Alex korosso
Senior Member
- Jun 10, 2017
- 126
- 217
Leo katika pita pita zangu nimekutana na mzee wa makamo nikajaribu kumshilikisha mipago yangu ya kilimo pamoja na utunzaji wa mazao pindi yatakapo panda bei niweze kupata faida.
Mzee ameanza kunipa historia ya kuanzia miaka ya 1974 na kunieleza ya kuwa na uzoefu wa hio biashara kwa mda mrefu.
Amenieleza kuwa miaka inayoishia na nne yani 1974,1984,1994, 2004, 2014 hua aina mvua kabisa ndo maana mazao ya chakula mfano mahindi huwa yanapanda sana bei kutokana na ukame.
Amenishauri kama nataka kuingia kwenye mfumo wa hiyo biashara nisubiri mpaka mwakani yani 2023 ndo ninunue mazao ya kutosha ili mwaka 2024 niweze kupata faida.
Je, niliyoelezwa ni ya kweli au mzee anataka kunichomesha kwa yeyote mwenye uzoefu wa haya mambo anaweza kunisaidia 🙏
Mzee ameanza kunipa historia ya kuanzia miaka ya 1974 na kunieleza ya kuwa na uzoefu wa hio biashara kwa mda mrefu.
Amenieleza kuwa miaka inayoishia na nne yani 1974,1984,1994, 2004, 2014 hua aina mvua kabisa ndo maana mazao ya chakula mfano mahindi huwa yanapanda sana bei kutokana na ukame.
Amenishauri kama nataka kuingia kwenye mfumo wa hiyo biashara nisubiri mpaka mwakani yani 2023 ndo ninunue mazao ya kutosha ili mwaka 2024 niweze kupata faida.
Je, niliyoelezwa ni ya kweli au mzee anataka kunichomesha kwa yeyote mwenye uzoefu wa haya mambo anaweza kunisaidia 🙏