mpanga liganga
Senior Member
- May 16, 2014
- 152
- 351
Tatizo watu wengi hawajui kuzitumia na bado zabei rahisi Zina stuck na kuluka numberhizo sub meter zilizoboreshwa bado hazisaidii kutatua changamoto iliyopo
lazima kuwe na maelewano baina ya wapangaji, au kuwe na mtu mmoja(mwenye nyumba) awe anadhibiti ununuzi wa umeme toka kwa kila mtumiaji ili aweze generate token husika kwa mtumiaji husika kulingana umeme alionunua
hiyo meter siyo standalone kama wengi wanavyofikiri
Nielewe Kwanza,
Kuna aina mbili za submeter kuna inayo count up, ambayo wengi nazijua na zipo madukani na kina hiii inayo count down ambayo mm ilijaribu kuielezea,
Kwamfano umepanga nyumba naiyoo nyumba mpo wapangaji wanne lakin iyoo nyumba mnashare main meter 1 yatanesko,
kumbuka hapo meter ya tanesko inahesabu matumiz yanyinyi wote kwapamoja haijalishi hp ww au wenzio nan anamatumiz makubwa,
Ndomana tunafunga submeter ilikuweza kujua matumiz ya kila mmoja.
Sasabasi Kama kwenye iyo nyumba wote wanne mmefungiwa sabmeter ambazo Zina caunt down,
ww mpangaji wakwaza ukanunua umeme wa 5000 ambazo nikama unit 14.0 utaingiza token kwenye main meter Zita display unit 14.0, utaludi kwenye submeter yako utaingiza iyoo namba 14.0 kuanzia hp itakuwa inasoma matumizi yako mpaka utakapo maliza unit zako 14.0 zikiisha inakukatia umeme.
Ss simpo wapangaji wanne ww ulinunua umeme wa 5000 unit 14.0, mwenzio kanunua wa 10,000 unit 28.0 mwingine wa 2500 unit 7.0 na wamwisho labda wa 20,000 unit 56.0
kule kwenye main meter ya tanesko kunakuwa njumla you unit 105.0 yan ww na nawapangi wenzio umeme mlionunua.
Kwaiyo hapo kila mtu atatumia kile alichoweka zikiisha anakosa umeme.
Sijui umenielewa.
Sub Meter zipo aina nyingi sana kwanzia tsh. 20,000 mpka tsh 300,000 (moja) na hizo ndo nazo zijua, na zinauwezo tofaiti. sema wengi tunafunga za bai rahisi(za kusoma matumizi ya unit tu) ila za kuwanzi tsh 160,000/= huwa zinauwezo wakuweka idadi ya unit ulizonunua baada yakuziweka kwenye main meter.. na zikiisha kwenye sub inzima na wengine kuendelea kutumia kama haujaisha kwenye main.Hakuna submeter ya hivyoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio chai hiiIyo ipo mkuu, ila inatakiwa wafungiwe zinazofanana
Sub meter kwa sasa zipo za aina mbili
Zipo zinazohesabj matumizi ya kila mtu meter kubwa ikiisha wote mnakosa umeme bei zake hizi ni 15000 mpk 30000
Na zipo advance nyingine kila mmoja anafungiwa.Kwako umeme ukiisha zinakata kwako tu kwa wengine kunawaka.Ila lazima awepo mtu mmoja control ukinunua umeme utampa yeye anaweka kwenye mita kubwa then anakuhamishia kwenye sub meter yako ndogo
Zipo ambazo unaunga umeme kisha wajihamishia kwako ni web based system
Nielewe Kwanza,
Kuna aina mbili za submeter kuna inayo count up, ambayo wengi nazijua na zipo madukani na kina hiii inayo count down ambayo mm ilijaribu kuielezea,
Kwamfano umepanga nyumba naiyoo nyumba mpo wapangaji wanne lakin iyoo nyumba mnashare main meter 1 yatanesko,
kumbuka hapo meter ya tanesko inahesabu matumiz yanyinyi wote kwapamoja haijalishi hp ww au wenzio nan anamatumiz makubwa,
Ndomana tunafunga submeter ilikuweza kujua matumiz ya kila mmoja.
Sasabasi Kama kwenye iyo nyumba wote wanne mmefungiwa sabmeter ambazo Zina caunt down,
ww mpangaji wakwaza ukanunua umeme wa 5000 ambazo nikama unit 14.0 utaingiza token kwenye main meter Zita display unit 14.0, utaludi kwenye submeter yako utaingiza iyoo namba 14.0 kuanzia hp itakuwa inasoma matumizi yako mpaka utakapo maliza unit zako 14.0 zikiisha inakukatia umeme.
Ss simpo wapangaji wanne ww ulinunua umeme wa 5000 unit 14.0, mwenzio kanunua wa 10,000 unit 28.0 mwingine wa 2500 unit 7.0 na wamwisho labda wa 20,000 unit 56.0
kule kwenye main meter ya tanesko kunakuwa njumla you unit 105.0 yan ww na nawapangi wenzio umeme mlionunua.
