Tafuta hela mkuu, punguza makasirikoMi natumiaga vlc,acha hao wanaojitapa sjui streeming ,oh mara tulishatoka uko mala blah blah kibao..nendeni sie wengine mtuache kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela mkuu, punguza makasirikoMi natumiaga vlc,acha hao wanaojitapa sjui streeming ,oh mara tulishatoka uko mala blah blah kibao..nendeni sie wengine mtuache kidogo
Eti "si kila mtu anapenda kustream". Ni sawa na mtu aseme "si kila mtu anapenda private car, wengine tunapenda daladala"[emoji3]Wewe ndio umeshatoka huko
Sijaona sababu ya kufanya nisidiwnload nyimbo eti kisa ni 2023
Hata hao wanaolipia Spotify wanataka kupata extra features kama kusikiliza nyimbo offline, nashangaa unasisitiza kwamba ni 2023, kwani 2023 ukitaka kuendana kiteknolojia huruhusiwi ku download nyimbo?
Streaming inakula MB chache sana, sikatai. Lakini si kila mtu anapenda ku stream.
"Come on man, ni 2023 hii, kila mtu ana uhuru wa kuamua kufanya anachokipenda"
Mimi ninastream nyimbo kwa kutumia SpotifyEti "si kila mtu anapenda kustream". Ni sawa na mtu aseme "si kila mtu anapenda private car, wengine tunapenda daladala"[emoji3]
Nani hapendi kustream anyoshe kidole hapa tumuone?
Kwa hiyo unapenda kudownload nyimbo?
Wewe hata kustream music hujawahi... hujui hata experience ya music streaming ikoje.
Listen, una download nyimbo kwa sababu either You can't afford Streaming au kwa sababu hujui experience ya streaming.
Tutafute hela wazee tuache hivi visingizio.
Wewe hutumii Spotify, acha kudanganya watu.Mimi ninastream nyimbo kwa kutumia Spotify
Ila sijawahi kudharau watu wanaodownload nyimbo.
JF bhana.... Sasa streaming music na yenyewe ni jambo la kumwambia mtu atafute hela [emoji38][emoji38]
Hata bando la 245MB linastream Spotify fresh tu, mfano wako hauendani na private car, ulikuwa unataka tu kutaja hiyo point ya "Tafuta hela", ndio shida ya wabongo
Ku stream Spotify mtu ameshaanza kujiona tajiri [emoji28][emoji28]
Wewe ndio umepitwa na wakati, 2023 hii watu hawapangiwi cha kufanya. Hujatoa reason ya maana ya kuzuia watu ku download nyimbo zaidi ya kutaja mwaka 2023.
Natumia Spotify na sijawahi kusikiliza music offline na ni mara chache ndio naitumia na haili MB nyingiWewe hutumii Spotify, acha kudanganya watu.
Hapo juu umesema mtu hawezi kuplay nyimbo Offline kwa Spotify. Which ni Uongo.
Ungekuwa unatumia Spotify ungeshajua kuwa mtu anaweza kuplay music Offline.
Acha kufake, be real.
Huyo jamaa kanichekesha [emoji1][emoji1]Ata vitoto vya sekondari vinatumia Spotify ila ye anajiona tajiriMimi ninastream nyimbo kwa kutumia Spotify
Ila sijawahi kudharau watu wanaodownload nyimbo.
JF bhana.... Sasa streaming music na yenyewe ni jambo la kumwambia mtu atafute hela [emoji38][emoji38]
Hata bando la 245MB linastream Spotify fresh tu, mfano wako hauendani na private car, ulikuwa unataka tu kutaja hiyo point ya "Tafuta hela", ndio shida ya wabongo
Ku stream Spotify mtu ameshaanza kujiona tajiri [emoji28][emoji28]
Wewe ndio umepitwa na wakati, 2023 hii watu hawapangiwi cha kufanya. Hujatoa reason ya maana ya kuzuia watu ku download nyimbo zaidi ya kutaja mwaka 2023.
