Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
zinapima matumizi ya umeme na kuzionesha kwenye displayJe zinafanyaje kazi?
zote za kichina, ila ziko njemaje zipi ndio nzuri na ni brand gani ndio imara zaidi?
cheki na duka la umeme karib nawe, gharama ni 30-40kWapi zinapatikana na gharama yake ikoje?
Mzee unatoa na amri kabisa kuwa aje hapa as if unamlipa??Habari za wakati huu, naomba kufahamishwa kuhusiana na submeter ambazo zinaonesha ni kiwango gani mpangaji anatumia umeme, Je zinafanyaje kazi?, je zipi ndio nzuri na ni brand gani ndio imara zaidi? Wapi zinapatikana na gharama yake ikoje?
Iyo ipo mkuu, ila inatakiwa wafungiwe zinazofananaUkiwa na Submeter inamaanisha kwamba utakuwa unajiwekea umeme wako mwenyewe? Na Mpangaji mbishi atakuwa analala giz asipojinunulia? Kama ni hiyo hizo ni znuri sana kwenye nyumba za kupanga.
Shukrani sana kwa msaadazinapima matumizi ya umeme na kuzionesha kwenye display
zote za kichina, ila ziko njema
cheki na duka la umeme karib nawe, gharama ni 30-40k
Hahah hapana mkuu😂, niwie radhi kama nimeeleweka vibaya, Siwezi fanya hivyo na ndio maana kwenye content nimesema naombaMzee unatoa na amri kabisa kuwa aje hapa as if unamlipa??
Iyo ipo mkuu, ila inatakiwa wafungiwe zinazofanana
Ukiwa na Submeter inamaanisha kwamba utakuwa unajiwekea umeme wako mwenyewe? Na Mpangaji mbishi atakuwa analala giz asipojinunulia? Kama ni hiyo hizo ni znuri sana kwenye nyumba za kupanga.
Mkuu kuna submita za dizaini hiyo?
Jamaa amesema zipo ila unatakiwa ununue za dizaini moja ndiyo ufunge kwenye main meter.
Ni nzuri sana unatumia umeme ulionunua wewe mwenyewe.View attachment 2661675
Ndio, unaangalia unit zilizopo hapo then unapiga hesabu na unit ulizonunua yan unajumlisha so matumizi yako yakifika mpaka unit ulizojumlisha hapo ndio unakuwa mwisho wa umeme wako.Hii ni ile ya 'kusoma tu' matumizi yako?
Ndio, unaangalia unit zilizopo hapo then unapiga hesabu na unit ulizonunua yan unajumlisha so matumizi yako yakifika mpaka unit ulizojumlisha hapo ndio unakuwa mwisho wa umeme wako.
Ni nzuri sana unatumia umeme ulionunua wewe mwenyewe.View attachment 2661675
Alichokiongea ndio hicho hicho nilichokuambia mm.Soma comment no.4 ya King Kong III .
Hapana tena watu wengi wameziunga kwenye main Meter hasa nyumba ambazo wapangaji wanaishi na mwenye nyumba.Kwenye kuziunga na main meter TANESCO hawawezi kuona kama unafanya hujuma?
Hakuna submeter ya hivyoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa na Submeter inamaanisha kwamba utakuwa unajiwekea umeme wako mwenyewe? Na Mpangaji mbishi atakuwa analala giz asipojinunulia? Kama ni hiyo hizo ni znuri sana kwenye nyumba za kupanga.