Kwaiyo hapo kila mtu atatumia kile alichoweka zikiisha anakosa umeme.
Sijui umenielewa.
Submeter haikuzuii kulala giza kwani inapata umeme toka kwenye mita kubwa ya mwenyenyumba, mwenyenyumba asiponunua umeme na wewe utaukosa japo salio lako halijaisha.Ukiwa na Submeter inamaanisha kwamba utakuwa unajiwekea umeme wako mwenyewe? Na Mpangaji mbishi atakuwa analala giz asipojinunulia? Kama ni hiyo hizo ni znuri sana kwenye nyumba za kupanga.
Submeter haikuzuii kulala giza kwani inapata umeme toka kwenye mita kubwa ya mwenyenyumba, mwenyenyumba asiponunua umeme na wewe utaukosa japo salio lako halijaisha.
Jibu tayari, utakatika ila utaendelea kuwa na units zako.Na hapo ndipo panachanganya uelewa hapa.
Tuna main meter moja ya Tanesco. Wapangaji watatu...
Ni submeter ya kucount-down?
Kwangu napomaliza unit zangu itakata kwangu tu?
Wenzagu wakimaliza units zao na wasiweke mwingine, je Mimi ambaye bado sijamaliza units utaendelea kuwaka kwangu?
Na developer atakayekuja na meter hzo atapiga mpunga mwingi mnooo,naamini wapo machimbo wanaumiza vichwaHapana sio hivyo,
Submeter zilizopo sokoni Zina count up kwaivyo haiwezekani.
kulitakiwa ziwepo submeter zinazo count down Kama hizi za tanesko kila mtumiaji anaingiza unit namba sio token, kwamfano umenunua umeme wa 5000 nikama unit 14.0 token unaingiza kwenye main meter ya tanesko unit unaingiza kwenye submeter 14.0 kwaiyo mtumiaji ataanza kutumia umeme wake kuanzia 14.0 mpaka utakapofika 0, hapo umeme wake umeisha na submeter inamkatia umeme hapo hapo.
Mkuu mbona maelezo yapo clear kabisa? Kila mtu anatumia umeme kadri alivyonunua ,hizo submeter kazi yake ni kucount tu unit zako ulizoweka kwenye main meter...Zikiisha zinakata kwenye supply yako tu wengine ambo unit zao kama zipo umeme utakuwepo.Mkuu King Kong III , umemuelewaje hapo huyo mdau?
Je mkuu naomba niulsizze hapo sisi tunampangaji yeye ndo Huwa anajinunulia umeme ,ila wakati mwengine haleti token tuweke kwenye main meter hapa inakuaje hatuibii kwel umeme sisi WA main meter?Nielewe Kwanza,
Kuna aina mbili za submeter kuna inayo count up, ambayo wengi nazijua na zipo madukani na kina hiii inayo count down ambayo mm ilijaribu kuielezea,
Kwamfano umepanga nyumba naiyoo nyumba mpo wapangaji wanne lakin iyoo nyumba mnashare main meter 1 yatanesko,
kumbuka hapo meter ya tanesko inahesabu matumiz yanyinyi wote kwapamoja haijalishi hp ww au wenzio nan anamatumiz makubwa,
Ndomana tunafunga submeter ilikuweza kujua matumiz ya kila mmoja.
Sasabasi Kama kwenye iyo nyumba wote wanne mmefungiwa sabmeter ambazo Zina caunt down,
ww mpangaji wakwaza ukanunua umeme wa 5000 ambazo nikama unit 14.0 utaingiza token kwenye main meter Zita display unit 14.0, utaludi kwenye submeter yako utaingiza iyoo namba 14.0 kuanzia hp itakuwa inasoma matumizi yako mpaka utakapo maliza unit zako 14.0 zikiisha inakukatia umeme.
Ss simpo wapangaji wanne ww ulinunua umeme wa 5000 unit 14.0, mwenzio kanunua wa 10,000 unit 28.0 mwingine wa 2500 unit 7.0 na wamwisho labda wa 20,000 unit 56.0
kule kwenye main meter ya tanesko kunakuwa njumla you unit 105.0 yan ww na nawapangi wenzio umeme mlionunua.
Kwaiyo hapo kila mtu atatumia kile alichoweka zikiisha anakosa umeme.
Sijui umenielewa.
Kwa maana hiyo hizo submeter ni lazima wapangaji wote wafunge akifunga mpangaji mmoja haina maana kwa maana ikitokea wenzako ambao hawajafunga wakimaliza unit zao wataendelea kutumia za kwako..Nielewe Kwanza,
Kuna aina mbili za submeter kuna inayo count up, ambayo wengi nazijua na zipo madukani na kina hiii inayo count down ambayo mm ilijaribu kuielezea,
Kwamfano umepanga nyumba naiyoo nyumba mpo wapangaji wanne lakin iyoo nyumba mnashare main meter 1 yatanesko,
kumbuka hapo meter ya tanesko inahesabu matumiz yanyinyi wote kwapamoja haijalishi hp ww au wenzio nan anamatumiz makubwa,
Ndomana tunafunga submeter ilikuweza kujua matumiz ya kila mmoja.
