Luca Paguro
Member
- Mar 26, 2023
- 85
- 130
[emoji28][emoji28] ndio maana watu wengine hawafagilii hizo apps. Ila ukilipia nadhani wanakuondolea ads[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ujingaa hizo app alafu zingine Bila vpn hutambaiii...!! Kule unasave tuu alafu Ads kibaooo
Waseng.e sana hawa hahahahaHumu ndani ukiwa siriaz kuwasikiliza hawa wanaojifanya wapo updated na dunia ya sahizi ,unaweza kujiona fala.Ila nakuhakikishia,hawa bado wana-download nyimbo kama kawaida na tunashinda nao vibaruani kupokea buku 7-10 kwa siku.Zilaaniwe anonymous IDs
Huyu ni mpumbavuMimi ninastream nyimbo kwa kutumia Spotify
Ila sijawahi kudharau watu wanaodownload nyimbo.
JF bhana.... Sasa streaming music na yenyewe ni jambo la kumwambia mtu atafute hela [emoji38][emoji38]
Hata bando la 245MB linastream Spotify fresh tu, mfano wako hauendani na private car, ulikuwa unataka tu kutaja hiyo point ya "Tafuta hela", ndio shida ya wabongo
Ku stream Spotify mtu ameshaanza kujiona tajiri [emoji28][emoji28]
Wewe ndio umepitwa na wakati, 2023 hii watu hawapangiwi cha kufanya. Hujatoa reason ya maana ya kuzuia watu ku download nyimbo zaidi ya kutaja mwaka 2023.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu ni mpumbavu
Hapa nakazia best player everChukua vlcView attachment 2688252
Vlc n Kali Miaka nenda rud haichujHapa nakazia best player ever
1.unacheck movie inakupa option ya kudownload subtitute
2. Unaweza play video ukaidisplay kwa juu ukatoka kwenye app video inajipin kwenye screen unaendelea kutumia simu kwenye mambo mengine
3.Video unaweza iweka kwenye audio form
4. Selection play
5. Start from end
6. Plya list creation
7. Customized sound equalizer
8.background play
Yaaani iko na tuvitu mingi sana
Hebu punguza ubishi na ujuaji.
Saving sio Downloading. Kwa sababu zile nyimbo huwezi kuziaccess kwenye local drive au huwezi kuzihamisha.
Sio tu spotify, Hata netflix wanaruhusu kusave Movie, ila huwezi kuzi access kwenye hard drive na kuzihamisha... kwa sababu kusave kwenye hizi platforms sio kama kudownload unakokujua wewe.
Saving sio Downloading na sio kila kitu ubishane, vingine kubali kujifunza.
SawaMkuu, kuna mtu amekulazimisha popote?
Burudani ni yako, mimi sijakulazimisha. Nimekupa Best alternative na kukuonesha kuwa hayo mambo ya downloading yalishapita... we have a better way of consuming music these days.
Ukitaka fuata ushauri wangu, usipotaka endelea kudownload hamna aliyekukataza.
Ajabu na kweliUkiwa na uwezo wa ku- stream nyimbo, therefore una FEDHA[emoji1787][emoji1787].
Mjuaji kakutana na mwalimu mkuuHoja hujibiwa kwa hoja sio kuikimbia
Una save vipi kitu cha online kwenye device yako bila ku download?
Streaming services zinakuruhusu ku download files ila ili uweze ku access unapaswa utumie hiyo streaming app
Kama unatumia YouTube basi utaelewa, acha kupotosha watu hapa