Mkuu huyo achana nayeNatumia Spotify na sijawahi kusikiliza music offline na ni mara chache ndio naitumia na haili MB nyingi
Umesema "Tafuta hela" ndio kitu ninachopinga, nikiwa na 200MB nasikiliza mziki hadi nachoka
Umeshindwa kutoa point ya msingi kwa nini watu wasidownload nyimbo zaidi unasema Tafuta hela, mara hii ni 2023[emoji23][emoji23]
Bullshit!
Nyinyi ndio mnaitwa Internet trollsView attachment 2695888
JF shida sikuhizi [emoji23][emoji23][emoji23]Huyo jamaa kanichekesha [emoji1][emoji1]Ata vitoto vya sekondari vinatumia Spotify ila ye anajiona tajiri
Uzi ganiMkuu huyo achana naye
Twende kule kwenye uzi wetu kuna swali nataka nikuulize [emoji16][emoji16]
Why are you trying to prove yourself to me? Hiyo screenshot hata Google inapatikana. Chill man!Natumia Spotify na sijawahi kusikiliza music offline na ni mara chache ndio naitumia na haili MB nyingi
Umesema "Tafuta hela" ndio kitu ninachopinga, nikiwa na 200MB nasikiliza mziki hadi nachoka
Umeshindwa kutoa point ya msingi kwa nini watu wasidownload nyimbo zaidi unasema Tafuta hela, mara hii ni 2023[emoji23][emoji23]
Bullshit!
Nyinyi ndio mnaitwa Internet trollsView attachment 2695888
Kaangalie nimekutagUzi gani
Mbona unajistukia?Huyo jamaa kanichekesha [emoji1][emoji1]Ata vitoto vya sekondari vinatumia Spotify ila ye anajiona tajiri
Hujanitoa ushamba, mimi music nasikiliza ila sio sana na sio mara zote huwa nakesha huko Spotify so bado maelezo yako hayatoshi kutetea swali unalokimbia [emoji23][emoji23][emoji23]Why are you trying to prove yourself to me? Hiyo screenshot hata Google inapatikana. Chill man!
Back to the topic:
Ndio nakutoa ushamba hapa kuwa hata Spotify mtu anaweza kuplay nyimbo Offline.
Mkuu usijihangaishe nae huyo, twende kule kwanza kuna swali nimekuulizaHujanitoa ushamba, mimi music nasikiliza ila sio sana na sio mara zote huwa nakesha huko Spotify so bado maelezo yako hayatoshi kutetea swali unalokimbia [emoji23][emoji23][emoji23]
"Kwa nini watu wasidownload nyimbo mwaka 2023" Naona unazunguka tuView attachment 2695897
Sawa, kaangalie nimeshakujibuMkuu usijihangaishe nae huyo, twende kule kwanza kuna swali nimekuuliza
Watu wabishi sana kubadilikaTushatoka huko kwenye kudownload nyimbo.
Hivi mbona watu mnakuwa wagumu kuelewa hilo?
This is 2023 jamani.
[emoji1][emoji1]Natumia Spotify na sijawahi kusikiliza music offline na ni mara chache ndio naitumia na haili MB nyingi
Umesema "Tafuta hela" ndio kitu ninachopinga, nikiwa na 200MB nasikiliza mziki hadi nachoka
Umeshindwa kutoa point ya msingi kwa nini watu wasidownload nyimbo zaidi unasema Tafuta hela, mara hii ni 2023[emoji23][emoji23]
Bullshit!
Nyinyi ndio mnaitwa Internet trollsView attachment 2695888
Unachokipenda wewe si lazima nikipende mimiEti "si kila mtu anapenda kustream". Ni sawa na mtu aseme "si kila mtu anapenda private car, wengine tunapenda daladala"[emoji3]
Nani hapendi kustream anyoshe kidole hapa tumuone?
Kwa hiyo unapenda kudownload nyimbo?
Spotify pia unaweza kusikiliza nyimbo Offline. Hata hilo hujui? Wewe hata kustream music hujawahi... hujui hata experience ya music streaming ikoje.
Listen, una download nyimbo kwa sababu either You can't afford Streaming au kwa sababu hujui experience ya streaming.
Tutafute hela wazee tuache hivi visingizio.