Sasabasi Kama kwenye iyo nyumba wote wanne mmefungiwa sabmeter ambazo Zina caunt down,
ww mpangaji wakwaza ukanunua umeme wa 5000 ambazo nikama unit 14.0 utaingiza token kwenye main meter Zita display unit 14.0, utaludi kwenye submeter yako utaingiza iyoo namba 14.0 kuanzia hp itakuwa inasoma matumizi yako mpaka utakapo maliza unit zako 14.0 zikiisha inakukatia umeme.
Ss simpo wapangaji wanne ww ulinunua umeme wa 5000 unit 14.0, mwenzio kanunua wa 10,000 unit 28.0 mwingine wa 2500 unit 7.0 na wamwisho labda wa 20,000 unit 56.0
kule kwenye main meter ya tanesko kunakuwa njumla you unit 105.0 yan ww na nawapangi wenzio umeme mlionunua.
Kwaiyo hapo kila mtu atatumia kile alichoweka zikiisha anakosa umeme.
Sijui umenielewa.
Huyo mpangaji yeye anatumia aina ipi ya submeter?Je mkuu naomba niulsizze hapo sisi tunampangaji yeye ndo Huwa anajinunulia umeme ,ila wakati mwengine haleti token tuweke kwenye main meter hapa inakuaje hatuibii kwel umeme sisi WA main meter?
Yaan kama kuna mtu hajakuelewa hadi hapa basi ndio hao wanao pata division 5 ,πππNielewe Kwanza,
Kuna aina mbili za submeter kuna inayo count up, ambayo wengi nazijua na zipo madukani na kina hiii inayo count down ambayo mm ilijaribu kuielezea,
Kwamfano umepanga nyumba naiyoo nyumba mpo wapangaji wanne lakin iyoo nyumba mnashare main meter 1 yatanesko,
kumbuka hapo meter ya tanesko inahesabu matumiz yanyinyi wote kwapamoja haijalishi hp ww au wenzio nan anamatumiz makubwa,
Ndomana tunafunga submeter ilikuweza kujua matumiz ya kila mmoja.
Sasabasi Kama kwenye iyo nyumba wote wanne mmefungiwa sabmeter ambazo Zina caunt down,
ww mpangaji wakwaza ukanunua umeme wa 5000 ambazo nikama unit 14.0 utaingiza token kwenye main meter Zita display unit 14.0, utaludi kwenye submeter yako utaingiza iyoo namba 14.0 kuanzia hp itakuwa inasoma matumizi yako mpaka utakapo maliza unit zako 14.0 zikiisha inakukatia umeme.
Ss simpo wapangaji wanne ww ulinunua umeme wa 5000 unit 14.0, mwenzio kanunua wa 10,000 unit 28.0 mwingine wa 2500 unit 7.0 na wamwisho labda wa 20,000 unit 56.0
kule kwenye main meter ya tanesko kunakuwa njumla you unit 105.0 yan ww na nawapangi wenzio umeme mlionunua.
Kwaiyo hapo kila mtu atatumia kile alichoweka zikiisha anakosa umeme.
Sijui umenielewa.
Lazima hapo kuwe na mbabe mmoja a kusimamia utaratibu maana vinginevyo mtu kisub meter chake kikikata anaenda kuchungulia kwenye main meter anakuta bado panapumua kama unit 40 hivi πππana wahi kwenye ki sub meter chake anaandika 7 ili avute vute kidogo apate ya kununulia wa kwake ππππ TANESCO bado inafanya kazi kizamani sana na ki enyeji sana.Kwa maana hiyo hizo submeter ni lazima wapangaji wote wafunge akifunga mpangaji mmoja haina maana kwa maana ikitokea wenzako ambao hawajafunga wakimaliza unit zao wataendelea kutumia za kwako..
Kingine kwa maelezo yako hizo submeter lazima zinahitaji mtu atakae kuwa ana zi monitor (Adimin)
Je ikitokea huyo admin akawa sio mwaminifu kwa kuongeza kiwango cha unit kwenye submeter moja wapo mf. Kwenye main meter zimewekwa unit 14 alafu kwenye submeter akaweka unit 30 je hiyo system inawezaje kutatua hili tatizo?
nimepitia comments kadhaa.Lazima hapo kuwe na mbabe mmoja a kusimamia utaratibu maana vinginevyo mtu kisub meter chake kikikata anaenda kuchungulia kwenye main meter anakuta bado panapumua kama unit 40 hivi πππana wahi kwenye ki sub meter chake anaandika 7 ili avute vute kidogo apate ya kununulia wa kwake ππππ TANESCO bado inafanya kazi kizamani sana na ki enyeji sana.