Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

Just Distinctions

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2016
Posts
3,230
Reaction score
6,742
Habari za wakati huu, naomba kufahamishwa kuhusiana na submeter ambazo zinaonesha ni kiwango gani mpangaji anatumia umeme, Je zinafanyaje kazi?, je zipi ndio nzuri na ni brand gani ndio imara zaidi? Wapi zinapatikana na gharama yake ikoje?
 
Habari za wakati huu, naomba kufahamishwa kuhusiana na submeter ambazo zinaonesha ni kiwango gani mpangaji anatumia umeme, Je zinafanyaje kazi?, je zipi ndio nzuri na ni brand gani ndio imara zaidi? Wapi zinapatikana na gharama yake ikoje?
Mzee unatoa na amri kabisa kuwa aje hapa as if unamlipa??
 
Ni nzuri sana unatumia umeme ulionunua wewe mwenyewe.
20230205_142846.jpg
 
Kwenye kuziunga na main meter TANESCO hawawezi kuona kama unafanya hujuma?
Hapana tena watu wengi wameziunga kwenye main Meter hasa nyumba ambazo wapangaji wanaishi na mwenye nyumba.

Mwenye nyumba anakuwa ameshanakili kila umeme wa mpangaji so ukiisha tu anakupa muongozo hata kama haujui kuitumia.

Ili kuepusha kutumia umeme wa wapangaji wengine.
 
Back
Top Bottom