Mwenye kujua wasanii wangapi mama amekwenda nao China naomba anijuze.

Mwenye kujua wasanii wangapi mama amekwenda nao China naomba anijuze.

Mama alisema kila ziara zake atasafiri na wasanii na tayari alikwisha enda nao India na Korea, hivi sasa mama yuko China.
Ninaomba mwenye majina ya wasanii aliosafiri nao kwenda China anijuze, kwani ni jambo la muhimu sana kwenye ustawi wa sanaa Tanzania.
Chawa wale wale atakuwa amewabeba
 
Back
Top Bottom