaswa utumie hiyo streaming app

Kama unatumia YouTube basi utaelewa, acha kupotosha watu hapa
Mjuaji kakutana na mwalimu mkuu
 
Mkuu ulipata Audio Player...?
Kama bado, kuna sehemu nimeiona ni maeneo ya Tandale.

Joke.....it's Just a joke.
 
Back
Top Bottom